Dah! Hii vita ni ngumu. Nimejitutumu kuianzisha nikijua silaha zangu chache ila nikawa mbishi. Nikafanikiwa kumpata mateka mmoja ambaye maadui hawaishi kutuvamia kutaka kumchukua. Wana silaha kali...
Kimsingi mapenzi ya siku hizi risk nyingi i.e kugombana, kunyimwa unyumba, kuachana muda wowote. ili kujiweka mbali na stress, matatizo kama haya yasikudhuru. MCHEPUKO NDIO solution, MICHEPUKO NI...
WAKU HABARI ZA SAHIZI.NAZANI WOTE MNAENDELEA VIZURI NA RAMADHANI KWA WALE WALIOFUNGA.WAKUU LEO MKUSHI KUNA JAMBO LINANITATIZA NIKAONA NI PATE USHAURI KIDOGO KUTOKA KWENU NIKICHANGANYA NA WAKWANGU...
Usiri ni kitu hatari sana ktk Mahusiano!
Usiri uliopitiliza ktk mahusiano ni sumu mbaya sana, huwa inasubiri siku na wakati tu, ili iweze kusambaa na kuuwa ikibidi. Kama una kitu moyoni, na...
Habarani marafiki wote
Nimeleta mada hii hapa tujadili kwa pamoja na sio kujoke
Kati ya Baba na Mama nani ni muanzilishi wa kumharibu mtoto
kimaadili na kumfanya mtoto awe mento na kudata...
Mi ndio MCHUNGUZI HURU, nafanya chunguzi nikiwa huru kimawazo... ukikubali chukua, hutaki unaacha. I DARE TO POST THREAD OPENLY...
Mwanaume akishafanya sex na mwanamke akawa hajisikii kuendelea...
Mahusiano mengi huvunjika
kutokana na mambo
haya.....................
1. Kutokuwa na mawasiliano ya karibu na
mwenzi wako.
2. Kutojali maumivu ya mwenzi wako.
3. Ubishi usiokuwa na maana...
Turejee kunako sita kwa sita!!
Huu msemo Wa baadhi ya wenzetu humu jamvini au mtaani mwetu mtu kusema mwandani/ mpenzi wangu anajiweza sana tukiwa faragha;
Hivi kinachofanya mtu asemwe...
Mdanganye mwanamke na utaona
jinsi atakapoyafanya maisha yako
kuwa magumu zaidi ya jehanamu
hapa duniani
1. Usimpige
2. Usimpe maneno ya kumnyanyasa
3. Usimfanye aone kudharauliwa
4...
Mara nyingi faraja ya mwanaume ni kupata mwanamke alietulia katika mahusiano, inapotokea bahati mbaya akapata ambae yuko kinyume na hivyo basi huwa anatafuta njia ya kujikinga na maumivu ya...
Nilikuwa nimekula pozi katika viunga vya Ccoco Beach......
Mimi ni suriama wa makabila matatu, yaani Mmasai, Mpare na Mnyamwezi, mnaweza kushangaa lakini nitawafafanulieni. Baba yangu anatokana...
wakuu natumaini wote ni wazima, mimi ndo mara ya kwanza kuanzisha uzi hapa jamvini, kuna binti''J"nilikutana nae kama mwezi umepita, kiukweli ni binti mrembo sana na ameumbika na tangu nilipomuona...
Babu yangu alikuwa na wake 7,mke wake wa 3 ALIMKUTA TAYARI ANA WATOTO 3 KESHAZALISHWA HUKO ALIKOKUWA,KWA BABU YANGU ALIZAA WATOTO 2,HIVYO TULIISHI PAMOJA KAMA NDUGU NA WATOTO WALE JINA LA UKOO...
Heshima kwenu wana MMU.
Nimeadimika sana hapa Jamvini ingawa huwa napitia kuzisoma post za wadau mara kwa mara.
Wakuu nisiwachoshe sana, niingie kwenye mada iliyonileta hapa.
Nina mpenzi...
Pengine unahusika na hili
na pengine ni mwanzilishi wa hili jambo kwenye ndoa yako/zako(4weddn@)
sasa basi kukumbusha tu
1kor 7:1-10
ndoa na iheshimiwe na watu wote
mke hana mamlaka juu ya...
WADAU NAOMBA MSAADA WA KUNIJULISHA WALIPO HAWA NDUGU ZANGU HASA CONTACTS ZAO.
Mimi ni mwalimu mstaafu kwasasa, ninaishi Dodoma mjini, leo nimekuja na uhitaji kidogo wadau, kuna ndugu...
Kwenu wanaume na wanawake wa jukwaa hili,
Hili jambo huniwazisha sana. Ni kawaida kabisa pale ambapo mwanaume anapotoka nje ya ndoa basi watu wote wanawake kwa wanaume watamlaumu mke wake kuwa ni...
Nimejikuta nimegonga mademu kama wa 4, wote baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miezi kadhaa ndio husema ukweli kuwa wameolewa.
mwanzo husema naishi na mama yangu mdogo au na dada yangu. nikimpiga...
Thanks for support thanks for private message that you got me, you have changed my world a lot. Thanks to those who paid a visit at my home I've got good real friends. For sure nimeacha hisia za...
Sio siri ujio wa simu ya kiganja umepunguza majonjo ya kutongoza. Siku hizi vijana wa kileo hawapati matatizo kama kupigwa na kakamtu, baba MTU au Dada mtu, zamani ilikuwa ni lazima udunde na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.