Natafuta mke

idrisabizzy

Senior Member
Dec 5, 2015
112
48
Ndugu wana JF mie ni kijana wa miaka 28 naishi Dar. Nimemaliza chuo na kuna sehem nafanya kazi. Natafuta mwanamke wa kuoa coz nimechoka kua single for a long time. Natafta mwanamke aliye serious na relationship.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom