Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
  • Poll Poll
Unahisi ipi ni hamasa kuu ya mwanamke katika mahusiano ya kimapenzi?
3 Reactions
12 Replies
140 Views
Wakuu, Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu, cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina. Mke wangu akaanzishiwa ARV mara moja, kisha...
9 Reactions
87 Replies
4K Views
Salaam jamiiforum Mara nyingi mabandiko yangu yanawahusu vijana wadogo ambao kila Nyanja kwao bado ni ngumu iwe pesa,iwe kazi nzuri, biashara n.k vijana bado mambo ni magumu sana,najua si...
14 Reactions
53 Replies
824 Views
Habari wana JF. Kama una mke au mpenzi wako amewahi kukusariti na sasa amejifungua na bado hajakutana na mwanaume yeyote yule hebu msamehe haraka sana na muendelee na maisha kwani ameshakuwa mpya...
9 Reactions
88 Replies
2K Views
Wakuu! Heri ya Siku yenu Wanawake wote wa hapa JF, nyie ni wa muhimu sana, tunawapenda❤️❤️❤️ Leo ni siku ya kusherehekea wanawake wote na yale wanayotufanyia kila siku kwa nguvu, upendo, na...
12 Reactions
127 Replies
3K Views
***SORY MADAM***(1) AGE 18+ Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi waote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo mbali mbali kama mpira wa miguu na michezo mingine ambayo...
9 Reactions
567 Replies
496K Views
Marafiki wamekutenda huwaamini tena! Mpenzi kakusaliti ila huwezi kumuacha.. Unakumbuka mengi mlikotoka na mlipo.. Changamoto mlizopitia na nyakati za furaha mlizomosiana Inaumiza sana! Huna wa...
4 Reactions
10 Replies
156 Views
Ndoa ni stara kwa mwanamke! Hivyo mwanamke anahitaji ndoa kuliko mwanaume Wanawake wamekuwa wengi ama ni wengi kuliko wanaume... Hivyo ndoa imekuwa kitu adimu hasa ukizingatia kuwa.. Pamoja na...
55 Reactions
213 Replies
6K Views
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika)...
382 Reactions
658 Replies
101K Views
Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka...
23 Reactions
86 Replies
1K Views
BEST 50 MOVIES FOR MATURED AUDIENCES 🔞‼️😱 Bookmark & Enjoy…….10/10😱🔞 1. Gone Girl 🇺🇸 2. Fight Club 🇺🇸 3. Se7en 🇺🇸 4. The Prestige 🇺🇸🇬🇧 5. Shutter Island 🇺🇸 6. Inception 🇺🇸🇬🇧 7. The Matrix 🇺🇸 8...
5 Reactions
46 Replies
863 Views
Ukiona videos zake anavyocheza na zile ndege za kivita hewani. Mashine inasimama yenyewe. Yaani huyu mtoto uki mbuzi kagoma. Una pump huku unaimba wimbo wa taifa, unamshukuru sana kwa uzalendo...
4 Reactions
14 Replies
462 Views
Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta. Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa. Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia...
7 Reactions
11 Replies
312 Views
Wakuu mtanisaidiaje? maana mistari inanipiga chenga. Nakitaa kuna dem na mind,ila michongo ndoh sina.
1 Reactions
6 Replies
180 Views
Niaje Wakuu? Natumai mko poa, kwa mwenye changamoto kwakuwa bado una pumua mambo yatakuwa shkopa. Hebu leo tuzungumzie uzoefu wa kimaisha, tunajua maisha hayakosi changamoto, kupanda na kushuka...
28 Reactions
373 Replies
9K Views
Ili uweze kufanikiwa, hizi hapa ni mbinu za kitaalamu /Kimkakati na za kisaikolojia poti. 1. Vunja Ukuta wa "Shikamoo" Hili ni tatizo la kwanza kwa vijana wengi wa hapo Dar!. ... Ukimpa...
7 Reactions
24 Replies
479 Views
Huu ni uraibu unaokua kimya kimya ndani ya mtu, hauonekani usoni, lakini unatafuna nguvu, akili, maamuzi na hata heshima ya mtu taratibu. Watu wengi hulichukulia poa, wakisema “ni kawaida tu”...
6 Reactions
37 Replies
678 Views
Yaani huyu demu nilitaka kumuacha ghafla akaniwahi aisee ananiambia tuachane nifanyeje Yaani Kila nikimuona anajifanya mjanja mwenyewe naona anajisifia kwa rafiki zake eti kaniacha aisee mbinu...
7 Reactions
45 Replies
578 Views
Usidanganywe ukafanya mapenzi bila kondomu.
0 Reactions
5 Replies
247 Views
Hapo vip! Najivunia sana kuzaliwa mweupe kwasababu uweupe ni ishara ya utakatifu,nguvu,utawala,utajiri,mamlaka n.k MFano nuru utawala giza. Kiukweli sisi wanaume weupe hatupendi vitu vichafu...
4 Reactions
86 Replies
986 Views
Back
Top Bottom