Si Kasie yuleyule uliyemjua

Si Kasie yuleyule uliyemjua

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,805
Reaction score
43,230
Nimekutana na mambo, visa na mikasa..............
Nimekutana na vijaluba vya dunia hii vyoote unavyovijua..............
Dua mbaya zote zilizokuwa zinaombwa juu yangu bila kujua idadi yake.....
Kuna ambazo zimenidondosha na kuniumiza....................... watuma dua mbaya furahinii......
Nimekuwa tofauti na juzi jana na juzi ya juzi............
Siimbi tena, sisemi tena, sitabasamu tena, silali tena, sichezi tea...............
Njia iliyopo mbele yangu ni nyembamba na ukuta unazidi kuwa mbembamba..........
kila siku ipitayo nazidi kupungua................
Natamani kurudi kuleeeeeeeeeeeeeeeee.............. sina jinsi...............
A VERY NARROW PATH........... KASIE IS ON IT............... THINK AM CAT WALKING.............
IT WOULD BE BETTER IF IT WERE CAT WALKING................. OOOH LORD HAVE MERCY............!!!!
Because if I'll keep on walking on this narrow path............... I'll be going for good........... for ever.!! and there will be No More Kasie Thing.
 
Jf kuna mengi, naona leo umekuja kivingine Kasie, vp mjeda kashaondoka au ndio bado mnaliwazana
 
Maisha ni kama wave path, hayajanyooka,

Kuna watu wanajua maisha siku zote yamenyooka tu, ukiona uko kwenye hilo group we sio mwenzetu.
 
Nimekutana na mambo, visa na mikasa..............
Nimekutana na vijaluba vya dunia hii vyoote unavyovijua..............
Dua mbaya zote zilizokuwa zinaombwa juu yangu bila kujua idadi yake.....
Kuna ambazo zimenidondosha na kuniumiza....................... watuma dua mbaya furahinii......
Nimekuwa tofauti na juzi jana na juzi ya juzi............
Siimbi tena, sisemi tena, sitabasamu tena, silali tena, sichezi tea...............
Njia iliyopo mbele yangu ni nyembamba na ukuta unazidi kuwa mbembamba..........
kila siku ipitayo nazidi kupungua................
Natamani kurudi kuleeeeeeeeeeeeeeeee.............. sina jinsi...............
A VERY NARROW PATH........... KASIE IS ON IT............... THINK AM CAT WALKING.............
IT WOULD BE BETTER IF IT WERE CAT WALKING................. OOOH LORD HAVE MERCY............!!!!
Because if I'll keep on walking on this narrow path............... I'll be going for good........... for ever.!! and there will be No More Kasie Thing.

Is this a poem, song, story or what?
 
utulipe sasa maana tunasoma tusichoelewa
 
Pole sana, hii ndiyo hawamu ya tano ya Mh. Magufuli, si ww tu wengi wanalia.
 
Yamekusibu yapi!! Mpendwa Kasieeh...
Umetuacha njia ya panda wenzio!!
 
jamani kasie wamekusogeza na njia nyembamba.. sasa zile crush itakuwaje tena?
 
I'm not smiling to you... I'm asking you a question. Do you know how to kiss??
your question made me smile.... that's what am thanking for ................
 
Sasa mjeda sijui kasharudi Jeddah[emoji134]
 
Kweli nakunywa juice sana, vp ungependa kuwa kama mm nikupe siri ya mafanikio?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom