Je, unatakiwa kuwa mwanamke aina gani?

Je, unatakiwa kuwa mwanamke aina gani?

Joined
Jun 6, 2019
Posts
49
Reaction score
24
Kwa wanaume nina swar je unaweza kuoa mwanamke ambae amkuzd miaka zaid ya miaka mitano
Na je unaweza kuoa mwanamke ambaye umezid miaka zaid ya miaka mitano au sita ipi inakua bora hapo
 
Bora mlingane umri lakini siyo vizuri mwanamke akuzidi umri ..wengine wanakubali kuwa kwenye mahusiano na wanawake waliowazidi umri kwa sababu zao tu.
Kwa wanaume nina swar je unaweza kuoa mwanamke ambae amkuzd miaka zaid ya miaka mitano
Na je unaweza kuoa mwanamke ambaye umezid miaka zaid ya miaka mitano au sita ipi inakua bora hapo
 
Bora mlingane umri lakini siyo vizuri mwanamke akuzidi umri ..wengine wanakubali kuwa kwenye mahusiano na wanawake waliowazidi umri kwa sababu zao tu.

Vipi kama unapata anayekuheshimu na kukupenda kwa moyo wa dhati kabisa haifai kumuoa hata kama kakuzidi mkuu...?
 
Back
Top Bottom