Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wanaume huwa na sababu nyingi za kuwataka wanawake kimapenzi, lakini kubwa kuliko yote ni tamaa za kimwili, mengine huja baadaye. Siku hizi mambo yamebadilika, hata wanawake huwa tunawatamani...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
2 Reactions
6 Replies
3K Views
zamani wanawake walikuwa wanahangaika huku nna huku kumridhisha mwanaume. wanaenda kwa waganga, wanagombana, wanajinyenyekeza, wanahudumia kama watumwa. na waliishi kwa mashaka makubwa. siku hizi...
20 Reactions
82 Replies
9K Views
Wewe dada umealikwa na mpenzi wako small meating tu mkutane either hotel au sehemu nyingine, iweje uende na marafiki zako kibao kama vile mnaenda part? Unapokuwa na apointiment na mpenzi wako...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Iwe ni mara yako ya kwanza,au umezoea kutoka na mtu wa jinsia tofauti lazima kuna vitu uzingatie ili usiharibu ladha na maudhui ya mtoko wako.Kwani ni ukweli ulio wazi kuwa mpaka umekubali kupata...
5 Reactions
43 Replies
14K Views
Dada zangu,kaka zangu na wadau wote wa Jf,naombeni mnisamehe,nimekuwa kihelehele kutafuta wachumba mitandaoni hasa kwa humu sasa nimejifunza. Naahdi kurudi shule tena,na kamwe sitapost thread...
2 Reactions
105 Replies
15K Views
A mistake is an accident. Cheating and lying are not mistakes, they are intentional choices. Stop hiding behind the word mistake when you get caught. Kukosea ni ajali. Kudanganya kimapenzi au...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Pamoja na mapungufu ya kawaida ya kibinaadamu bado wanapa heshima kubwa sana dada/mama zetu. Mwanamke atahakikisha mume,watoto na wanafamilia wanaishi vizuri kwa kuwapa kile kinachostahili...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
It is Good Friday, DASH DASH VACATION I have just landed from Joberg and guess who met Kasie on a flight..... Henry King. ........ oooooooooo Don't ask where I am right now cause am kidnapped by...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Hi guys, Nina kitu kinanikera kwa mshikaji wangu, nahitaji ushauri wenu mana najua ninayekereka si mimi tu I have a best friend, yuko helpfully when it comes to problems,muwazi kwangu na kiukweli...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
NAMPONGEZA ALIYEANDIKA HILI: SHARE! Mke na Mume asubuhi moja wamegombana ndani ya nyumba. Mwanaume anadai kwamba mkewe ndio mwenye kosa na anapaswa kumuomba msamaha. Mke hakuona ni issue kwake na...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Siku zote napata mschana nampendaaaa nae ananipendaa sana,nakuwa siwez kukaa bila kumfikiria nae hawez kuish bila kuniwaza kias kuweza kuongea masaa na masaa kila siku na kila mda,ila ikifika mwez...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
hichi kitu kinaniumiza kichwa kweli. maana naona asilimia kubwa ya jamii za kiafrica sijui ulaya na Asia.. ukiwa na Dem unakuwa ww ni wa kumhudumia kila kitu mfano umemtoa out mkiagiza mhudum...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao, sina vigezo, yeyote yule. Namba yangu ni 0624082051
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanaume wengi tunawalaumu wanawake bure ila kiukweli wanaume wengi hawawaridhishi wanawake wao ni ma selfish, maana dk 2 nyingi kushusha wareno wakati wanawake si chini ya dk 12 ndiyo aangue...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba nielimishwe ni kwa vipi Mwanaume anamridhisha Mwanamke kimapenzi.Nitafurahi sana kwa kupata elimu pana kuhusu hili.
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Hello, Najitokeza hapa kutafuta mwenza/ mchumba wa kike kwani naamini anapatikana popote pale. Napenda mwenza huyo awe dini yeyote mwenye kumjua Mungu, awe mkweli na mwenye melango ya maisha...
0 Reactions
1 Replies
938 Views
Eti wakuu kuna ukweli kwenye hili? 1) Kwanza kabisa ni wavivu kwenye swala zima la mahaba, eti wanadai wamechoka na mihangaiko akirudi nyumbani yeye anakula tu kisha analala, hapo ujue ndio...
15 Reactions
73 Replies
12K Views
Jamani nimeletwa na serikali ya Tanzania kuja kusomea magonjwa ya macho hapa, Tulipelekwa field sasa nimekutana na Professor Mghana, ni kijana, mzuri, nikimuona ninachanganyikiwa. Kibaya zaidi...
4 Reactions
136 Replies
14K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…