Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hakyamungu, ndio maana huwa silali kwa watu
12 Reactions
24 Replies
417 Views
Hiki kiumbe usikipe asilimia mia moja kuwa anakupenda wewe tu japo siyo wote. Wamejaa matamanio ya papo kwa papo, analiwa popote, endapo kidume kitamvutia kwa muda mfupi tu. Demu unaweza...
5 Reactions
12 Replies
328 Views
[emoji725][emoji725][emoji725][emoji725] Leo tuangukie Sita kwa sita !! ..ni ndefu ila maliza ,ikuongezee kitu, Huko nyuma niliwah andika uzi namna gani ya kua na uwezo wa kuhimili tendo zaidi...
91 Reactions
572 Replies
428K Views
INTRODUCTION: Ndio ni mimi Raisi wa wakataa ndoa TZ na Africa kwa ujumla..!! Mmekuwa mkitupigia "Kelele" kuwa tuoe mkitoa sababu kibao na wengine mmeenda mbali mpaka kututukana. Tunasema...
10 Reactions
48 Replies
527 Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Jamaa kaenda Kanda ya ziwa huko kuposa. Wamemwambia mahari milioni 12. 2. Jamaa ananiambia alishtuka, alihisi mzaha, utani, lakini Wazazi wa mwanamke...
9 Reactions
71 Replies
893 Views
Ngoja apumue Pumue Kidogo Twende sehem yaitwa the Penny Black mtaa wa Robertson Quay baada ya mechi sasa twaenda Rooftop ipo Marina Bay Financial Centre , Maana masaa kadhaa yalopita shughuli...
7 Reactions
251 Replies
4K Views
Kabila hizi zingine wana shida sana.bora tu wamaasai wetu.na tena sitak nipotez asilia yetu.
1 Reactions
7 Replies
103 Views
Habari wakuu, So, nimekumbuka hili jambo nikaone nishare kupata na kuelea mitazamo tafauti. Wikendi hii nilipata fursa ya kwenda maeneo fulani na pia nilibahatik kushuhudia harusi ya jamaa yetu...
2 Reactions
5 Replies
100 Views
Nice guys (wanaume wema) ni wadhaifu/nyoronyoro na hawawezi kupambania wanawake? Nice guys wanakosa tabia za masculinity ya hali ya juu? Nice guys hawavutii?
19 Reactions
369 Replies
5K Views
TOFAUTI YA UPENDO NA HESHIMA Alisema Niccolo Machiavelli kwamba "Watu huwa wepesi kumdhuru au kumuangamiza mtu ambaye anayehitaji kupendwa sana kuliko mtu ambaye ametengeneza mazingira ya...
3 Reactions
3 Replies
624 Views
Kwema Nna rafiki yangu mkubwa sana ana kidemu chake kizuri kizanzibar Jana kimekuja kunigongea mlango saa nne usiku, Cha ajabu tunakaa mbali mbali na swahiba wangu yeye anaishi magomeni Mimi...
4 Reactions
33 Replies
536 Views
Oooh beib usiii..... aaah Jo mo n unanipatiaaa Ooh kipenz taam yangu nipo tayari hata kuwauza wadogo zangu hela nitayopata ule wewe Daali ha po pee_nye_we usiingize yo tee aah shhh....
3 Reactions
23 Replies
476 Views
Habari zenu ndugu wa MMU. Mnikaribishe na humu pia maana humu ndio kutakuwa jikoni kwangu. Nataka nitibu ndoa nyingi na mahusiano mengi iwezekanavyo kupitia makala zangu, vitabu na mbinu yoyote...
1 Reactions
25 Replies
267 Views
Wakuu nimeshindwa nimejaribu we nimeshindwa aisee bwana mimi nina tamaa sana ya wanawake kiufupi nina tamaa sana ya mademu kwa mfano nikiwa kwenye kutibu natongoza sana wanawake na kweli nawapata...
1 Reactions
14 Replies
287 Views
Tumsifu Yesu Kristo. Huyu mke wangu kila nikimuomba unyumba atalalamika mara aseme "Baba J" umeanza usumbufu wako. Mara aseme kachoka, mara aseme yuko Period kumbe sio kweli, mara aseme...
33 Reactions
138 Replies
2K Views
Za jpili Najua wengi waoga kutokana na matukio ya nyuma Nawaza tu hivi aje dk kupima HIv humu Member gani unahisi atakosa hiv kama mm... 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 endelea kucheka kama. Mazuri Jpili...
6 Reactions
38 Replies
429 Views
Hii kwangu naona nikukosa adabu.ata demu akinipa mechi huwa naipigia giza maana naogopa kuona uchi wake maana ni tabiya mbaya.
2 Reactions
15 Replies
229 Views
Lazima atakuwa tu na kasoro.maana tumeumbwa kupenda sio upweke.
3 Reactions
18 Replies
191 Views
Hapa dar ukisikia majina kama; mmari,munuo,kileo,mwanri,maimu,mushi ujue hizo namba ni za wilaya ya siha.watoto hawa balaa kwa urembo jaman.
6 Reactions
21 Replies
330 Views
Ingawa mimi nmetoka bongo sitaman kudate wa bongo maana wana maushamba sana na tena sio warembo kama wazungu wananiboa sana.wana show mbovu sana.
3 Reactions
40 Replies
618 Views
Back
Top Bottom