Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,880
- 4,883
Si vibaya wakati unakwenda kazini asubuhi hii ukaenda na sindano hii, japo chungu lakini ni dawa.
Pamekuwa na malalamiko ya muda mrefu nowadays wadada wakilama kwamba wanaume wanacheza chini ya kiwango kitendo ambacho wadada hawaridhiki kabisa.
Labda tu niwambie siri hii ambayo pengine tunaijua wanaume peke yetu. Iko hivi show zingine tunacheza chini ya kiwango ili msitung'ang'anie sana, maana najua nikikupa show kisawasawa hubanduki utanisumbua wakati mimi sina mpango na wewe......
Show za ukweli huwa tunatoa kwa watu wachache tena wa maana ambao unajua huyu anastahili show maana ninamuhitaji. Na wadada wa aina hiyo hawalalamiki maana wanapata dozi kisawasawa, wanaolalamika ni hawa tunaopita na kusepa tu..
Nawakaumbusha tena ukiona umepewa show chini ya kiwango ujue ni makusudi maana sina mpango na wewe.
Niongeze sauti au niache hapo hapo mmesikia? Nauliza niongeze sauti?
Pamekuwa na malalamiko ya muda mrefu nowadays wadada wakilama kwamba wanaume wanacheza chini ya kiwango kitendo ambacho wadada hawaridhiki kabisa.
Labda tu niwambie siri hii ambayo pengine tunaijua wanaume peke yetu. Iko hivi show zingine tunacheza chini ya kiwango ili msitung'ang'anie sana, maana najua nikikupa show kisawasawa hubanduki utanisumbua wakati mimi sina mpango na wewe......
Show za ukweli huwa tunatoa kwa watu wachache tena wa maana ambao unajua huyu anastahili show maana ninamuhitaji. Na wadada wa aina hiyo hawalalamiki maana wanapata dozi kisawasawa, wanaolalamika ni hawa tunaopita na kusepa tu..
Nawakaumbusha tena ukiona umepewa show chini ya kiwango ujue ni makusudi maana sina mpango na wewe.
Niongeze sauti au niache hapo hapo mmesikia? Nauliza niongeze sauti?