Jackson matthew
Senior Member
- Jun 26, 2026
- 137
- 304
Lazima atakuwa tu na kasoro.maana tumeumbwa kupenda sio upweke.
Sisi bodaboda hua tunamla ukiwa kaziniNakupenda sana mke wangu mama Amina
Siku akijua atalia kwa kujigaragazaSisi bodaboda hua tunamla ukiwa kazini
Ajiandae kusema wanawake wote ni Malaya 😎Siku akijua atalia kwa kujigaragaza
Majanja wa hivi ni suala la muda tuAjiandae kusema wanawake wote ni Malaya 😎
Dogo kumbe we boda utakua mruguruSisi bodaboda hua tunamla ukiwa kazini
Ndio mkuu, mm n mruguru wa ndani ndani kabisa, naburuza abiria wa kutosha.Dogo kumbe we boda utakua mruguru
Upo sahihi Jackson, mwanaume si lolote si chochote mbele ya mwanamke, na kasoro tunaziona wanakua na hasira hasira muda wote kama wamelamba pilipili kichaa, wengine hufikia kubaka hadi kuku (astaghafirullah), wengine wanajisifu kupiga nyeto uliza anamuimagine nani kwenye hiyo nyeto yake?Lazima atakuwa tu na kasoro.maana tumeumbwa kupenda sio upweke.
Mbona mapadri hawana wake??Lazima atakuwa tu na kasoro.maana tumeumbwa kupenda sio upweke.
Amani ya BWANA iwe nawe...Lazima atakuwa tu na kasoro.maana tumeumbwa kupenda sio upweke.