Habari kwenu nyote
Nimekuja humu leo kwasababu na shida muhimu sana iliyotokea kwenye maisha yangu naitaji msaada kuna wale watu waliobarikiwa kusaidia wenzao ukiguswa naomba uniandikie pm naitaji msaada wa hali na mali siwezi kuandika shida yangu hapa naomba ieleweke
Siitaji matusi au kebehi kwasababu mtu mpka amekuja huku kuandika kitu amefikiria kwa mapana na marefu na ana shida kweli na anateseka so plz if u will be touched do write to me thanks
Nimekuja humu leo kwasababu na shida muhimu sana iliyotokea kwenye maisha yangu naitaji msaada kuna wale watu waliobarikiwa kusaidia wenzao ukiguswa naomba uniandikie pm naitaji msaada wa hali na mali siwezi kuandika shida yangu hapa naomba ieleweke
Siitaji matusi au kebehi kwasababu mtu mpka amekuja huku kuandika kitu amefikiria kwa mapana na marefu na ana shida kweli na anateseka so plz if u will be touched do write to me thanks