Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Wakuu siwasalimii, mlinidanganya kuwa kuoa bikra ndio uanaume, nami nikauchukua ushauri wenu nikaoa bikra,nimekaa nae yapata 8months sasa ameanza kuchepuka,tafrani nyumbani. Nifanyaje wakuu...
5 Reactions
52 Replies
547 Views
Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv, Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+, Dalili...
2 Reactions
12 Replies
223 Views
Haya mambo ya kale eti ntaishi nawe mpaka kifo hamna,siewez na haya mahusiano ya siku hizi n magumu.mm nnatafuta mwanamke nimpg mimba, akinializia tuh hivi,mtoto akikuwa na mwanamke huyo...
5 Reactions
11 Replies
180 Views
1. Ukimlipia mahari mwanamke,huyo anakuwa mali yako,atakuheshimu na kudumisha ndoa 2. Ukimlipia mahari,watoto mtakao zaa nae wanabelong kwako si kwa upande wa mwanamke. 3...
7 Reactions
71 Replies
1K Views
Amani iwe nanyi bandugu,, natumai muwazima wa afya. Bila kupepesa macho wala kuzunguka zunguka napenda kuwaletea kwenu swali fikirishi hili,,,,, Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa wengi...
0 Reactions
197 Replies
23K Views
Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao...
18 Reactions
143 Replies
20K Views
Hello Hope mko salama.. Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa.. Anyway sio mbaya kila mtu na...
16 Reactions
145 Replies
1K Views
Alinichamba na kunidharalisha mix matusi na kuniambia nisimzoee nifute namba zake, sikumjibu chochote, zimepita wiki tatu ananicheki kaniambia mbona niko busy sana simtafuti
12 Reactions
68 Replies
891 Views
Hili ni tatizo kubwa sana ila wanaume wengi wamekuwa waoga kuweka wazi, unamkuta jamaa ni pande la jitu lakini room anaenda mwezi hapewi show, kuyaweka mambo haya wazi ni kitu ambacho kwa tamaduni...
2 Reactions
12 Replies
269 Views
  • Redirect
Babu yangu upande wa mama alifariki 1997 bibi akafariki 2013, upande wa baba,babu alifariki 2007, huku bibi bado yupo. Kuna wanawake wengi ni wajane kuliko wanaume wagane, hili limekawaaje wakuu?
0 Reactions
Replies
Views
Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia. Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo...
6 Reactions
21 Replies
584 Views
Nakumbuka nipo darasa la saba nikawa nimempenda binti nikaandika barua ya kumtongoza, then nikampa mdogo wake ampelekee dada yake, kilichofuata barua ikafika kwa wazazi wake Nikaitwa na kusemwa...
5 Reactions
35 Replies
672 Views
Baada ya MKE kurudi kwangu na kuconfess makosa yake yote na yale ambayo nilikuwa sijui...,,, Na akasema ametambua makosa yake yote ndo amekili ametaka MOYO wake uwe huru... Na amesema...
7 Reactions
34 Replies
606 Views
Ndugu zangu hasa wanaume ambao wanatarajia kuoa jambo muhimu hua mnalisahau labda kutokana na kukolezwa na mapenzi kutoka kwa mchumba unayetarajia kumuoa.. Kuna mambo ya msingi inabidi kuzingatia...
24 Reactions
181 Replies
3K Views
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo...
9 Reactions
74 Replies
1K Views
Kwenye hatua za makuzi ya mwanadamu kuna hatua mbalimbali hupitia kuanzia kutungwa kwa mimba mpaka kifo; Utotoni Ujanani Utu uzima na Hatimaye uzeeni Kila hatua hapa huwa na mambo yake ambayo...
12 Reactions
97 Replies
14K Views
Kama ulifatilia, niliwahi kupost kuhusu mpenzi wangu kupelekwa na wazazi wake kwenye mafunzo ya Depo Polisi mkoani Kilimanjaro Thread yenyewe ni hii: Mchumba wangu ameenda CCP Moshi Leo nataka...
11 Reactions
181 Replies
4K Views
Mambo vp wakuu, Kutokana na nyuzi nyingi nazosoma humu ndugu zangu wengi wanapitia mazito kwenye mahusiano yao, swala la kukaa ndani nyumba moja bila kusemeshana, au mwanamke kuchepuka au...
19 Reactions
149 Replies
7K Views
Eti Maxence Melo kipindi ulikuwa bado umepauka, yule demu wako wa kwanza alikusaliti vp?😁😁
4 Reactions
17 Replies
245 Views
Back
Top Bottom