Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hii nilichelewa kuigundua aisee, baadhi ya wanawake wengi wanapenda wanaume machachali ambao wanatamaa ya tendo mda wote, na wanapenda ile siku ya kwanza tu unayokutana naye ukamuomba tendo na...
6 Reactions
54 Replies
832 Views
Congole kwenu mmebadilisha upepo wa awal wa kuzalishwa nyumban kwa sasa mnafosi muishi wote na wanaume japo weng bila ndoa kikubwa ukae na mumeo uzalie humo humo hii inaitwa sogea tuish Saf...
4 Reactions
3 Replies
143 Views
Msanii wa bongo fleva Ben Pol ameanika mambo matatu kwenye account yake ya Instagram ambayo ukiyaona hauna budi uachane na hayo mahusiano 1. Kila unapompanga unaetaka kuwa nae kwenye mahusiano...
26 Reactions
149 Replies
2K Views
Wakuu! Hii ni asili, Wanaume wengi tunakosa ujanja pale tunapokutana na Wanawake wenye nidhamu na utii, hata kama wameolewa. Ni noma sana! Nimekutana na wakati mgumu kidogo, nimewaza sana...
15 Reactions
58 Replies
983 Views
"Nilifanya agano na macho yangu, basi nawezaje kumwangalia msichana?" Ayubu 31:1. Wakati na meditate hili fungu, Ayubu anamaanisha nini? Tusiwaangalie wasichana? Wakati yeye mwenyewe binti zake...
12 Reactions
167 Replies
1K Views
Habari ya wakati huu Wakuu, Naomba Niongee na Wanaume, Usioe wala Kudate na Aina Hii Ya Wanawake Utajutia.. ‎ ‎1. Feminist ‎ ‎Anaetamani kuwa juu wanajifanya wanapambana sana na maisha ‎...
10 Reactions
69 Replies
2K Views
If a woman is supporting you, support her .If she loves you, love her . No man who sits and gets gift or support from a woman will fold his arms and not treat her right . My fight is against...
14 Reactions
36 Replies
1K Views
Never, ever, under any circumstances say these things to a woman. Number one. I will never leave you or I can't live without you. If you want to experience a nightmare, then say that to her...
8 Reactions
26 Replies
477 Views
Kuna kosa ambalo vijana wengi huwa tunalifanya tunapoanza mahusiano. Tunakutana na msichana leo, kesho tayari tunaanza kuishi kama mume na mke kiakili. Kila muda ni simu hasa nyakati za...
6 Reactions
12 Replies
166 Views
Ebu semeni jaman maana ss wanawake tunapenda kupelekewa moto!
8 Reactions
65 Replies
831 Views
Uzao wa kwetu unaishia kwangu tu. Watoto kwangu hawana faida.nasitaki kuwa na mchumba lazima nife na usela wangu.
4 Reactions
23 Replies
317 Views
Habari, jana nilisema nitesti kama nimeanza kupona tatizo langu (nguvu za kiume) , ila cha ajabu mashine ilikua ndogo sana imelegea na baada ya kuzama ndani nilidumu kama sekunde 10 pekee...
21 Reactions
97 Replies
1K Views
Mimi sina kabisa ratiba ya kwenda kanisani. Nikienda kanisani basi kuna event yenye umuhimu wa kuwepo mfano kipaimara, kumunio ya kwanza, ubatizo wa mtoto wa ndugu wa karibu au ndoa ya ndugu au...
57 Reactions
307 Replies
4K Views
Ndugu zanguni mnaosema kataa ndoa kama naanza kuwaelewa , nina mwanamke ambae anashida akiwa na hasira ana mdomo mchafu sana ni mwnamke nnaemtunza kumlea na nilimvunja bikra mwenyewe ila hana...
20 Reactions
100 Replies
2K Views
Sio kwa sababu wanawake ni watu wabaya, ila kwa sababu wanawake pia ni binadamu. Na asili ya binadamu ni survival, not honesty. Wanawake wameweza ku-survival tangu vizazi vya kale kwa kudanganya...
12 Reactions
42 Replies
482 Views
Harusiwi kunijibu ama kunirudishia akidhubutu mbata na hakuna chenye atafanya sinimelipa mahari ya milioni 3 nimemnua
5 Reactions
30 Replies
235 Views
Nimekuwa nikijiuliza kama kweli mpenzi wangu ananipenda au amenizoea kwa sababu ya msaada ninaompa. Wakati hana pesa, huwa mtu tofauti kabisa. Ananipigia simu, ananijulia hali, anataka tuongee na...
2 Reactions
16 Replies
171 Views
Moja ya tofauti kubwa kati ya mwanamke na mwanaume ni umbo. Umbile la mwanamke hata kwa nyuma tu unajua hiki kitu.... Mimi ndo maana napendelea sana wanawake wenye MAKEBO MAKUBWA. Yaani Matako...
6 Reactions
30 Replies
787 Views
Tuachane na mapenzi kwanza tusake mapene mapenzi ni baadaye
1 Reactions
4 Replies
80 Views
Katika uhusiano, mwanamke hawezi kujivunia mwanaume kwa sababu tu ya sura yake au uwezo wake wa kifedha. Mara nyingi, fahari ya mwanamke hutokana na namna mwanaume alivyo, kile alichonacho na...
8 Reactions
11 Replies
288 Views
Back
Top Bottom