navutiwa sana na mavazi ya asili ya wanawake

Kuna ukweli kwa mbaali nauona hapa..Ila no way out, tujitahidi kuendana na utandawazi coz ndipo tulipofikia sasa. Hayo mambo ya zamani yanatoweka polepole.
 
Nimecheka si kwa furaha bali kwa masikitiko. Hayo unaweza yapata sehemu maendeleo hayapo na yana kua polepople na naamini ni vigumu sana. Lakini pia inaonyesha maisha gani umekulia na mazingira. Acha kuota na ishi maisha ya leo.
 
Miaka ya 2000 unalilia miaka ya 70,watfte wasandawe na wahadzabe bado wapo huko
 
Wengi mnaolalamikia "nguvu za kiume" mmeota sugu kwenye ikweta, tutaanza kuwapitishia nondo mkome.
Walalamika ni ni nyie wenyewe kutwa kutafuta dawa humu.... Mkitupitishia nondo tutafurahi jamani atleast mtairudisha furaha yetu iliyotoweka kwa ajili ya upungufu wa nguvu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom