NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,307
- 3,017
Poleni Kwa mfungo ndugu zangu waislamu huku wakristo mkiendelea kula mema ya nchi mchana kweupe!!!!!!
Usiku wa Leo nimetoka kumfukuza classmate wangu wa kike akalale kibarazani kwakuwa mimi ndio nilikuwa mgeni wake hapa mjini kamaliza Chuo fulani kaja kufatilia masuala yake ya kielimu.
Mimi sijaoa nikaona fresh atakaa tu kwa kuwa ni ke haina mbaya atakuwa mama kwa muda huku akisubiri mambo yake, kumbe anakula tungi
Hivi inakuaje unakuwa na mwenza mla urabu(tungi) iwe yoyote ile softy au hard kama bingwa N.k
Kwanza harufu anayokupumulia huwa unajisikia vipi ,pia kwenda kukojoa wakati mmelala hii vipi na kukiacha choo kikiwa na harufu moja balaa sana.
Jaribuni ustaarabu mnavyokuwa ugenini kama unapiga ulaji fuata protocol sio unakunywa mpaka ukifika kitandani unashindwa kutoa ushirikiano unalala kama Gwajima na demu wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Usiku wa Leo nimetoka kumfukuza classmate wangu wa kike akalale kibarazani kwakuwa mimi ndio nilikuwa mgeni wake hapa mjini kamaliza Chuo fulani kaja kufatilia masuala yake ya kielimu.
Mimi sijaoa nikaona fresh atakaa tu kwa kuwa ni ke haina mbaya atakuwa mama kwa muda huku akisubiri mambo yake, kumbe anakula tungi
Hivi inakuaje unakuwa na mwenza mla urabu(tungi) iwe yoyote ile softy au hard kama bingwa N.k
Kwanza harufu anayokupumulia huwa unajisikia vipi ,pia kwenda kukojoa wakati mmelala hii vipi na kukiacha choo kikiwa na harufu moja balaa sana.
Jaribuni ustaarabu mnavyokuwa ugenini kama unapiga ulaji fuata protocol sio unakunywa mpaka ukifika kitandani unashindwa kutoa ushirikiano unalala kama Gwajima na demu wake[emoji23][emoji23][emoji23]