Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwa yeyote anaye mjua naomba ani PM ! Tulisoma wote miaka ya 1991 _ 94, Lugalo(jwtz) sec. School kwa sasa inaitwa makongo sec. School Miaka hiyo alikuwa anaishi na baba ake mdogo mzee kimambo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
PayForYouth.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni msichana mrembo sana kamehitimu degree juzi juz tu nilimfuatilia mda mrefu sana ila hataki kukubaliana nami now anatoka na jamaa mmoja hiv mwenye tabia ya kutambulisha wanawake kwa ndugu...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Ma ladies na ma gentlemen..... Kama nilivosema hapo juu hiki nikisimuliacho nimekosa jina au neno la kuweka kama kichwa cha habari au uzi. Iko hivii...... Week end hii iliyoisha nilienda Mbeya...
0 Reactions
32 Replies
7K Views
Hawayuuuni!! Mimi ni kijana under 25,nina mpenzi nilianza nae uhusiano soon after six b4 joining university. Nilimpenda sana na nafikiria kuwa awe yf wngu,ktk mapenzi yy alikuwa mgeni kwani mm...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Rejea tu kichwa cha habari hapo juu na karibu katika kuchangia.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wasalaam wana Jf...... Sijui kama hili ni tatizo ama ni hali ambayo inanitokea kutokana na mengi mabaya niliopitia katika mahusiano yangu. Ni kweli mimi ni mwanaume lijali...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Kheri ya Noeli kwa wana familia wa jamiiforums. Tuombeane kheri ili panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu tuone mwaka ujao. Kama wahenga walivyosema, "ukubwa dawa". Kuna ndugu na rafiki yangu kaja...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna mgogoro wa kimaslahi kati yangu na mke juu ya mwelekeo wa kiimani wa watoto wetu, hii ni kutokana na sisi wazazi kuwa na dini tofauti Wakati mwingine watoto hawa huudhuria ibada kwenye dini...
0 Reactions
176 Replies
19K Views
A lady 27 yrs of age,beautiful,God fearing,educated,employed,n classy,but still single with no hope of getting her Mr right..Deep down inside my heart i see myself a wife material n i envy any man...
0 Reactions
131 Replies
13K Views
Mwanaume akimtongoza demu, pia huwa haonyeshi kuwa amekufa kiviile akiamini kuwa, demu atamsumbua. Hali kadhalika demu aliyetongozwa nae huwa haonyeshi amemshobokea jamaa kwani anaamini...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu kaka, dada, mama na baba zangu. Jana nilitoka out na msichana wangu (nategemea kumfanya mke) nikampeleka mahali Fulani penye hadhi kidogo kwa chakula cha jioni, basi katika story za...
5 Reactions
180 Replies
23K Views
Mwanaume wa Tanzania akitongoza akijbiwa maneno machafu nae anatoa maneno machafu. Mwanaume wa kizungu akijbiwa maneno machafu ananyamaza anazidsha upendo mpaka unaona aibu kwanini ulikuwa...
0 Reactions
95 Replies
12K Views
Tuwasiliane kwa sekenemboh@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
umewah kuwatch cartoons ukalia. mi nliwah inaitwa alvin and chimpmunks- the chipmunks adventure. we inaitwaje ilokutoa machoz?
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Nina mchumba nilimpata humu humu jf ila nahitaji marafiki wa kike kwa ajiri ya kushauriana...kuelekezana kimaisha n.k Wenye elimu kuanzia STD VII na kuendelea hasa ndio hitaji langu. Ni pm...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii ni habari mbaya kwa wale wenzangu na mie msiotaka kufunga ndoa hadi utie mimba kwanza kwa kuogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia... Muongozo huo ulitolewa na kanisa moja mjini mbeya (jina kapuni)...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Kutokana na sababu kadha kwa kadha unaweza kujikuta upo ndani ya uhusiano ambao hauna future yeyote,yaani unakuwa na mwanamke kwaajiri ya kupasha ring tu... Sasa hapa nilichokiona kwa.muda sasa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wote wanajukwaa nawakalibisha tushelehekee pamoja x mass
0 Reactions
6 Replies
2K Views
ANGALIZO LA LEO Mkeo akisema atatoka na Watoto tu kwenda beach. using'ang'anize kuungana nae, huenda watoto wanaenda kuonana na Baba yao. Si mnajua tena mambo ya 49% ya dna
4 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…