Baaada ya game nzito sasa ni muda wa kushushia

Baaada ya game nzito sasa ni muda wa kushushia

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Leo usiku kucha nilikuwa kwenye mtanange wa game tafu kabisa kuwahi kupigwa kwenye kiwanja cha lodge flani hivi hapa jijini dodoma karibu kabisa na MALAIKA pub,

Baada ya mchoko mkali sasa nipo hapa nashushia Supu ili nirudi ndani niendelee na mtanange mtoto ni kutoka kule jiji la Makonda yupo hapa kwa mtanange wa siku mbili na leo ni ya siku mwisho,


IMG_20190714_092126.jpeg



Nimejuana nae vipi ni kwa Msaada wa mtandao wa jamii Forum ila ID yake ni siri yangu ya kufa na kuzikana



Cc Zero IQ
 
Ukiona umepiga game na umejikuta una uchovu baada ya game, ujue kuna shida mahala...

Mie binafsi baada ya game hata kama nilikuwa na uchovu huwa siukuti, na huwa nalala kama mtoto mchangaaa... naamka kuanzia akili, mwili, nafsi na roho vimetulia na amani na nguvi mpya tele...
 
Leo usiku kucha nilikuwa kwenye mtanange wa game tafu kabisa kuwahi kupigwa kwenye kiwanja cha lodge flani hivi hapa jijini dodoma karibu kabisa na MALAIKA pub,

Baada ya mchoko mkali sasa nipo hapa nashushia Supu ili nirudi ndani niendelee na mtanange mtoto ni kutoka kule jiji la Makonda yupo hapa kwa mtanange wa siku mbili na leo ni ya siku mwisho,


View attachment 1153157


Nimejuana nae vipi ni kwa Msaada wa mtandao wa jamii Forum ila ID yake ni siri yangu ya kufa na kuzikana



Cc Zero IQ
Hawana room service hapo?
 
Leo usiku kucha nilikuwa kwenye mtanange wa game tafu kabisa kuwahi kupigwa kwenye kiwanja cha lodge flani hivi hapa jijini dodoma karibu kabisa na MALAIKA pub,

Baada ya mchoko mkali sasa nipo hapa nashushia Supu ili nirudi ndani niendelee na mtanange mtoto ni kutoka kule jiji la Makonda yupo hapa kwa mtanange wa siku mbili na leo ni ya siku mwisho,


View attachment 1153157


Nimejuana nae vipi ni kwa Msaada wa mtandao wa jamii Forum ila ID yake ni siri yangu ya kufa na kuzikana



Cc Zero IQ
yukoje
 
Back
Top Bottom