Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Sio kila mahusino lazima yafikie ndoa Napokea simu kutoka kwa rafiki yangu ,ananiuliza umemfanya nini shem? Nikauliza kwani kunanini akaniuliza uko wapi? Nikamwambia niko maeneo ya chuo ...
3 Reactions
14 Replies
202 Views
Imagine kuunga tela kwenye familia ya mwanaume mwingine wakati unaweza kuanzisha familia yako Kwanini ujiingize kwenye Mgogoro usiokuhusu? Una haraka sana ya kuoa? Umekosa mwanamks wa kuanza nae...
58 Reactions
400 Replies
4K Views
Ni ngumu sana mwanamke kukuheshimu ukiwa mwema sana kwake. Mwanamke anamuhesmimu mwanaume anaemuogopa. Hapa siongelei physical appearance, violence au abuse. Am talking about the respect that...
56 Reactions
125 Replies
6K Views
Siku za nyuma kuna member aliandika kuhusu mabinti wa chuo kikuu ambao wanafanya kazi kwenye mgahawa wa kuuza chakula wakiwa bado wanasoma. Members wengi waliwapongeza lakini ukiangalia cha ajabu...
20 Reactions
52 Replies
595 Views
Aliyewahi Kuwa Mpenzi Wa #50Cent (Jamira) Amewashauri Wanawake Kukataa Kuwa Na Mwanaume Kama #50Cent Akidai Kuwa Mwanaume Huyo Alikuwa Mchoyo Sana. #Jamira Anasema Tangu Alipokuwa Kwenye...
10 Reactions
37 Replies
2K Views
HADITHI TAMU SANA YENYE MAFUNZO MAKUBWA! NAJUTA KUMPELELEZA MCHUMBA WANGU FACEBOOK 1 SEHEMU YA KWANZA “NAPOKEA FRIEND REQUEST” Ilikuwa Jumapili nikiwa nimetoka ibadani nimetulia tu kitandani...
0 Reactions
4 Replies
195 Views
Kwa sasa hali ilivyo, kufahamiana na mdada, mkapeana namba za simu, hata katika mazingira official ni tatizo. Ukisalimiana naye, mkachat mawili matatu whatsaap, next move, mizinga. Kwanza anaweka...
12 Reactions
66 Replies
1K Views
Wakuu hii sofa ina kazi gani?
4 Reactions
39 Replies
910 Views
Habari zenu wakuu, niko kitandani hapa nikiwa na masikitiko makubwa sana kwa kulala na mke wa mwana JamiiForum mwenzangu. Huyu mwanamke nilikutana naye facebook, chanzo hasa mpaka cha kukutana...
17 Reactions
127 Replies
9K Views
Nimekuwa nikijiuliza kila mara ni kwa kiwango gani mtu anaweza kujitoa kwa ajili ya mwingine. Wakati mwingine watu tunaowadharau au kuwaona hawana thamani ndio wanaoweza kubadilisha maisha yetu...
7 Reactions
31 Replies
691 Views
Wanaume kamwe hamuwez bila ss tupewe maua yetu jaman
10 Reactions
67 Replies
806 Views
Kuna mpenzi wangu mmoja nilimpenda sana, kuliko yeye alivyonipenda mimi. Upendo ukawa unaongezeka zaidi, pale ninapokuwa nampa vijisenti. Baada ya kuona anatumia visalio vyangu vingi, nami...
19 Reactions
280 Replies
3K Views
Hapa nahema kwa nguvu kama nilikua nakimbizwa, nipo kwenye kikao cha wanawake aloo wamejua kufunguka khe!!! kubwa ni huu ujumbe nilopewa niwajuze, sikutakiwa niwaletee sasa hivi maana bado...
33 Reactions
245 Replies
3K Views
Siyo kwamba nawa-miss ex, hapana, bali kila nikiangalia zile style za picha tulizopiga kwa kipindi kile, aina ya mifumo ya zamani ya maisha iliyokuwa tofauti, huwa nabaki natabasamu tu. Kuna mda...
8 Reactions
37 Replies
297 Views
"Nilipokwenda kuchukua majibu kwa daktari aliniuliuliza ni miaka mingapi tuko pamoja[kwenye ndoa], nikamwambia miaka 21. Kisha akaniambia moja kwa moja: 'watoto siyo wako'. Nilikuwa...
1 Reactions
3 Replies
146 Views
Sijui ndio nimeachwa au sijui bado nipo kwenye penzi, hata sielewi, maana hizi dalili za mpenzi wangu naona kama mguu mmoja ndani mguu mmoja nje. Hivi mtu akikuacha anakwambia au anakaa kimya tu?
7 Reactions
57 Replies
2K Views
Wakuu, Liliwahi kukuta jambo mpaka ukawaza na kuwazua ilikuwaje ukaingia kwenye hayo mahusiano au ndoa? Ilikuwaje? Bado upo huko au ulishabwaga manyanga?😅
7 Reactions
13 Replies
179 Views
MASWALI MUHIMU UNAYOTAKIWA KUMUULIZA SINGLE MOTHER KABLA HUJAFANYA MAAMUZI MAGUMU. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Post hii usije ichukua kama nimekuambia Kaoe single mother. Nope! Mimi kama...
8 Reactions
23 Replies
360 Views
Umeshawahi kujiuliza kwa nini mapenzi ya kwanza husalia akilini kwa miaka mingi? Na kwa nini ni vigumu kwa watu wengi kuwasahau wapenzi wao wa kwanza? Pamoja na kwamba maisha yanaendelea na mtu...
6 Reactions
42 Replies
552 Views
Habari za muda wakuu, Leo nimefikisha anivessary ya miezi nane ya worst heartbreak, hadi nikapakumbuka JF:D Nakumbuka kuna siku nilianzisha uzi hapa yaliyonikuta baada ya kudumu na mtu kwenye...
2 Reactions
7 Replies
110 Views
Back
Top Bottom