Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habarini wana jamvi... Yule dem aliyekuwa akiniona anakimbia leo nimemgegeda akiwa na rafiki yake yani picha lilikuwa hivi... Baada ya kuwa ananikimbia sana nikawa najenga nae urafiki taratibu...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Mwanaume unatakiwa kuwa na ubongo wenye macho kujua wazo linakokwenda na masikio yenye mzani wa kupima kila kauli ,na moyo wenye utulivu kuweza kuwa na subira katika uwekezaji wa mapenzi. Mtandao...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Ukiwa nae ukiona mwenzio anachart sana na simu hasa message (bila wewe kuona ) , muogope sana ! Ukiona akipigiwa cm anasogea pembeni au chooni , muogope kama ukoma ! Ukiona yeye (mwanamke) ndo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu..... moyo wa huyu mzee umenidondokea ...ilikuwa hivi Mzee kaja ofisini kwetu alikuwa anahitaji uduma ya kiofisi basi nikamuudumia vizuri tu ...mzee kaanza kunisifia et nimemuudumia...
5 Reactions
167 Replies
11K Views
Si vibaya wakati unakwenda kazini asubuhi hii ukaenda na sindano hii, japo chungu lakini ni dawa. Pamekuwa na malalamiko ya muda mrefu nowadays wadada wakilama kwamba wanaume wanacheza chini ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwanamke anaweza akashinda na simu yako muda wote akiikagua tena kila siku na asipate shida. Mara kwa mara inakuwa rahisi sana kwa wanawake wasiofanya kazi ngumu. Kinyume chake, Wanaume wengi...
2 Reactions
89 Replies
11K Views
Uko nyumbani kwako muda huu,unatafakari mihangaiko yako ya kuanzia jumatatu hadi leo jumapili;unajiuliza kesho jumatatu inaanza tena kwa mchaka mchaka uleule na siku zinajirudia rudia.....hii...
2 Reactions
5 Replies
799 Views
Habari njema kwa wadada wa Jf Ni kwamba Karibuni PM Kuna of a kabambe kabisa spesheli kwa ajili yenu Si ya kukosa Msiogope kuweni huru bhana nyie Ni watu wazima Sasa Karibuni PM Kwa wadada tu...
0 Reactions
2 Replies
715 Views
SIMU/WHATSAPP: 0768571786 Furaha hii na salamu za pongezi za kila mara kutoka nyumbani vilidumu kwa semista kadhaa, lakini polepole kama mwendo wa kinyonga mambo yalianza kubadilika ufaulu wangu...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
MWANAUME UKIKOSA MAARIFA LAZIMA MWANAMKE AKUTAWALE: Mwanaume Huna Kazi, Huna Pesa, Huna muelekeo wowote wa maisha, Huna Nguvu ya kutongoza kwakua huna nyuma wala mbele. Ukibahatika kupata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kutokana na majukumu yaliyowazidi binadamu....kila ninayekutana naye njiani anakuwa na sura ngumu(kuelemewa na majukumu),hawana tena tabasamu.Jamani tujitahidi kutabasamu tunapokuwa...
2 Reactions
8 Replies
965 Views
Wanawake wa siku hizi mfumo jike unafanya wawe na viburi na kujifanya juu ya wanaume.....wakishajiona wamesoma,wana mali basi kibri zinawajaa....lakini wakumbuke sio Mpango wa MUNGU wanawake wawe...
4 Reactions
78 Replies
6K Views
Leo usiku kucha nilikuwa kwenye mtanange wa game tafu kabisa kuwahi kupigwa kwenye kiwanja cha lodge flani hivi hapa jijini dodoma karibu kabisa na MALAIKA pub, Baada ya mchoko mkali sasa nipo...
2 Reactions
65 Replies
5K Views
Habarini wadau, Hebu tupeane maujanja ya viwanja vya kuburudika baada kazi ama wikiendi kama hizi. Nimekaa hapa kila kiwanja nahisi nimeshapita. Wazee wa Jiji la Makonda hebu tupeane maujuzi
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Magesti yanafungwa ama kugeuzwa hospital, hostel ama makanisa.. Kama si sehemu za tuition na chekechea kama si vyuo vya uuguzi, usanii uandishi wa habari nknk... Hakuna yale maofisi tena...
10 Reactions
70 Replies
8K Views
Kama mkeo ni mfanyakazi eneo flank tafadhali waheshimu sana wanaume katika ofisi yao na ikiwezekana jenga urafiki na wachache katika ofisi hiyo. Nimevuviwa kusema haya kwa maslahi mapana ya...
8 Reactions
66 Replies
7K Views
1.WhatsApp groups/Facebook Hii mitandao miwili chunga sana imeziweka kwenye kona ngumu sana ndoa nyingi, nyingine zimevunjikia hapa na nyingine zi hoi mahututi. Hakuna mtandao una ongoza kufufua...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Yalikuwa ni maneno ya demu flani hivi leo mara baada ya kutoka kummengenya kisawa sawa kunako 6 kwa 6 Asubuhi hii. Muwe na Jumapili njema. Cc zero IQ
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwa wanaume nina swar je unaweza kuoa mwanamke ambae amkuzd miaka zaid ya miaka mitano Na je unaweza kuoa mwanamke ambaye umezid miaka zaid ya miaka mitano au sita ipi inakua bora hapo
1 Reactions
53 Replies
3K Views
Matilda wewe ni mzuri na mtamu kuzidi wanawake wote hapa jf. Aseee jana nimekojoa mpaka miguu ikadevela mpaka leo natembelea mkongojo kama kikongwe. Hapa jf sidhani kuna demu mkali kama MATI...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom