Kaniambia simridhishi

bidam90

JF-Expert Member
Aug 28, 2013
273
202
Wana jf naandika kwa masikitiko makubwa

Nimepata mpenzi nimekutana nae kama mara nne lakin sijamridhisha hata mara moja! baada ya kukaa nae kupiga story akaamua kuniambia alikuwa ana danganya ili asinichoshe kwani nilikuwa najilazimisha na kujikaza tu wakati mwengine nilitumia mbinu nyengine kama vidole ili kumfikisha ila alikuwa ana fake kufika!!sababu ya yote ni kuwahi kufika mapema nikiingiza namwaga tena kagoli kamoja.

Kwasasa kakataa kabisa kukutana nami kwani namtesa kwa kumuacha njian na kufikiria kufanya mda wote!Nimepewa likizo mpaka pale nitakapokuwa vizuri

Hakuna kitu kinauma kama kutokumfikisha mwanamke,wadada ni vyema kuwa wawazi kwa w'me wenu kuliko kumsaliti au kutafuta mwengine wa kukuridhisha kabla hamjapata ufumbuzi wa tatizo kwasasa nimeanza zoezi na kula vyakula vya kuongeza nguvu (nimeacha punyeto,chipsi na soda) sitaki kutumia njia za mkato.

Nitaleta mrejesho baada ya wiki 1
 
Very nice kwa mdada kuwa muwazi wengine hufa kisabuni wakiogopa kutukatisha tamaa...Japo nadhani asingekupa likizo mngeendela kuwa pamoja na mtafute ufumbuzi wote kwa pamoja maana kuna wanaume wengine wao ndivyo walivyo dk 1 yeye kamaliza...Sasa ikiwa hivyo kwako ndo uhusiano umeishia hapo..
 
Very nice kwa mdada kuwa muwazi wengine hufa kisabuni wakiogopa kutukatisha tamaa...Japo nadhani asingekupa likizo mngeendela kuwa pamoja na mtafute ufumbuzi wote kwa pamoja maana kuna wanaume wengine wao ndivyo walivyo dk 1 yeye kamaliza...Sasa ikiwa hivyo kwako ndo uhusiano umeishia hapo..
Hapana mkuu twaendelea kuwasiliana sana kwa simu.Kaniahidi zoezi na chakula vikifeli tutaenda wote hospitali so yupo pamoja na mie kwe hili tatizo!!Anachoogopa ni akiniona anatamani kukutana na mie kwani anakuwa kwe "high excited state"!!
 
Hapana mkuu twaendelea kuwasiliana sana kwa simu.Kaniahidi zoezi na chakula vikifeli tutaenda wote hospitali so yupo pamoja na mie kwe hili tatizo!!Anachoogopa ni akiniona anatamani kukutana na mie kwani anakuwa kwe "high excited state"!!
Sawa kabisa mkuu ila jitahidi wakati upo likizo nikupe hmework ingine tumia mda huo pia kujifunza jinsi ya kucheza na gitaa vidole viwe flexible kabisa..Maana ukitumia vidole hivyo vizuri hakika unaweza mfikisha kunako paradiso...Imagine unadhani wale lesbian wako na kifanyio basi ni utaalamu wa kucheza vizuri mpaka wanasema best ako akikamatwa na hao malesb kwako hatokuja kamwe..
 
Very nice kwa mdada kuwa muwazi wengine hufa kisabuni wakiogopa kutukatisha tamaa...Japo nadhani asingekupa likizo mngeendela kuwa pamoja na mtafute ufumbuzi wote kwa pamoja maana kuna wanaume wengine wao ndivyo walivyo dk 1 yeye kamaliza...Sasa ikiwa hivyo kwako ndo uhusiano umeishia hapo..
Mdada yuko sahihi mkuu, haiwezekani kuendelea kukaa pamoja kwa sababu mdada anateseka!!.....sasa hayo ndiyo matunda ya punyeto na kila mtu ajifunze hapa!
 
Funga jiwe la kilo 1 kwa mboo simama kwa dakika 20 kila siku kwa wiki mbili thn kutana naye uyo utakuja kunipa ripoti baada ya gemu
 
one goal like chelsea hahaha!!! any way nauza pweza kazi ni kwako
 
Paka chongo si itashindwa kusimama kabs kaka kwanza huyu dada nimempenda bure kwa sbb ni kati ya wanawake jasiri kupita maelezo wengi hawasemi hii kitu cha mhimu jamaa aache papara anapokuwa nae faragha huyu keshazoea mashine kubwa
 
Funga jiwe la kilo 1 kwa mboo simama kwa dakika 20 kila siku kwa wiki mbili thn kutana naye uyo utakuja kunipa ripoti baada ya gemu
duuh mkuu hiyo avatar yako ni balaa, by the way sichoki kuitazama
 
mkuu ni pm fasta nikusaidie kama unakaa Dar yaan nikusaidie hutonisahau nimesaidia wengi wenye matatizo kama yako sana pole ninja hawa wadudu hafiki hivi hivi Kileleni kwa kukojoa kaa dagaa
 
Back
Top Bottom