Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Usaliti ni Asili ya Mwanaume Ni asili ya mwanaume kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja au kutoka nje ya ndoa na hata mahusiano. Mara kwa mara nimewasikia watu wakisema hivi na nimekuwa nikijiuliza...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Leo tunazungumzia ni kwanini wanaume wengi hupenda kutoka nje ya ndoa zao ama kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja. Haimananishi kuwa mwanaume anapotoka nje ya mwenzi wake amemchoka ama hamtaki...
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Karatasi nakamata,kueleza yalosibu Nna kipande cha kashata,nlichonunua Bububu Kashata yenye utata,utamuwe wasulubu Nimeziona kashata,ya bububu ni pekee Kitaka kula najing'ata,kwa utamu so...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mimi ni kijana mwanaume mwenye miaka 28, nahitaji msichana kwa ajili ya kufunga ndoa. Umri kati ya 20-28, awe mcha Mungu. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane PM.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Najua ulinipenda na ulipenda mapenzi yetu yafike mbali zaidi lakini kwangu haikua hivyo. Nilikuona rafiki tu, kwanza umri wetu unafanana. Wewe mwanamme una safari ndefu kufikia malengo yako so...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Ninakusaidia kwa kila jambo unaloniomba na wala sikuiti masikini waliombaomba kwangu. Ila inatokea siku nakuwa siko fresh unaponiomba nikutatulie shida zako. Ila baada ya kushukuru unatoa ruga...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Nimekuwa na mtindo mbaya sana. Kila nikiwa na mwanamke namvutia hisia ya mwanamke mwingine.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana nimeondokai na kumwanchia dada moja ambaye alikuja kwenye appointment na rafiki yake bilakunishirikisha,nilishangaa kila mmoja anaagiza kuku mzima! na Henken. Nilikuwa na Pesa za kutosha...
7 Reactions
259 Replies
24K Views
Mpe mimba tuu.. Hiyo ni fainali yake
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mimi na mzazi mwenzangu tumeishi miaka sita na tuna watoto wawili, mkubwa yuko darasa pili. Bahati mbaya nimegundua mwenzangu anachepuka na mwanaume ambaye tunaishinaye maeneo ya jirani, pia...
1 Reactions
103 Replies
11K Views
  • Closed
Wakuu, Nipo kwenye lindi la mawazo kuhusu housegirl wetu ambae nilimpa mimba kwa bahati mbaya. Mimi nina mke na familia yangu huyu binti sasa anataka nimfanyie kitu mbaya maana mimba hataki...
6 Reactions
176 Replies
27K Views
Wanaume huwa na sababu nyingi za kuwataka wanawake kimapenzi, lakini kubwa kuliko yote ni tamaa za kimwili, mengine huja baadaye. Siku hizi mambo yamebadilika, hata wanawake huwa tunawatamani...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
2 Reactions
6 Replies
3K Views
zamani wanawake walikuwa wanahangaika huku nna huku kumridhisha mwanaume. wanaenda kwa waganga, wanagombana, wanajinyenyekeza, wanahudumia kama watumwa. na waliishi kwa mashaka makubwa. siku hizi...
20 Reactions
82 Replies
9K Views
Wewe dada umealikwa na mpenzi wako small meating tu mkutane either hotel au sehemu nyingine, iweje uende na marafiki zako kibao kama vile mnaenda part? Unapokuwa na apointiment na mpenzi wako...
2 Reactions
49 Replies
5K Views
Iwe ni mara yako ya kwanza,au umezoea kutoka na mtu wa jinsia tofauti lazima kuna vitu uzingatie ili usiharibu ladha na maudhui ya mtoko wako.Kwani ni ukweli ulio wazi kuwa mpaka umekubali kupata...
5 Reactions
43 Replies
14K Views
Dada zangu,kaka zangu na wadau wote wa Jf,naombeni mnisamehe,nimekuwa kihelehele kutafuta wachumba mitandaoni hasa kwa humu sasa nimejifunza. Naahdi kurudi shule tena,na kamwe sitapost thread...
2 Reactions
105 Replies
15K Views
A mistake is an accident. Cheating and lying are not mistakes, they are intentional choices. Stop hiding behind the word mistake when you get caught. Kukosea ni ajali. Kudanganya kimapenzi au...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Pamoja na mapungufu ya kawaida ya kibinaadamu bado wanapa heshima kubwa sana dada/mama zetu. Mwanamke atahakikisha mume,watoto na wanafamilia wanaishi vizuri kwa kuwapa kile kinachostahili...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
It is Good Friday, DASH DASH VACATION I have just landed from Joberg and guess who met Kasie on a flight..... Henry King. ........ oooooooooo Don't ask where I am right now cause am kidnapped by...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…