Bila kumung'unya maneno, kati ya mwanamke na mwanaume, nani bingwa wa kuchepuka?

Kuchepuka ni chances mkuu...yeyote aliehafifu (nikimaanisha, angle zote kitandani, fweza au peza) lazima achepushwe...so hakuna nan zaid! The higher weak the higher the risk...
 
Wanawake ni mabingwa wa kuchepuka na waume za watu. Wanaume wanachepuka na dogodogo, wachache wanachepuka na wake za watu
 
Ila siku hizi videmu vimekuwa vingi tena ni vizuri hatari. Ndoa za watu zinakuwa kwenye wakati mgumu.
 
kiupande wangu Mimi NINACHEPUKA zaidi kuliko mwenza wangu.
saa sijui hii itakuwa imekaaje??
 
Hatari sana tumewazidi kwa kweli wanawake tena tumewazidi kwa mbali sana kwa hili tunaongoza ati hatari sana
 
Mwanamke hana uwezo wa kuchepuka, anayechepuka ni mwanaume tu, Mwanamke hachepuki Bali hupenda kwingine. Mwanaume anachepuka hata kwa chizi, jiulize mwanamke anaweza lala na chizi? Hivyo mwanamke akitoka nje ya ndoa hajachepuka bali kapenda mwingine anayemfaa zaidi yako so wewe haunahazi kwake tena
 
Wanawake ni mabingwa wa kuchepuka na waume za watu. Wanaume wanachepuka na dogodogo, wachache wanachepuka na wake za watu
Unajipinga mwenyewe , Kama wanaume walio kwenye ndoa wanachepuka na dogo dogo basi hakuna mwanamke aliye kwenye ndoa anaye weza kuchepuka na mume wa mtu , atampata wapi wakati yupo buse na dogodogo.
 
Back
Top Bottom