Msaada: Hospitali ya kujifungulia jijini Arusha

Msaada: Hospitali ya kujifungulia jijini Arusha

dist111

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
3,943
Reaction score
3,531
Heshima kwenu!

Naomba wadau mnisaidie kunielekeza hospitali nzuri kwa ajili ya kujifungulia katika jji hili la arusha!

itakuwa vizuri ukinipa na direction kidogo jinsi ya kufika hapo.

NB: Nimepost jukwaa hili nikijua nitapata msaada stahiki
 
Bora nimeuona uzi huu!!

Kwa mara ya pili sasa mke wangu anabeba mimba na siku ya kujifungua ikifika, anajifungua watoto wafu.

Kwa sasa nipo Arusha mjini na Mke wangu ni mjamzito.

Je, ni hospitali gani inatoa huduma nzuri za uzazi (mjamzito kujifungua) mjini Arusha? Na gharama zake zikoje?

Msaada tafadhali.
 
Bora nimeuona uzi huu!!

Kwa mara ya pili sasa mke wangu anabeba mimba na siku ya kujifungua ikifika, anajifungua watoto wafu.

Kwa sasa nipo Arusha mjini na Mke wangu ni mjamzito.

Je, ni hospitali gani inatoa huduma nzuri za uzazi (mjamzito kujifungua) mjini Arusha? Na gharama zake zikoje?

Msaada tafadhali.
First you need Jesus.
 
Bora nimeuona uzi huu!!

Kwa mara ya pili sasa mke wangu anabeba mimba na siku ya kujifungua ikifika, anajifungua watoto wafu.

Kwa sasa nipo Arusha mjini na Mke wangu ni mjamzito.

Je, ni hospitali gani inatoa huduma nzuri za uzazi (mjamzito kujifungua) mjini Arusha? Na gharama zake zikoje?

Msaada tafadhali.
Seliani hospital upo karibu Na stand ndogo Ni nzuri Sana, ila Kama huna Bima Ni gharama Sana pale, ila jitahidi upate Mchungaji mzuri amuombee kabla ya kwenda kujifungua
 
Mpeleke mapema St Thomasi umuone Dr Msuya mapema ili apate history ya mamaa!
Vile vile maombi ni muhimu bila kujali dini kwenye kipindi hiki!!
 
st thoma hamna kitu wanatumia ma daktari wa mt meru afu wana kashfa nyingi. Nenda Mt Meru muone dr lekundayo
 
Si kila mtu ni mkristo. Kama wewe @ Mbavu za mbwa ni muislamu, omba Mungu kwa imani ya dini yako na kitabu chako Quran.

Usidanganyike na hao wachungaji matapeli.

Kwa hospitali, nenda St. Thomas au ALMC.

Zaidi tunakuombeeni Mungu awape wepesi ktk uzazi wenu.
 
Hospitali zote ni nzuri. ..maana wote wamesomea hayo mambo na ni taaluma yao...maswala ya vifo ni kitu kingine kabisa.

Kama ni wagonjwa kupata matatizo hilo ni swala lingine kabisa..sasa isiwe tabu kuanza kukosoa huduma wakati kila mtu ana tatizo lake.

Ukitazama mambo case by case hutabagua kituo
 
GYNECOLOGISTS IN ARUSHA

....DR LEKUNDAYO
.....DR MSUYA
.....DR MLAY
.....DR WANJARA
.....DR SWEKE
.....DR MGETA

Kwa wakunga wenye uzoefu wa kuzalisha na kuokoa maisha ya mtoto utawapata Mt Meru...
 
Mie mke wangu alijifungua salama salmini, alikaa labour 2hours na kujifungua! Nashukuru mungu
 
Eti first u need jesus. Kweli dini imeshakua sumu kwa watu
Yaani mtu asitafute hospital nzuri amwamini kwanza yesu! Watu tubadilike jamani ya mungu tumuachie mungu ya duniani tuyafuate
 
Old arusha pia ni pazuri nazani baadhi ya madoctor wa mt meru wana part time apo. Ipo pembeni ya jengo la pspf
 
Back
Top Bottom