Hapana mkuu naongelea wote in General hata waajiriwa wa NGos,Bank,Wizarana nk, na kila mwanamke ambaye sijamuweka humu.Offer zao.Unaongelea wanawake wa wapi mkuu?
Kama ni wakina Ashura ndalandefu hakuna kingine wanachoweza ku-offer
Apart from Sex,what can a woman offer in a love relationship?By Trevor Noah!