BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,778
- 3,321
Kuna baadhi ya wanawake wa kiswahili sasa sio mabadiliko ya mwili ni sifa au kukomoana, unakuta unatakiwa ulete vitu kibao visivyo vya kawaida, wengine utafikiri anaitwa usiniguse, ndio mahaba yenyewe?
Hili tatizo lipo sana kwa wanandoa na wale ambao wako kwenye mahusiano yanayotambuliwa hata kama ndoa bado (mwanaume yupo active)
Hivi mmewahi kujiuliza kwanini wazungu, au wabongo waliotelekezwa na wanaume zao,waliofiwa na wenza wao kabla ya kujifungua hawanaga swaga hizo?
Mbona kuna wanawake wengine hawasumbui hivyo?Mnaoigiza acheni hizo! mnatukondesha bure. kwa wanaume wanaopenda hii hali nawapa big up, binafsi napenda 'usungu'.
Samahani lakini kwa jiwe la gizani.
Hili tatizo lipo sana kwa wanandoa na wale ambao wako kwenye mahusiano yanayotambuliwa hata kama ndoa bado (mwanaume yupo active)
Hivi mmewahi kujiuliza kwanini wazungu, au wabongo waliotelekezwa na wanaume zao,waliofiwa na wenza wao kabla ya kujifungua hawanaga swaga hizo?
Mbona kuna wanawake wengine hawasumbui hivyo?Mnaoigiza acheni hizo! mnatukondesha bure. kwa wanaume wanaopenda hii hali nawapa big up, binafsi napenda 'usungu'.
Samahani lakini kwa jiwe la gizani.