NAPENDA MWANAMKE MNENE, MWEUSI

NAPENDA MWANAMKE MNENE, MWEUSI

mudy92

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
671
Reaction score
535
hellow jamaa niko Serious very serious...!
napenda nikutane na Mwanamke Mnene kwelii (bonge,tufe) mweusi ninapenda sana mwanmke wa Namna Hiyooo!!
please please!

nina Miaka 25
mrefu mweusi
elimu shahada Ya Kwanza
 
Nikuunganishe nao? 49yrs and above....
 
Duh! Yani wewe unatafuta tenga la nyanya sokoni? Mbona wapo wengi sana watu wa type hiyo? Ukiwakosa Dar, karibu Mbeya. Kila baada ya mita tano utakutana nao... Labda kama huoni vizuri...
 
hellow jamaa niko Serious very serious...!
napenda nikutane na Mwanamke Mnene kwelii (bonge,tufe) mweusi ninapenda sana mwanmke wa Namna Hiyooo!!
please please!

nina Miaka 25
mrefu mweusi
elimu shahada Ya Kwanza
Shahada ya kwanza chuo gani?? Nahisi ni kile chuo kilichofungwa kile kwa kutoa elimu chini ya kiwango!!
 
Kwahiyo unataka wajitongozeshe kwako kupitia jf?

Kuwa rijali, tongoza mwanamke ana kwa ana na sio kupitia mitandao.
 
Back
Top Bottom