Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Ukweli ni kwamba miaka mingi ya nyuma dunia ilikuwa na watu ambao walikuwa sawa, idadi ya wanaume ilikuwa sawa na wake, ila miaka ilivyozidi kwenda wanawake walizaliwa kwa speed maradufu ya waume...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Natafuta rafiki wa kuchat nae Awe mature Age 30 and above if interested ni PM
8 Reactions
26 Replies
4K Views
Unaweza kuoa mke nyumba moja na ndugu yako wa damu,Na unaweza kuolewa nyumba moja na dada yako wa damu.Kama ulishawahi ona tupe pia ushuhuda
0 Reactions
30 Replies
9K Views
ni baba wa makamo natafuta mwanamke muelewa tupange maisha.Niko dar, nipm lmpliz
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi ni mdada wa umri wa miaka 29,naishi Dodoma mjini, natafuta mwanaume ambaye makazi yake ya kudumu ni Dodoma ili tufanye maisha i really need a family now! . Mimi ni mkristo and I am a...
9 Reactions
75 Replies
10K Views
WANANDOA wakongwe wanaoaminika kuwa na ndoa zenye umri mkubwa kuliko zote ndani ya Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wanatarajia kutunukiwa tuzo maalumu, Jumapili wiki hii katika tukio...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Jaman wana jf wenzangu, Leo nipo katika kiza kizito Sana, yaliyonikuta Leo wala sikutegemea, lakini Namwachia Mungu, kweli hakuna ajuaye kesho,ntapotea kwa muda huku, kwaherini
4 Reactions
61 Replies
9K Views
Sababu hasa ni ipi? Kwani nimesikia wengi sana wakisema ni lazima kuoga baada ya kumaliza kujamiiana, mpaka leo sijaelewa sababu hasa ni ipi?
5 Reactions
156 Replies
32K Views
Katika ulimwengu wa leo, kuna kitu ambacho nimeshindwa kabisa kuelewa kinafanywaje, japo kukiri huku kunaweza sababisha wanaume wengi wasinielewe. Mie sijui kabisa kutongoza mwanamke tuliyekutana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi poleni na majukumu ya hapa na pale, Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa kawaida baadhi ya wanawake hulinda ndoa zao kwa kutumia limbwata ili kuzitawala familia zao hasa...
7 Reactions
68 Replies
12K Views
Habari zenu wanajamvi, Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaJF wote, zaidi sana wale walijitokeza nilipotoa tangazo la kutafuta Mr. Right. Napenda kuwataarifu kuwa tumeendelea na mikakati...
10 Reactions
166 Replies
18K Views
Habari wanajamvi, Naomba kuleta uzi huu kuomba ushauri, Eti ni sawa kuachana na mpenzi wako alafu anakuja kuolewa anakuomba mchango wa harusi yake?
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Habarini, Nakuja,humu jamvin nahitaj mke, awe na Umri kati ya 20-35,awe hajaolewa,awe amejiajiri/kuajiriwa,atakayekua na mapenz ya dhat nami,awe mkristo,atakayekua tayar kuish nami mahali popote...
0 Reactions
4 Replies
984 Views
Heshima kwenu wakuu, Hivi kwanini watu hawana roho ya huruma kwa wale wawapendao? ni Jeuri ya kupendwa na watu wengi au? Unakuta umemtumia mtu text lakini hajakujibu, meseji imepokelewa lakini...
6 Reactions
44 Replies
9K Views
Kuna mdada miaka 35 anaitaji mume mtanzania umri wake uwe miaka 45 na kuendelea hata kama ana watoto haina shida ila wasizidi 3, yeye hana mtoto kabila lolote dini yoyote yeye, ni mkristo elimu...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Kama mada inavyojieleza... Nimepata kuwahi kukutana na kusikia tena kwa masikio yangu ya nyama wanawake walio wengi wanatamani kuwa wangezaliwa wakiwa na jinsia ya Kiume. Wengi wao wanasema...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Habari za jumatano wanajamvi, bila shaka mmeamka salama kabisa. Leo nimekuja huku kuomba ushauri maana tangu usiku sijalala kichwa kinawaka moto.Nimeoa miaka minne ilitopita, kabla ya hapo...
15 Reactions
269 Replies
34K Views
Mimi ni msichana nina mpenzi wangu ambaye nampenda ila nikiwa na shida huwa najishauri sana kumuomba hela,sipendi hiyo hali lakini nitafanyaje,sina kazi na bado nasoma,japo nikimuomba ananipa...
6 Reactions
154 Replies
16K Views
Habarini za saivi wana JF. Mwaka 2012 niliondoka nyumbani Arusha nikahamia Dar. Tulipokuwa Arusha tulikua na mfanyakazi wa kinyaturu, basi huyu dada hakuwa mchoyo wala hajui kukataa ukimuomba...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
ni kama best friend hivi ! tatizo yeye akipiga story na wanaume mie nikiona na chukulia poa maana sio mchumba wangu .lakini mie akiniona na piga story na msichana anachukia na hata nikimpa hai ataki
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…