Umuhimu wa kila mmoja

Umuhimu wa kila mmoja

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,710
Reaction score
61,238
Uko nyumbani kwako muda huu,unatafakari mihangaiko yako ya kuanzia jumatatu hadi leo jumapili;unajiuliza kesho jumatatu inaanza tena kwa mchaka mchaka uleule na siku zinajirudia rudia.....hii inamaanisha maisha yetu ni mafupi sana.Kila mmoja anaumuhimu wake katika dunia hii...
 
Hapa nawaza nna kazi 3 za watu. Na wote nimewaahidi ata jumatatu ntakua nshazimaliza. Sijafanya hata moja. Weekend ni ndogo kuliko
 
Hapa nawaza nna kazi 3 za watu. Na wote nimewaahidi ata jumatatu ntakua nshazimaliza. Sijafanya hata moja. Weekend ni ndogo kuliko
ha ha ha mkuu utaonekana tapeli;inabidi leo usilale ujitahidi ukamilishe kwa wakati
 
Back
Top Bottom