Shanga zenye kengele

Shanga zenye kengele

mumewanguu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
261
Reaction score
259
Wakuu nimenasa kwa huyu mrembo Yan kavaa mishanga kibunda afu ana ngezi Kama zote, yaani kwa mahaba nami nikavaa shanga moja Ili twende sawa afu shanga yenyewe ina kengele ,yaani miuno feni kinachosikika ni milio ya kengele tu ngengenge duh tanga sihami
 
Soon utavaa bikini ili ngoma iwe droo na huyo manzi.
 
😂😂😂😂😂😂😂picha please! Itapendeza Mkuu.

Wakuu nimenasa kwa huyu mrembo Yan kavaa mishanga kibunda afu ana ngezi Kama zote, yaani kwa mahaba nami nikavaa shanga moja Ili twende sawa afu shanga yenyewe ina kengele ,yaani miuno feni kinachosikika ni milio ya kengele tu ngengenge duh tanga sihami
 
Umenikumbusha wale mbuzi wanafungwa kengere harafu wakiwa wanaenda chungwa Njia nzima ni wao na kengere zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom