Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Ukiwa nae ukiona mwenzio anachart sana na simu hasa message (bila wewe kuona ) , muogope sana !
Ukiona akipigiwa cm anasogea pembeni au chooni , muogope kama ukoma !
Ukiona yeye (mwanamke) ndo anayekupangia pakwenda , muogope mno !
Epuka kupigana mapichapicha mkiwa wote !
Wasalaamu!
Ukiona akipigiwa cm anasogea pembeni au chooni , muogope kama ukoma !
Ukiona yeye (mwanamke) ndo anayekupangia pakwenda , muogope mno !
Epuka kupigana mapichapicha mkiwa wote !
Wasalaamu!