Natafuta mwalimu wa kuoa

Natafuta mwalimu wa kuoa

Unataka mwalimu wa levo/ elimu gani? Kuna dada mmoja (mbichi) ni mwalimu na kamaliza PhD ya kiswahili hivi karibuni, sina taarifa (up date) kama keshapata 'bwana' ila kama unataka nikusogeze hapo kwa dada msomi mwenye PhD yake nitakupa tafu... Wala usipate shaka...
 
Unataka mwalimu wa levo/ elimu gani? Kuna dada mmoja (mbichi) ni mwalimu na kamaliza PhD ya kiswahili hivi karibuni, sina taarifa (up date) kama keshapata 'bwana' ila kama unataka nikusogeze hapo kwa dada msomi mwenye PhD yake nitakupa tafu... Wala usipate shaka...
Duuuh! Atamuweza hyo aisee kwa mshaara huu wa laki tano na hapo kama ana shahada
 
walimu me ni shida hapo kajipigia mahesabu mamyy akichukua mkopo mil 12&mimi 12=24 kiwanja mil 4 hyo 20mil tumejenga[emoji3] [emoji3] [emoji3] wapenda kujichanga hao[emoji126] [emoji126] [emoji126]
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe ndo maana mnatuepuka sisi walimu wenzenu. Lakini mbona ni nzuri hiyo mnajikomboa kwa pamoja kuliko kuishi peke yako ukisubiri mume mwenye kazi yenye mshaara mzuri. Hatimaye unaendelea na umaskini wako au unakuwa single mum unateseka kulea mtoto peke yako. Think twice madam
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe ndo maana mnatuepuka sisi walimu wenzenu. Lakini mbona ni nzuri hiyo mnajikomboa kwa pamoja kuliko kuishi peke yako ukisubiri mume mwenye kazi yenye mshaara mzuri. Hatimaye unaendelea na umaskini wako au unakuwa single mum unateseka kulea mtoto peke yako. Think twice madam

umeona wapi nimeansika habari ya mwenye mshahara mkubwa?? wala ti jamani nimeainisha tu hayo mambo sijamzibia rizk mtu hapo[emoji3] [emoji3] imekugusa eeehh! mshahara mkubwa sio issue kwangu je ni mtafutaji? harembi kwenye kazi basi sio mwalimu tu lakin macho yake kodo kwenye increment, daraja atanichwfua[emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
umeona wapi nimeansika habari ya mwenye mshahara mkubwa?? wala ti jamani nimeainisha tu hayo mambo sijamzibia rizk mtu hapo[emoji3] [emoji3] imekugusa eeehh! mshahara mkubwa sio issue kwangu je ni mtafutaji? harembi kwenye kazi basi sio mwalimu tu lakin macho yake kodo kwenye increment, daraja atanichwfua[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hahaa, Mwajuma kutafuta sio ishu sema inategemea na mazingira uliyopo. Mimi wilaya niliyopo hata ukiamua kufanya bihashara haziendi
 
Hahaa, Mwajuma kutafuta sio ishu sema inategemea na mazingira uliyopo. Mimi wilaya niliyopo hata ukiamua kufanya bihashara haziendi

hahaha hata yakuuza maji? au hamna ahoda ya maji? kama kuna ahida ya maji nunua tank la litre5000/ vuna maji ya mvua uza ndoo 300. 5000×300=? maana kama ni kijijini sana kiwanja ni kama milion hiv! unashindwa weka room 1 uvune maji?? vipi kuku wa kienyeji hawakui? ufuta je? ukichukua mitumba mjini ukawatembezea je? au ubishoo? kama huko wanalima nunua tutumie huku tukuungishe[emoji3] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
hahaha hata yakuuza maji? au hamna ahoda ya maji? kama kuna ahida ya maji nunua tank la litre5000/ vuna maji ya mvua uza ndoo 300. 5000×300=? maana kama ni kijijini sana kiwanja ni kama milion hiv! unashindwa weka room 1 uvune maji?? vipi kuku wa kienyeji hawakui? ufuta je? ukichukua mitumba mjini ukawatembezea je? au ubishoo? kama huko wanalima nunua tutumie huku tukuungishe[emoji3] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hilo mitumba sawa, ila kulima ni ngumu sana. Wew uko mkoa gani sasa
 
mitumba, special za bei ya chini kama ni washamba bado! kwa nini kilimo hakifai?
Ardhi ni ngumu kuipata alafu sio rahisi kupata soko maana barabara ya kwenda mwanza ni mbovu sana ambapo tungepata soko la mazao yetu.
 
Back
Top Bottom