Wakuu,
Wiki iliyopita nilienda kupima ngoma a.k.a umeme mimi pamoja na mke wangu, cha kushangaza mke wangu akagundulika na maambukizi mimi sina.
Mke wangu akaanzishiwa ARV mara moja, kisha...
Salaam jamiiforum
Mara nyingi mabandiko yangu yanawahusu vijana wadogo ambao kila Nyanja kwao bado ni ngumu iwe pesa,iwe kazi nzuri, biashara n.k vijana bado mambo ni magumu sana,najua si...
Habari wana JF.
Kama una mke au mpenzi wako amewahi kukusariti na sasa amejifungua na bado hajakutana na mwanaume yeyote yule hebu msamehe haraka sana na muendelee na maisha kwani ameshakuwa mpya...
Wakuu!
Heri ya Siku yenu Wanawake wote wa hapa JF, nyie ni wa muhimu sana, tunawapenda❤️❤️❤️
Leo ni siku ya kusherehekea wanawake wote na yale wanayotufanyia kila siku kwa nguvu, upendo, na...
***SORY MADAM***(1)
AGE 18+
Ni siku ya jumamosi kama kawaida wanafunzi waote wa shule tunayosoma tunakwenda viwanjani kucheza michezo mbali mbali kama mpira wa miguu na michezo mingine ambayo...
Marafiki wamekutenda huwaamini tena!
Mpenzi kakusaliti ila huwezi kumuacha.. Unakumbuka mengi mlikotoka na mlipo.. Changamoto mlizopitia na nyakati za furaha mlizomosiana
Inaumiza sana! Huna wa...
Ndoa ni stara kwa mwanamke! Hivyo mwanamke anahitaji ndoa kuliko mwanaume
Wanawake wamekuwa wengi ama ni wengi kuliko wanaume... Hivyo ndoa imekuwa kitu adimu hasa ukizingatia kuwa.. Pamoja na...
Utu uzima dawa! Mnakopita sasa sisi tulishapita salama, lakini kuna uhitaji wa kukumbushana machache, kupeana mbinu na kutiana moyo pia (hapa kwa sehemu hata wadogo zangu wa kike watahusika)...
Kwenye sheria hazitumiki hisia, kinachoangaliwa ni kile kilichoandikwa kwenye vitabu. Hivyo maamuzi yoyote utakayofanya hata kama ni kwa nia nzuri lazima ujue kuna consequences zake. Kumbuka...
Ukiona videos zake anavyocheza na zile ndege za kivita hewani. Mashine inasimama yenyewe. Yaani huyu mtoto uki mbuzi kagoma. Una pump huku unaimba wimbo wa taifa, unamshukuru sana kwa uzalendo...
Maisha ya kijana ni safari ya kujitafuta.
Ni kipindi cha ndoto, nguvu, hamu, makosa, maumivu na maamuzi makubwa.
Wengi huingia hatua hii wakiwa na matarajio makubwa—lakini hukutana na uhalisia...
Niaje Wakuu? Natumai mko poa, kwa mwenye changamoto kwakuwa bado una pumua mambo yatakuwa shkopa.
Hebu leo tuzungumzie uzoefu wa kimaisha, tunajua maisha hayakosi changamoto, kupanda na kushuka...
Ili uweze kufanikiwa, hizi hapa ni mbinu za kitaalamu /Kimkakati na za kisaikolojia poti.
1. Vunja Ukuta wa "Shikamoo"
Hili ni tatizo la kwanza kwa vijana wengi wa hapo Dar!. ...
Ukimpa...
Huu ni uraibu unaokua kimya kimya ndani ya mtu, hauonekani usoni, lakini unatafuna nguvu, akili, maamuzi na hata heshima ya mtu taratibu. Watu wengi hulichukulia poa, wakisema “ni kawaida tu”...
Yaani huyu demu nilitaka kumuacha ghafla akaniwahi aisee ananiambia tuachane nifanyeje
Yaani Kila nikimuona anajifanya mjanja mwenyewe naona anajisifia kwa rafiki zake eti kaniacha aisee mbinu...
Hapo vip!
Najivunia sana kuzaliwa mweupe kwasababu uweupe ni ishara ya utakatifu,nguvu,utawala,utajiri,mamlaka n.k MFano nuru utawala giza.
Kiukweli sisi wanaume weupe hatupendi vitu vichafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.