Je, ni kweli wanawake wanatumika?

Je, ni kweli wanawake wanatumika?

Jan-uary

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
1,050
Reaction score
1,144
Mara nyingi utawasikia wanawake wakilalamika kwamba,wanaume wakishawatumia na kuwachoka wanaachwa,ikiwa kile kitendo ni raha kwa wote wawili kwanini mmoja aseme anatumika?

Mmekuwa marafiki kwa miezi au miaka kadhaa mnaamua kuachana kwa sababu za hapa na pale mwanaume ukimwambia mwanamke naomba ile laptop niliyokuazima unirudishie,utasikia sikupi nng'oo ulikuwa unanitumia bure!!
 
Mara nyingi utawasikia wanawake wakilalamika kwamba,wanaume wakishawatumia na kuwachoka wanaachwa,ikiwa kile kitendo ni raha kwa wote wawili kwanini mmoja aseme anatumika?mmekuwa marafiki kwa miezi au miaka kadhaa mnaamua kuachana kwa sababu za hapa na pale mwanaume ukimwambia mwanamke naomba ile laptop niliyokuazima unirudishie,utasikia sikupi nng'oo ulikuwa unanitumia bure!!
Hahahha jinsi wanawake wanachukulia tendo kama kumridhisha mwanaume yaani wao wanajitoa katika zoezi lakini usipo walizisha utasikia maneno yao na pia kama umemkuta virgin kweli umemtumia lakin kama haujamkuta hapo hapana mmetumiana
 
Ngoja tuwasubiri wenyewe waje wajibu
 
Ngoja waje, hili mimi halinihusu.
 
Juzi kati nilikua bar mmoja nikamsikia kijana mmoja wa dar akimlalamikia jimama fulani kwamba amemchezea halafu anataka kumuacha!

Najaribu kuunganisha hilo tukio na huu Uzi!
 
Juzi kati nilikua bar mmoja nikamsikia kijana mmoja wa dar akimlalamikia jimama fulani kwamba amemchezea halafu anataka kumuacha!

Najaribu kuunganisha hilo tukio na huu Uzi!
Kwanini hukuamulia ugomvi?
 
Juzi kati nilikua bar mmoja nikamsikia kijana mmoja wa dar akimlalamikia jimama fulani kwamba amemchezea halafu anataka kumuacha!

Najaribu kuunganisha hilo tukio na huu Uzi!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe mzushi
 
Hahahha jinsi wanawake wanachukulia tendo kama kumridhisha mwanaume yaani wao wanajitoa katika zoezi lakini usipo walizisha utasikia maneno yao na pia kama umemkuta virgin kweli umemtumia lakin kama haujamkuta hapo hapana mmetumiana
Uko sahihi
 
Kwa mantiki ya kawaida tu......uchi/uke/papuchi/nyapu/kipochi manyoya hubadilika size kutokana na size zinazoingia while kwa mwanaume dick huwa inaremain constant regardles na inakutana na size ya namna gani

So obviously ulichouliza jibu ni ndio
 
Kwa mantiki ya kawaida tu......uchi/uke/papuchi/nyapu/kipochi manyoya hubadilika size kutokana na size zinazoingia while kwa mwanaume dick huwa inaremain constant regardles na inakutana na size ya namna gani

So obviously ulichouliza jibu ni ndio

Ndiyo maana timu yetu Man United haijafuzu kucheza champions league
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom