Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,710
- 61,238
Uko nyumbani kwako muda huu,unatafakari mihangaiko yako ya kuanzia jumatatu hadi leo jumapili;unajiuliza kesho jumatatu inaanza tena kwa mchaka mchaka uleule na siku zinajirudia rudia.....hii inamaanisha maisha yetu ni mafupi sana.Kila mmoja anaumuhimu wake katika dunia hii...