Baada ya maambukizi , inachukua miaka 10 hadi 15 mtu kuanza kuona dalili za hiv,
Kumbe wengi wazinzi naweza sema watoto wa 2000s walioanza uzinzi let's say 2018 wakiwa na miaka 18+,
Dalili...
Haya mambo ya kale eti ntaishi nawe mpaka kifo hamna,siewez na haya mahusiano ya siku hizi n magumu.mm nnatafuta mwanamke nimpg mimba, akinializia tuh hivi,mtoto akikuwa na mwanamke huyo...
1. Ukimlipia mahari mwanamke,huyo anakuwa mali yako,atakuheshimu na kudumisha ndoa
2. Ukimlipia mahari,watoto mtakao zaa nae wanabelong kwako si kwa upande wa mwanamke.
3...
Amani iwe nanyi bandugu,, natumai muwazima wa afya. Bila kupepesa macho wala kuzunguka zunguka napenda kuwaletea kwenu swali fikirishi hili,,,,,
Hivi ni kwanini wanaume kwa asilimia kubwa wengi...
Chozi ama machozi ni ishara ya kuumia na maumivu yaliyoshindwa kuhimili hisia za kawaida za kibinadamu... Wanawake ni mabingwa kwenye hili. Wanaume huchukuliwa Kama shupavu wasiotoa machozi yao...
Hello
Hope mko salama..
Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa..
Anyway sio mbaya kila mtu na...
Alinichamba na kunidharalisha mix matusi na kuniambia nisimzoee nifute namba zake, sikumjibu chochote, zimepita wiki tatu ananicheki kaniambia mbona niko busy sana simtafuti
Hili ni tatizo kubwa sana ila wanaume wengi wamekuwa waoga kuweka wazi, unamkuta jamaa ni pande la jitu lakini room anaenda mwezi hapewi show, kuyaweka mambo haya wazi ni kitu ambacho kwa tamaduni...
Babu yangu upande wa mama alifariki 1997 bibi akafariki 2013, upande wa baba,babu alifariki 2007, huku bibi bado yupo. Kuna wanawake wengi ni wajane kuliko wanaume wagane, hili limekawaaje wakuu?
Mwanadada alihaamua kujipiga Selfie Na Mume Wake Aliyefariki , Na Kumtumia Mpenzi (mchepuko)Wake Kama Uthibitisho na kumwambia.
Hatimaye tumekua huru kwenye mahusiano yetu mapya.. kabla ya hapo...
Nakumbuka nipo darasa la saba nikawa nimempenda binti nikaandika barua ya kumtongoza, then nikampa mdogo wake ampelekee dada yake, kilichofuata barua ikafika kwa wazazi wake
Nikaitwa na kusemwa...
Baada ya MKE kurudi kwangu na kuconfess makosa yake yote na yale ambayo nilikuwa sijui...,,,
Na akasema ametambua makosa yake yote ndo amekili ametaka MOYO wake uwe huru...
Na amesema...
Ndugu zangu hasa wanaume ambao wanatarajia kuoa jambo muhimu hua mnalisahau labda kutokana na kukolezwa na mapenzi kutoka kwa mchumba unayetarajia kumuoa..
Kuna mambo ya msingi inabidi kuzingatia...
Sanaa ya ukunaji ni wachache wamejaliwa nayo .Ukunaji sio lazima uwe dushe kubwa ila ufundi tu Asa utakuta unampatia mwanamke unamkuna vizuri mpaka anaridhika ila huna mavumba huwezi kutatua mambo...
Kwenye hatua za makuzi ya mwanadamu kuna hatua mbalimbali hupitia kuanzia kutungwa kwa mimba mpaka kifo;
Utotoni
Ujanani
Utu uzima na
Hatimaye uzeeni
Kila hatua hapa huwa na mambo yake ambayo...
Kama ulifatilia, niliwahi kupost kuhusu mpenzi wangu kupelekwa na wazazi wake kwenye mafunzo ya Depo Polisi mkoani Kilimanjaro
Thread yenyewe ni hii: Mchumba wangu ameenda CCP Moshi
Leo nataka...
Mambo vp wakuu,
Kutokana na nyuzi nyingi nazosoma humu ndugu zangu wengi wanapitia mazito kwenye mahusiano yao, swala la kukaa ndani nyumba moja bila kusemeshana, au mwanamke kuchepuka au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.