Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210K
Threads
7.5K
Posts
210K

JF Prefixes:

Dah! Hii vita ni ngumu. Nimejitutumu kuianzisha nikijua silaha zangu chache ila nikawa mbishi. Nikafanikiwa kumpata mateka mmoja ambaye maadui hawaishi kutuvamia kutaka kumchukua. Wana silaha kali...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kimsingi mapenzi ya siku hizi risk nyingi i.e kugombana, kunyimwa unyumba, kuachana muda wowote. ili kujiweka mbali na stress, matatizo kama haya yasikudhuru. MCHEPUKO NDIO solution, MICHEPUKO NI...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
WAKU HABARI ZA SAHIZI.NAZANI WOTE MNAENDELEA VIZURI NA RAMADHANI KWA WALE WALIOFUNGA.WAKUU LEO MKUSHI KUNA JAMBO LINANITATIZA NIKAONA NI PATE USHAURI KIDOGO KUTOKA KWENU NIKICHANGANYA NA WAKWANGU...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Usiri ni kitu hatari sana ktk Mahusiano! Usiri uliopitiliza ktk mahusiano ni sumu mbaya sana, huwa inasubiri siku na wakati tu, ili iweze kusambaa na kuuwa ikibidi. Kama una kitu moyoni, na...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Habarani marafiki wote Nimeleta mada hii hapa tujadili kwa pamoja na sio kujoke Kati ya Baba na Mama nani ni muanzilishi wa kumharibu mtoto kimaadili na kumfanya mtoto awe mento na kudata...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY... Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea...
3 Reactions
74 Replies
9K Views
Mahusiano mengi huvunjika kutokana na mambo haya..................... 1. Kutokuwa na mawasiliano ya karibu na mwenzi wako. 2. Kutojali maumivu ya mwenzi wako. 3. Ubishi usiokuwa na maana...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Turejee kunako sita kwa sita!! Huu msemo Wa baadhi ya wenzetu humu jamvini au mtaani mwetu mtu kusema mwandani/ mpenzi wangu anajiweza sana tukiwa faragha; Hivi kinachofanya mtu asemwe...
4 Reactions
54 Replies
10K Views
Mdanganye mwanamke na utaona jinsi atakapoyafanya maisha yako kuwa magumu zaidi ya jehanamu hapa duniani 1. Usimpige 2. Usimpe maneno ya kumnyanyasa 3. Usimfanye aone kudharauliwa 4...
8 Reactions
46 Replies
6K Views
Mara nyingi faraja ya mwanaume ni kupata mwanamke alietulia katika mahusiano, inapotokea bahati mbaya akapata ambae yuko kinyume na hivyo basi huwa anatafuta njia ya kujikinga na maumivu ya...
1 Reactions
59 Replies
7K Views
Nilikuwa nimekula pozi katika viunga vya Ccoco Beach...... Mimi ni suriama wa makabila matatu, yaani Mmasai, Mpare na Mnyamwezi, mnaweza kushangaa lakini nitawafafanulieni. Baba yangu anatokana...
22 Reactions
54 Replies
9K Views
wakuu natumaini wote ni wazima, mimi ndo mara ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini, kuna binti''J"nilikutana nae kama mwezi umepita, kiukweli ni binti mrembo sana na ameumbika na tangu nilipomuona...
0 Reactions
85 Replies
6K Views
Babu yangu alikuwa na wake 7,mke wake wa 3 ALIMKUTA TAYARI ANA WATOTO 3 KESHAZALISHWA HUKO ALIKOKUWA,KWA BABU YANGU ALIZAA WATOTO 2,HIVYO TULIISHI PAMOJA KAMA NDUGU NA WATOTO WALE JINA LA UKOO...
0 Reactions
61 Replies
5K Views
Heshima kwenu wana MMU. Nimeadimika sana hapa Jamvini ingawa huwa napitia kuzisoma post za wadau mara kwa mara. Wakuu nisiwachoshe sana, niingie kwenye mada iliyonileta hapa. Nina mpenzi...
0 Reactions
58 Replies
5K Views
Pengine unahusika na hili na pengine ni mwanzilishi wa hili jambo kwenye ndoa yako/zako(4weddn@) sasa basi kukumbusha tu 1kor 7:1-10 ndoa na iheshimiwe na watu wote mke hana mamlaka juu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WADAU NAOMBA MSAADA WA KUNIJULISHA WALIPO HAWA NDUGU ZANGU HASA CONTACTS ZAO. Mimi ni mwalimu mstaafu kwasasa, ninaishi Dodoma mjini, leo nimekuja na uhitaji kidogo wadau, kuna ndugu...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kwenu wanaume na wanawake wa jukwaa hili, Hili jambo huniwazisha sana. Ni kawaida kabisa pale ambapo mwanaume anapotoka nje ya ndoa basi watu wote wanawake kwa wanaume watamlaumu mke wake kuwa ni...
0 Reactions
1 Replies
691 Views
Nimejikuta nimegonga mademu kama wa 4, wote baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miezi kadhaa ndio husema ukweli kuwa wameolewa. mwanzo husema naishi na mama yangu mdogo au na dada yangu. nikimpiga...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Thanks for support thanks for private message that you got me, you have changed my world a lot. Thanks to those who paid a visit at my home I've got good real friends. For sure nimeacha hisia za...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Sio siri ujio wa simu ya kiganja umepunguza majonjo ya kutongoza. Siku hizi vijana wa kileo hawapati matatizo kama kupigwa na kakamtu, baba MTU au Dada mtu, zamani ilikuwa ni lazima udunde na...
0 Reactions
44 Replies
7K Views
Back
Top Bottom