Nina nyumba ndogo ambaye nimezaa naye mtoto mmoja,namhudumia kwa kiasi kikubwa na chumba nimempangia.
Juzi kati akaniaga kuwa anaenda kumsalimia mama yake,nikampa na nauli mida ya mchana...
Nimesoma naye primary na kwa uhohehahe wangu nilimwogopa kumtokea. niliendelea kusoma kwa bidii hadi chuo kikuu na kuajiriwa serikalini,baada ya hapo nikaamua kumtafuta, kweli nilimpata ila tayari...
Wana jf naandika kwa masikitiko makubwa
Nimepata mpenzi nimekutana nae kama mara nne lakin sijamridhisha hata mara moja! baada ya kukaa nae kupiga story akaamua kuniambia alikuwa ana danganya...
Wanajamvi heshima kwenu...
Basi weekend hii nikiwa kwenye ufukwe mmoja hapa Jijini mida ya saa tatu za usiku nipo nazugazuga ufukweni ikaja gari yenye namba za DFP,ilikuja kwa mwendo mkali sana...
Mambo vipi wadau,
Leo ngoja niseme na kinadada ambao wanapendeza sana ila tatizo wana vitambi aisee.
Nawaomba dada zangu punguzeni kula vyakula ambavyo vinawafanya mpate vitambi mnapendeza sana...
Hi there,
I am man from Tanzania, and I am 23years of age, 65kg and 178cm tall. By now am still a student attending my studies at a certain institute at Dar es salaam.
I am a caring, truthful...
Tulipotoka chuo mwanzoni mwa miaka ya 2000 mimi na rafiki yangu kipenzi tulipata kazi nzuri na yenye kulipa vizuri sana, kazi hiyo tulitafutiwa na Mchumba wa huyo shosti wangu, tulipomaliza...
Wandugu nawasalimu
Mchumba ambae ninaishi nae ni mjamzito wa miezi karibia nane sasa anapata maumivu tukikutana kimwili, tumeacha kukutana kama miezi 2 nyuma sababu hiyo
Sasa mm Hali yangu...
Inasemekana wadada wana tabia tofauti katika mapenzi kulingana na maumbo ya miili yao.
1. Wasichana wafupi wanaongoza kwa
wivu wa mapenzi na kuwajali wapenzi wao
2. wasichana warefu huwa...
RIWAYA: PUMBAZO
NA: George Iron Mosenya
SEHEMU YA KWANZA
ILIKUWA yapata majira ya saa tatu na dakika zipatazo
kumi na mbili kwa mujibu wa saa yangu ya mkononi.
Nilikuwa nimegida chupa za pombe...
Habari wakuu,
Hii kitu imenitokea kwangu na ninahisi mwanaume mwezangu simtendei haki, kuna binti mmoja nilikuwa naye kwenye mahusiano kipindi cha nyuma, tukapotezana takribani miaka miwili...
What do girls first notice in a guy as soon as they set eyes on him? The shoes? The car-keys? The body language?
These are the first 5 things a girl notices in a guy the first time she meets...
imetokea kasumba kuona wengi wakitoa ushauri kwa wanaotaka wapenzi kuwa ni vyema wakaenda kujaribu bahati yao facebook ama kwingineko.
Mimi nawaambia hata hapa ni sokoni,watu wapo kazini,wateja...
"Yuko wapi? Yuko na mwanamke mwingine? Inakuwaje ameniweka hapa muda mrefu hivi? Mke mwenye hasira alikuwa akijiuliza wakati akimsubiri mumewe.
Mahusiano yake na mumewe hayakuwa mazuri kwa miaka...
Wanaume wenzangu mlio kwenye ndoa au mahusiano yoyote, nafahamu mnatafuta pesa kwa kila namna asubuhi mpaka jioni, kwa ajili ya hao mnaowaita wapenzi wenu! Swali hili huwa linaniumiza kichwa sana…...
Mabibi na mabwana heshima kwenu,
Nimekuwa nikisikia tu watu wakisema ama kwenye vyombo vya habari kuhusu wanaume kupigwa na wanawake, lakini jana nimejionea kwa macho, jinsi bwana alivyokuwa...
Dahh, Wakenya ni hatari sana.
Yaani Mbaba ameamua kuvulia kwenye tenga. Na mbaya zaidi huyo Samaki ni Mtoto wake.
Inatia Kinyaa pale Samaki anapoanza kusema "I Love my Father so much...."
Ila...