Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma, ASP Christer Kayombo, amewashauri vijana kuacha kuhalalisha vitendo vya zinaa kabla ya ndoa halali, akisisitiza kuwa kufanya...
Nchini Nigeria sheria inawaruhusu wanawake kuwashtaki wanaume kwa kuvunja ahadi ya ndoa ikiwa uchumba utavunjika.
Jambo hili huchukuliwa kama mkataba wa kisera (civil contract), mwanamke anaweza...
Habari jf mimi nina umri wa miaka 40 sasa, ni member wa jf mda tuu ila nimekuja na id hii mpya kuleta kisa changu kilichonikuta na uhamuzi niliochukua. Mimi ni mmoja wa wapondaji sana wa single...
Umekutana na mpenzi wako akiwa ashatumika? Imagine ni siku ya harusi yenu. Sasa nakutengnezea picha jinsi mara zote inavyokuaga
Kuna maex wake, kuna aliofanya nao one night stands, kuna waliomla...
Hawa si wengine bali ni mitume na manabii wa uongo (sio wote, namaanisha mitume na manabii wa uongo)
Utawambuaje?
Hawatoi bali wanapokea
Hawafuati bali wanafuatwa
Hawachangi bali wanachangiwa...
Mambo vipi wakuu!
Kazini unaweza kukutana na watu unaocheka nao, mnakunywa chai pamoja, mnaongea mambo ya maisha na hata kusaidiana kwenye changamoto. Lakini usisahau kwamba mazingira hayo...
Nadhani hii sio mimi pekeangu, kuna jamaa ukimuangalia hadi unamuonea huruma, unajiuliza " hivi huyu atapata mpenzi kweli ?" . Ukweli wanawake wanahuruma sana , na kama isingekua hizi sifa za...
Binti huyu wa tz ni mrembo sana.waatalam wamemtengeneza mno.hata madem huk bongo wanamuoneya wivu kisa yy n mrembo kwa waliko.choku wa kenya haisomi namba hapa.
Nakumbuka mwaka 2017 nilipata nafasi fulani ya kwenda mahala kujifunza masuala ya ufugaji.Ilikua ni programe imeandaliwa na mahali pangu pa kazi.
Tulivyofika Kule singida tulikutana watu kutoka...
Mwanaume mmoja amebakwa katika barabara
ya daraja lenye shughuli nyingi mjini Newcastle
baada ya kukubali kupanda lifti ya mtu
asiyemjua.
Mwanaume huyo mwenye umri wa miaka 24
aliingia kwenye gari...
KAMA BABA MWENYE WATOTO. KIUKWELI SITABARIKI KIJANA WANGU AKINILETEA BINTI SINGLE MOTHER.
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli.
Baba.
Miaka yote nawafundisha Moyo usishinde Akili. Bali Akili ndio...
Gesti house ndio kisababishi.. Kuzimu ndio kichocheo, tamaa za ngono ndio chanzo....
Kuna mada tumeijadili kwa mapana yake... Mada ya watoto wa kuzimu.. Jinsi shetani kupitia mawakala wake...
Habari wanajf
Huwa ninashangaa kuona kijana asiye na mtoto hujitwisha mzigo mkubwa wa kiasi hicho. Mimi nimewahi kudate na single mother muda wa miaka Kama 2 hivi niliona rangi zote kwa kweli na...
Baba yangu namchukia sana maana alitutelekeza na akamuacha mama na akakimbizana na michepuko.
Ila najivunia ma singo mother maana nimelelewa na single mother mpaka nilipo sasa hivi
Akina mama...
Mwaka 2008 niliingia Durban baada ya kuitwa na jamaa zangu waliokuwa huko. Hawa jamaa zangu tuna undugu pia. Kaka yao kaoa shangazi yetu, na pia kaka yetu kaoa dada yao, ni kama tumeoleana, wao...
Da Pipi nina dukuduku langu
Mimi Kuna wafanyakazi wawili wa kike napofanyia kazi wananilazimisha kudate nao yani nipige na hadi wamegombana hawa wote ni singo mama wa watoto watatu kila mmoja
Mm...
Nianze kwa kusema mimi ni kijana wa miaka 35 sasa, nimeoa mwaka wa 6 huu, na nina watoto wawili, ila ujumbe wangu wa leo vijana mnapoamua kuoa muwe mmemaanisha hawa wake zetu unahitaji akili ya...
Imagine ungekuwa na uwezo wa kugundua kuwa mwezi ujao mpenzi wako unaempenda kwa dhati atakuacha na atakutangaza hadhari kuwa kakupiga cha mbavu. Hapo the smartest move ni wewe kumuacha mapema...
Binafsi nimekuzwa na kulelewa na mzazi mmoja ambaye ni mama, sijawahi pata hata mapenzi ya baba nilipokuwa mwana.
Kulea mtoto binafsi bila msaada wowote ilikua ngumu sana kwa mzazi wangu lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.