Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Wanawake wa siku hizi mfumo jike unafanya wawe na viburi na kujifanya juu ya wanaume.....wakishajiona wamesoma,wana mali basi kibri zinawajaa....lakini wakumbuke sio Mpango wa MUNGU wanawake wawe juu ya wanaume....MUNGU toka mwanzo ameagiza mwanamke atawaliwe na mwanaume.....
Na afuate maagizo ya mwanaume na si vinginevyo...kinyume chake kwa sasa tunaona wanawake wanavunja ndoa zao wakidai wanataka uhuru wao......hizi haki zao sijui zinawafanya wawe na kibri.....
nawashauri wanawake wenye kibri kwa waume zao waache maana fimbo ya mwenyezxi MUNGU itawapiga.......
Na afuate maagizo ya mwanaume na si vinginevyo...kinyume chake kwa sasa tunaona wanawake wanavunja ndoa zao wakidai wanataka uhuru wao......hizi haki zao sijui zinawafanya wawe na kibri.....
Wanawake na wanyamaze katika kanisa maana hawana ruhusa kunena bali watii kama vile inenavyo Torati nayo. Nao wakitaka kujifunza neno lolote, nawawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao, maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.(1 Wakorintho 14:34-35).
Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu. (1 Timotheo 2:12)
nawashauri wanawake wenye kibri kwa waume zao waache maana fimbo ya mwenyezxi MUNGU itawapiga.......