MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 309
Hawayuuuni!!
Mimi ni kijana under 25,nina mpenzi nilianza nae uhusiano soon after six b4 joining university.
Nilimpenda sana na nafikiria kuwa awe yf wngu,ktk mapenzi yy alikuwa mgeni kwani mm ndie nilifanikiwa kuutoa USICHANA wake.
Ananipenda mno haipi cku bla cm wala sms na akitongozwa anasema kwangu ila upnde wangu kuna bnt mwingne alomalza diploma accountancy yupo field y mwisho ameingia ktk moyo wng kwa mbali but bdo cjaggeda!!!!
Kila nkiwa krbu na huyu wa diploma namkumbuka huyu niliyemtoa usichana (Classmate wangu o'level)
Naona km napotea kutokuwa mwaminifu kwake!!!Analia mara nyingi kuwa ananpenda na anatamni niwe mumewe,NIPENI mawazo yenu.
Mimi ni kijana under 25,nina mpenzi nilianza nae uhusiano soon after six b4 joining university.
Nilimpenda sana na nafikiria kuwa awe yf wngu,ktk mapenzi yy alikuwa mgeni kwani mm ndie nilifanikiwa kuutoa USICHANA wake.
Ananipenda mno haipi cku bla cm wala sms na akitongozwa anasema kwangu ila upnde wangu kuna bnt mwingne alomalza diploma accountancy yupo field y mwisho ameingia ktk moyo wng kwa mbali but bdo cjaggeda!!!!
Kila nkiwa krbu na huyu wa diploma namkumbuka huyu niliyemtoa usichana (Classmate wangu o'level)
Naona km napotea kutokuwa mwaminifu kwake!!!Analia mara nyingi kuwa ananpenda na anatamni niwe mumewe,NIPENI mawazo yenu.