Mke 'positive' mume 'negative' nifanyeje?

Mke 'positive' mume 'negative' nifanyeje?

Manyallaboy

Senior Member
Joined
Jul 26, 2015
Posts
194
Reaction score
78
Wapendwa,

Tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE.

Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya.
 
Ukilala bahati mbaya na nyoka na asikuume haimaanishi uendelee kulala naye...kiutuuzima ongeeni mkubaliane...si lazima kuachana ila mnaweza kutengana vitanda maisha yakaendelea
 
wapendwa tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE. Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya

Hizi Case ni nyingi mnoo siku hizi...Wafa ushauri wa Dkt....Ila ziko nyingii issue za iv now
 
Wapendwa,

Tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE.

Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya.

Kwa sababu ya haki sawa,fanya bidii na wewe uwe positive ili muende sawa.
 
Ni group o nini?maana nasikia ni wagumu sana kuathirika
 
Endeleeni kuishi,hizo kesi ni nyingi mno,wapo wenzio na watoto wanazaa vizuri bila kupata maambukizi yoyote yale,ni kuandaana tu,vizuri na maisha yanaenda
 
  • Thanks
Reactions: THT
Wapendwa,

Tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE.

Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya.

HIV/AIDS ni feki,ukitaka kujua ukweli na kujiweka huru na uongo huu wa muda mrefu basi soma nyuzi za hapo chini.

SOMA HAPA:

1. https://www.jamiiforums.com/jf-doct...wenye-ukimwi-tena-peku-na-asipate-ukimwi.html

2. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/948478-v-v-u-na-upimaji-wake-coincidences-10.html

3. https://www.jamiiforums.com/interna...wa-marekani-ndiye-mwanzilishi-wa-ebola-8.html

4. https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/893916-vvu-haionekani-baada-ya-kupima-tena.html
 
Wapendwa, Tuna mwaka mmoja kwenye ndoa lakini imegundulika kuwa mke ni POSITIVE na mume ni NEGATIVE. Mnanishurije wadau mie nimeshindwa cha kufanya.
Mbona hizo kesi ni nyingi sana, fata ushauri wa doctor mataishi na kuzaa watoto ambao ni negative. Kosa ulilofanya inaonekana hukupima kabla ya ndoa, na kama mlipima wote mlikuwa -ve basi mkeo sio muaminifu, so kimbia fasta.
 
Achana nae kwani mlizaliwa pamoja mpaka ww unaona ngumu kumpotezea jiangalie utakufa
 
Hii njia panda yako inategemea bahati nasibu ya kile kilicho chini ya uvungu wa moyo na ubongo wa nyuma kutoa maamuzi
 
Back
Top Bottom