Natafuta mpenzi/mwanamke

Natafuta mpenzi/mwanamke

Madihani

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2015
Posts
6,326
Reaction score
7,529
Nipo Dar mimi ni mwanaume
1.Mnene wastani,mrefu wastani
2.Umri wangu 30yrs
3.Mkristo
4.Rangi ni maji ya kunde
5.Sina familia,naishi peke yangu
Sifa za mpenzi/mwanamke
1.Umri kuanzia miaka 15 hadi 45
2.Mwenye uwezo wa kujitegemea kimaisha,sina uweza wa kulea,bado sijajijenga kimaisha
3.Asiwe na wivu unaoleta umaskini
4.Akiwa Dar itakua poa zaidi
5.Sichagui dini,kabila na kiwango cha elimu
Karibuni PM
 
Mkuu binti wa miaka 15? Bila shaka utakuwa unatafuta umaarufu kupitia magazeti ya udaku. Kama vile nasoma title ya gazeti la uwazi "NJEMBA LA MIAKA 33 LANASWA NA MWANAFUNZI" OFM YAWANASA WAKIISHI KAMA MKE NA MME. KAMANDA WAMBURA AONGEA NA UWAZI
 
Kuna watu humu kila topic lazima achangie,ili kujaza maandishi,ukiona haikuhusu unasoma na kuacha bila kuandika,sio lazima kuchangia topic zote
 
Kuna watu humu kila topic lazima achangie,ili kujaza maandishi,ukiona haikuhusu unasoma na kuacha bila kuandika,sio lazima kuchangia topic zote

Mkuu naona unaanza kupanik kwanza nenda kanywe chai uje tena.
 
Kuna watu humu kila topic lazima achangie,ili kujaza maandishi,ukiona haikuhusu unasoma na kuacha bila kuandika,sio lazima kuchangia topic zote

Ungeweka angalizo watu wa kundi fulani haiwahusu wasichangie!
 
Kuna watu humu kila topic lazima achangie,ili kujaza maandishi,ukiona haikuhusu unasoma na kuacha bila kuandika,sio lazima kuchangia topic zote
Punguza jazba mkuu........ Hao ndo magreater thinkers wenyewe wacha wakupe mambo uspanic!!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom