Kwa wanawake wote wa Jamiiforums 🌸🌸
Leo tunasimama kuwapongeza na kuwashukuru kwa nguvu, hekima, na mchango wenu mkubwa katika jamii. Ninyi ni chanzo cha upendo, ujasiri, na mabadiliko chanya...
niende moja kwa moja. mabinti wengi wana matumbo flat, wamekaukiana, ngozi na makalio magumu, hawana usoft wa kutosha, hawana mafuta, hawana makalio.
Sifa hizo tajwa kwangu sizitaki, wanawake...
Why ukisha mvua nguo tu mwanamke ukitoka njee ya kile chumba una kua una mdharau una mchukulia ni mtu wa kawaida sana ata kama uli angaika kumpata?
Hii ni kwangu tu au
Sasa hivi watu wengi, wake kwa waume wenye umri wa kati ya miaka 40 na 50 bado hawajaoa wala kuolewa.
Na ukiwaangalia ama kuzungumza nao kuhusu kuoa au kuolewa, wanasema wazi wazi kabisa kwamba...
Midada myengine inamambo ya ajabu lijitu unalitongoza kwa staha na ukimya ila lenyewe likiwa limekoswa ustahimilivu linakujibu kwa kubwatuka kwanguvu!, ni kama vile limepewa kipaza sauti ama tupo...
Wakuu, kumekuwa na mjadala kuwa mwanamke hawezi kuvumilia mwanaume asiye na mwelekeo wa kifedha hata kama ana upendo wa dhati. Je, ni kweli upendo pekee unatosha kulinda ndoa au mahusiano, au pesa...
Heri ya Sabato, poleni na mfungo ndugu zetu waislam na wakristo mnaotimiza agizo hili la kiimani.
Nimeamua kudandia treni ya wanaokataa mambo ya mahari kwa dunia ya sasa, hasa barani Afrika...
Mwanaume hukatazwi kuwa na michepuko,lakini make sure mke wako asijue kuwa una michepuko, akishafahamu tu kuwa unatoka na fulani na akathibitisha kuwa ni kweli,hata kama hatakwambia lakini atakaa...
Mnaamka wote pamoja asubuhi, mnaenda kwenye ofisi yenu pamoja kwenda kuzitafuta.
Mnashinda pamoja mkipambana na maisha, mkisaidiana mawazo na nguvu.
Jioni mnarudi pamoja nyumbani, mmechoka...
Tafiti iliyofanywa na Taasisi ya Mahusiano na Unyumba imebaini kuwa ni 1% tu ya wasichana hufika miaka 20 wakiwa bado hawajawahi kufanya mapenzi.
Sababu zikidaiwa kuwa ni :-
1. Kushindwa kuhimili...
Wanawake mpooooooooo, wanawake mnaweza mkiwezeshwa. Au nadanganya? Sasa baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na mada yenu humu JamiiForums sasa nimeamua kuwawezesha ili nanyi muonekane kuwemo humu...
Wachungaji wengi wamejigeuza kuwa kuwa washauri wa mahusiano kwa mitazamo yao wakitumia vibaya mistari kuhalalisha mawazo yao potofu, hii imeleta shida kwenye ndoa nyingi.
Kumekuwa na skendo...
Jamani msituchoke sisi ambao tupo kwenye ndoa pale tunapokuwa tunatoa malalamiko yetu kwenye mitandao ya kijamii
Wengine ndo njia yetu ya kuondoa stress any way jana usiku nilinyimwa tendo la...
tendo la ndoa(sex) si jambo la kimwili tu , ni la kiroho pia(spirtual) , unapofanya tendo la ndoa mnabadilishana nishati au energy , nishati hizo zinaweza kuwa hasi au chanya.
Unapofanya tendo la...
https://www.jamiiforums.com/threads/ushawahi-kujichanganya-kimapenzi-mpaka-ukawa-unawaza-hapo-nyuma-ulikosea-wapi.2291358/
Kwema wanafamilia....
Maisha haya hayana mapumziko, hasa hasa sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.