Mwanaume kuwa na Surname

teh teh teh Blaki!! kama mwanamke anaweza kutumia ya mumewe kwanini mwanaume ashindwe??

japo hapa wakija utawaona wanajifanya oooh haiwezekani lkn waongo inawezekana lol!!!
 
Suzy ndio nasubiri nipate kujua
watasema hata kubadilishwa dini ni mwanamke
kwa mwananume mmmmhh
 
Blaki Woman vitu vingine ni kama vile kujipa moyo kwamba siku moja itakuwa hivi au siku moja itakuwa vile, i don't see this happening and it will never happen
 
yeah possibly inawezekana kwa Matrilineal society which based on kingship with the mother or the fimale line!
 
teh teh teh Blaki!! kama mwanamke anaweza kutumia ya mumewe kwanini mwanaume ashindwe??

japo hapa wakija utawaona wanajifanya oooh haiwezekani lkn waongo inawezekana lol!!!

Suzy bana ki africa haiwezekani ila kizungu inawezekana. kweli mi nikutolee mahari harafu nitumie jina lako duh sikubali hata kidogo.
 
Nilikwenda kwa msiba marehemu alikuwa mwanaume jina kabla ya kuoa John Masawe baada ya kuoa anaitwa John Mallya mke aliyemwoa anaitwa Batilda Mallya
Kasheshe ilikuja kwa ndugu wa marehemu ambao wanamfahau kwa jina la John Masawe
hakutaka kutambua jina la John Mallya kwa vile ni jina la upande wa mwanamke
ndio pale watu tukatambua yule mke alipaswa kuitwa Mrs Masawe sio Mrs Mallya kama ambavyo
imezoeleka
 
Mimi ninayofahamu Surname ni jina la ukoo ambalo hata katika nchi za matrilineal majina ya ukoo bado yanabaki kuwa ya wanaume. Kwa hivyo hata mwanamume atapobadili jina la ukoo la mkewake, hii haina maana kuwa ataitwa jina la kike bali jina la kiume la upande wa mkewake. Mfano, badala ya Michael Suzana, ataitwa Michael Peter ikiwa surname ya kewake ni Peter.
Nimewahi kuona mifano kutoka nchi za Latin Amerika na Spain ambako mtoto anakuwa na surname mbili, moja kutoka kwa mama na nyengine kutoka kwa baba. Kwa hiyo kama utakuta mtu anaitwa kwa mfano Maria Carmona Castellano basi surname ya kwanza ni ya baba na ya pili ya mama. Mpangilio wa surname ipi ije mwanzo ni uamuzi wako.
 
Huyo mwanaume alikuwa mume *****. Na pia sio lazima mwanamke kubadilisha jina utumie la mumeo. Ni uamuzi wa mtu.
Nilikwenda kwa msiba marehemu alikuwa mwanaume jina kabla ya kuoa John Masawe baada ya kuoa anaitwa John Mallya mke aliyemwoa anaitwa Batilda Mallya
Kasheshe ilikuja kwa ndugu wa marehemu ambao wanamfahau kwa jina la John Masawe
hakutaka kutambua jina la John Mallya kwa vile ni jina la upande wa mwanamke
ndio pale watu tukatambua yule mke alipaswa kuitwa Mrs Masawe sio Mrs Mallya kama ambavyo
imezoeleka
 
Suzy bana ki africa haiwezekani ila kizungu inawezekana. kweli mi nikutolee mahari harafu nitumie jina lako duh sikubali hata kidogo.

kwa mtazamo huo hapo juu sijui kama inawezekana na hasa hapa TZ,
Kama BAADHI ya wanaume wanaishi kwenye nyumba ya mke wake,au nyumbani kwa wakweze(yaani wazazi wa mke), 100% mwanamke ndiye anakuhudumia mume wake pamoja na familia. KUNA UBAYA GANI MWANAUME UKITUMIA SURNAME YA MKE?

Aah jamani wanaume onesheni basi upendo KWA WAKE ZENU kwa kutumia majina yao...lol,
Na hasa mnaowaza kufunga ndoa sasa hivi hili wazo mnaweza kulifanyia kazi..lol.

ILA DADA UNAPOSIKIA KAKA YAKO ANATUMIA SURNAME YA MKE WAKE UTAJISIKIAJE??....lol
 
Hapana si uuungwana
Hata mie sintamruhusu hata kama anataka
imagine ndo mtoto wa kiume tu kwao mmhhh
haki sawa tumepata majina yao tuwaachie na sisi
ndo tubadilishe mmmhhhh
 
Back
Top Bottom