Tutabasamu tunapokuwa njiani

Tutabasamu tunapokuwa njiani

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
39,758
Reaction score
61,394
Kutokana na majukumu yaliyowazidi binadamu....kila ninayekutana naye njiani anakuwa na sura ngumu(kuelemewa na majukumu),hawana tena tabasamu.Jamani tujitahidi kutabasamu tunapokuwa njiani/barabarani hata kama unachangamoto ngumu za kimaisha...
 
Kutokana na majukumu yaliyowazidi binadamu....kila ninayekutana naye njiani anakuwa na sura ngumu(kuelemewa na majukumu),hawana tena tabasamu.Jamani tujitahidi kutabasamu tunapokuwa njiani/barabarani hata kama unachangamoto ngumu za kimaisha...
Mimi ninatabasamu pana ☺ 😊 😀..

Ila ukichekacheka utaonekana umetumia jani au fuse imeungua 😂 😂
 
Tuache tunune kwa raha zetu tunapunguza ukali wa maisha hahahaaa kununa kunakimbiza wale matapeli wa barabarani
 
Back
Top Bottom