Hii nilichelewa kuigundua aisee, baadhi ya wanawake wengi wanapenda wanaume machachali ambao wanatamaa ya tendo mda wote, na wanapenda ile siku ya kwanza tu unayokutana naye ukamuomba tendo na...
Congole kwenu mmebadilisha upepo wa awal wa kuzalishwa nyumban kwa sasa mnafosi muishi wote na wanaume japo weng bila ndoa kikubwa ukae na mumeo uzalie humo humo hii inaitwa sogea tuish
Saf...
Msanii wa bongo fleva Ben Pol ameanika mambo matatu kwenye account yake ya Instagram ambayo ukiyaona hauna budi uachane na hayo mahusiano
1. Kila unapompanga unaetaka kuwa nae kwenye mahusiano...
Wakuu! Hii ni asili, Wanaume wengi tunakosa ujanja pale tunapokutana na Wanawake wenye nidhamu na utii, hata kama wameolewa.
Ni noma sana!
Nimekutana na wakati mgumu kidogo, nimewaza sana...
"Nilifanya agano na macho yangu, basi nawezaje kumwangalia msichana?"
Ayubu 31:1.
Wakati na meditate hili fungu,
Ayubu anamaanisha nini?
Tusiwaangalie wasichana? Wakati yeye mwenyewe binti zake...
Habari ya wakati huu Wakuu,
Naomba Niongee na Wanaume,
Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia..
1. Feminist
Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha
...
If a woman is supporting you, support her .If she loves you, love her . No man who sits and gets gift or support from a woman will fold his arms and not treat her right .
My fight is against...
Never, ever, under any circumstances say these things to a woman.
Number one. I will never leave you or I can't live without you. If you want to experience a nightmare, then say that to her...
Kuna kosa ambalo vijana wengi huwa tunalifanya tunapoanza mahusiano.
Tunakutana na msichana leo, kesho tayari tunaanza kuishi kama mume na mke kiakili. Kila muda ni simu hasa nyakati za...
Habari, jana nilisema nitesti kama nimeanza kupona tatizo langu (nguvu za kiume) , ila cha ajabu mashine ilikua ndogo sana imelegea na baada ya kuzama ndani nilidumu kama sekunde 10 pekee...
Mimi sina kabisa ratiba ya kwenda kanisani. Nikienda kanisani basi kuna event yenye umuhimu wa kuwepo mfano kipaimara, kumunio ya kwanza, ubatizo wa mtoto wa ndugu wa karibu au ndoa ya ndugu au...
Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nina mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana...
Sio kwa sababu wanawake ni watu wabaya, ila kwa sababu wanawake pia ni binadamu. Na asili ya binadamu ni survival, not honesty. Wanawake wameweza ku-survival tangu vizazi vya kale kwa kudanganya...
Nimekuwa nikijiuliza kama kweli mpenzi wangu ananipenda au amenizoea kwa sababu ya msaada ninaompa.
Wakati hana pesa, huwa mtu tofauti kabisa. Ananipigia simu, ananijulia hali, anataka tuongee na...
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu....
Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
Katika uhusiano, mwanamke hawezi kujivunia mwanaume kwa sababu tu ya sura yake au uwezo wake wa kifedha. Mara nyingi, fahari ya mwanamke hutokana na namna mwanaume alivyo, kile alichonacho na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.