Mapenzi katika ubora wake

Madihani

JF-Expert Member
Apr 30, 2015
5,973
6,606
Habari Jf
Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete.
I will tell you WHY!
Kuna watu walipendana sana lakini hao
waliowapenda kwa moyo hawakuoa kutokana na
Situations fulani mwanamke akalazimika aolewe
na kijamaa fulani tu ambacho kilikuja na sera
ambazo 'wanawake wanapenda' na kako vizuri
financially ikabidi huyu mwanamke aachane na
'Tulizo lake la moyo' kidemokrasia tu aolewe na
wewe.
It doesnt matter how lakini hawa watu wawili
walioachana kidemokrasia "Bado wanapendana
deep down" na hata ukifanikiwa kumuoa,
ukamhamisha mkoa wasionane, Ukambadilishia
namba za Simu wasiwasiliane tena, Itapita miaka
hata 6 hawajatiana machoni ipo siku watakutana
Kariakoo kwenye shopping, zile cheche na hamu
na mapigo ya moyo yataruka upya, na kifuatacho
ITV kitakuwa Isidingo Mapenzi yao hayakufa.
Pete haizuii kitu watajikuta wamefanya yao tena
kwa huba zito la kumisiana kwa hali ya juu, wewe
ukidhani Pete pekee itamlinda, kumbe waapiii, na
huo ndio utakuwa mwanzo wa hawa watu wawili
kuwa na Reunion kabambe ya Kulegeza Chaga,
wewe umeoa ?
Mahari mwenzio anapiga Bureee bila Mshenga.
Kama nadanganya Wanandoa waje na waseme
hapahapa.
Ndoa ni Complicated kuliko Hesabu za Logarithm
na Integration, Ndoa ni Fumbo na walioweza
kulifumbua ni wachache sana kwa msaada wa
Mungu, ila Wengi wanadhani wamelifumbua
Fumbo kumbe wametegwa na hawajui mtego
ulipo.
Ndoa needs God na watu wenye hofu ya Mungu
otherwise "UTAOLEA KIJIJI"
 
Mwanamke yeyote ambaye alishawahi kunitanulia miguu huyo ni wangu milele na sijaona aliyewah kuwa na ujasir wa kukataa ikitokea nimesearch jina fb nikaomba namba. Mambo mengine haya ni ya kuomba Mungu kwamba hata wakimshikisha mkeo bas asije pata mimba ukaleo mtoto sio wako kwa mtazamo wangu ukimwi sio ishu sana.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Habari Jf
Sio kila EX ni EXPIRED, EX zingine ni EXAMPLE:
Utanielewa tu.
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi
wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na
Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA
kuliko hata hawa Vidume na Vijike vinavyomtaka
akiwa tayari amevaa pete.
I will tell you WHY!
Kuna watu walipendana sana lakini hao
waliowapenda kwa moyo hawakuoa kutokana na
Situations fulani mwanamke akalazimika aolewe
na kijamaa fulani tu ambacho kilikuja na sera
ambazo 'wanawake wanapenda' na kako vizuri
financially ikabidi huyu mwanamke aachane na
'Tulizo lake la moyo' kidemokrasia tu aolewe na
wewe.
It doesnt matter how lakini hawa watu wawili
walioachana kidemokrasia "Bado wanapendana
deep down" na hata ukifanikiwa kumuoa,
ukamhamisha mkoa wasionane, Ukambadilishia
namba za Simu wasiwasiliane tena, Itapita miaka
hata 6 hawajatiana machoni ipo siku watakutana
Kariakoo kwenye shopping, zile cheche na hamu
na mapigo ya moyo yataruka upya, na kifuatacho
ITV kitakuwa Isidingo Mapenzi yao hayakufa.
Pete haizuii kitu watajikuta wamefanya yao tena
kwa huba zito la kumisiana kwa hali ya juu, wewe
ukidhani Pete pekee itamlinda, kumbe waapiii, na
huo ndio utakuwa mwanzo wa hawa watu wawili
kuwa na Reunion kabambe ya Kulegeza Chaga,
wewe umeoa ?
Mahari mwenzio anapiga Bureee bila Mshenga.
Kama nadanganya Wanandoa waje na waseme
hapahapa.
Ndoa ni Complicated kuliko Hesabu za Logarithm
na Integration, Ndoa ni Fumbo na walioweza
kulifumbua ni wachache sana kwa msaada wa
Mungu, ila Wengi wanadhani wamelifumbua
Fumbo kumbe wametegwa na hawajui mtego
ulipo.
Ndoa needs God na watu wenye hofu ya Mungu
otherwise "UTAOLEA KIJIJI"
Dah!!! yani umenifanya niogoge hadi usingizi umenitoka ghafla!!!. ila kweli kuna Ex wangu hadi leo namkumbuka yani kumsahau imekuwa ngumu nimefurukuta nimefanya niwezavyo but bado tu yu moyoni mwangu. ananitesaje?? halafu sasa namna ya kuweza kumpata tena ndo ngumu kabisaaaa..... eti itokee nakutana nae aiseeee.....!!!!!! Ee mungu sikia kilio changu siku moja tu nionane nae
 
Yeah yeah anha yeah yea aanh
check it out...
>siku nikioa sita kuwa na wasiwasi/
>siku nikioa nitakuwa na amani tangu kwenye harusi/
>siku nikioa nitajitahidi kuepukana na moyo wa ukakasi/
>siku nikioa nitaridhika na niliye naye maana atakuwa pretty seksi/
>siku nikioa wa pembeni hawata gusa wangu ukwasi/
....bum bash kubum kubash kubum .kubhaa...
 
Nawewe unaanzaje kupasha kiporo na mke/mume wa mtu!!!!!.marinda yakipigwa unalalamika!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom