Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nimekuwa ni mmoja wa watu ambao nikiwa na pesa nakuwa mwepesi sana kupata totozi na nawaburuza kweli kweli ila yote hii ilikuwa ni kwa sababu napata vihela vya kawaida kwa hyo skuwa na malengo...
1 Reactions
58 Replies
6K Views
Kama mkeo au mchumba yako ni mweupe jua kabisa kuna midume zaidi ya 20 inamtongoza kwa siku.Njia salama ni wewe Kumuweka karibu mpenzi wako.Kama una Gari mfundishe mapema.Kama hauna inabidi...
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Wadu mimi nafikiria kuwa na watoto tuu ambao nitakua nawachukua kwa mama zao na Kuwatunza huku nikiwapa matunzo yote yanayostahili pamoja na Kusoma shule nzuri. Wengine wanasema siyo vizuri...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya wanawake wa kiswahili sasa sio mabadiliko ya mwili ni sifa au kukomoana, unakuta unatakiwa ulete vitu kibao visivyo vya kawaida, wengine utafikiri anaitwa usiniguse, ndio mahaba...
0 Reactions
90 Replies
12K Views
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa dada zangu na mama zangu wadogo. Kabla dada hujaamua kuvaa suruari angalia umbile lako kama linaendana na uvaaji suruari. Najua kina dada wengi wanapenda kuvaa...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Ndugu wana JF mie ni kijana wa miaka 28 naishi Dar. Nimemaliza chuo na kuna sehem nafanya kazi. Natafuta mwanamke wa kuoa coz nimechoka kua single for a long time. Natafta mwanamke aliye serious...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kijana asiye na kazi aitwaye Nolesy aliamua kumwoa rafiki yake wa muda mrefu aliyekuwa akifanya kazi katika benki moja mashuhuri. Nolesy alijitosa katika ndoa licha ya hofu na ushauri mwingi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hellow jamaa niko Serious very serious...! napenda nikutane na Mwanamke Mnene kwelii (bonge,tufe) mweusi ninapenda sana mwanmke wa Namna Hiyooo!! please please! nina Miaka 25 mrefu mweusi elimu...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wadau, Mwishoni mwa Mwezi Disemba mama alikuja hapa Dar na mgeni, walifikia kwangu, mgeni mwenyewe ni binti wa kama miaka 20 hivi, nilishangaa maana mama akija Dar hufikia kwa mkubwa wangu, kaka...
7 Reactions
197 Replies
22K Views
Wapendwa, Nimekuja mnishauri nini cha kufanya. Mimi ni msichana nina umri wa miaka 26 sasa. Niko kwenye uhusiano ila pamoja na yote kuna kijana nilimuona tangu 2011 akanivutia sana nimemfatilia...
0 Reactions
55 Replies
10K Views
Mimi ni muajiriwa wa JWTZ Kikosi cha 202 Faru Tabora. Nilipokutana na binti mrembo wa ki-singida nikampenda na kumueleza azima yangu kwamba namuitaji kifamilia na akanielewa. Na tukawa ktk...
17 Reactions
809 Replies
126K Views
Huyu Dada anaitwa Enica (mpenzi wangu) nimekuanae kwenye mahusiano kwa muda wa miezi 9 sasa cha ajabu ukitamka neno kufanya mapenzi anageuka mbogo mwanzoni nilivumilia kama miezi mitatu ya kwanza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimekutana na mambo, visa na mikasa.............. Nimekutana na vijaluba vya dunia hii vyoote unavyovijua.............. Dua mbaya zote zilizokuwa zinaombwa juu yangu bila kujua idadi yake...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari ya usiku wandugu, Jamani mimi nimepatwa tatizo leo, kuna binti anafanya kazi na mdogo wangu leo nilienda kumsalimia dogo nikamkuta yupo na huyo mwenzie nae ni muajiriwa wa hapo. Huyo binti...
2 Reactions
34 Replies
8K Views
jamani habari zenu hasa wadada huu ni ujio wenu ,mimi ni mkaka mwenye miaka 32. Ni muhitimu wa ngazi ya shahada, afisa elimu ngazi ya sekondari kwa sasa, na nina imani ya juu ndani ya kristo yesu...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
UAMINIFU NDIO KINGA KUU Simu zimevunja ndoa nyingi za watu. Na mtu akikaa kando ndio anajishangaa. Na kujiuliza ni simu tu au? Kwani simu ni kitu kidogo ambacho ukikidharau hautadumu kwenye ndoa...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Malalamiko ya wanandoa kutokuwa waaminifu miongoni mwao yamekuwa mjadala wa sasa kiasi cha watu kuanza kushutumiana na wakati mwingine kuharibu mahusiano yao na hatimaye kuachanisha mahusiano ya...
5 Reactions
64 Replies
7K Views
You used to call me on my You used to, you used to Yeah You used to call me on my cell phone Late night when you need my love Call me on my cell phone Late night when you need my love And I know...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
ADABU YA MUME KWA MKEWE. 1. Usitangaze udhaifu wa mkeo kwa familia na marafiki, kila mmoja anamtunzia mwenziwe hadhi yake. 2. Usiwe na mtizamo mbaya wala kuzungumza naye kwa hisia kali huwezi...
5 Reactions
19 Replies
4K Views
"Love Yourself" For all the times that you rain on my parade And all the clubs you get in using my name You think you broke my heart, oh, girl for goodness' sake You think I'm crying on my own...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…