Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kwenye historia ya kwetu hatuna mchanganyiko wa makabila mengine.si ni wasukuma halisi. kabla sijaoa msukuma mwenzangu.nilikuwa na rafiki wa kike...
1 Reactions
8 Replies
107 Views
Habari gani kwenu wakuu? Najua mapambano bado yanaendelea, hakuna kukata tamaa.. Kuna uzi niliwahi kushare humu kuhusu huyu mwanamke wangu kuwa na tabia ya kushare mambo yetu ya faragha kwa...
20 Reactions
112 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyejulikana kama pawa mabula,mtu aliyeganya maonesho ya nguvu zake miaka ya nyuma zilizokuwa mithili ya nguvu za Samsoni wa kwenye biblia,ni kwamba yeye binafsi alitumia...
9 Reactions
28 Replies
700 Views
Maharusi wa siku hizi pasua kichwa. Kuna wakati unatazama hizo video unabaki kukuuliza hawa maharusi waliwaza nn? Mtu anamsifia mwenza wake mpaka unaona soo aisee. Bora kunyamaza kuliko kusifia...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
Kuna mambo kwenye mahusiano ukijaribu kuyatumia kwa kanuni za kawaida za hesabu unaweza kuchanganyikiwa sana! 😅 Hebu tuanze: 1. Akisema: “Sina njaa.” Haimaanishi hatakula. 😂 👉 Hiyo inaweza...
3 Reactions
14 Replies
226 Views
Mtu akiwa kwenye hizi calls maana yake ni nini? Anampigia nani na kunakuwa na content gani?
10 Reactions
42 Replies
786 Views
Kuna jamaa yangu kanishirikisha kisa chake na mkewe ili nimpe ushauri. Kisa chenyewe ni hiki,huyu jamaa yangu alisafiri kikazi huko mkoani akakaa kama wiki tatu hivi. Sasa karudi juzi home kwake...
12 Reactions
47 Replies
2K Views
Rapa Rosa Ree katika mazungumzo na Saditz Official ameweka wazi kuwa baba mtoto wake haonyeshi ushirikiano hivyo hawezi kumlazimisha kufanya jambo kwani ni jukumu lake na pia hawezi kumzuia...
2 Reactions
1 Replies
177 Views
Imagine unakaa na mtu wako unashika simu yake unagundua kwamba anabeti na ni gwiji kabisa ,fundi wa kusuka mikeka , unakuta betting slips kwenye simu yake, mpaka walpaper yake amemueka Bukayo Saka...
1 Reactions
5 Replies
132 Views
Baada ya kufanikiwa kubadil jinsia kutoka wa kiume hadi wa kike.nahisi kuwa na furaha sana maana maisha ya ukiume nilikuwa nayachukia sana ila sasa nnafuraha maana waatalam wamenibadili plus...
13 Reactions
104 Replies
1K Views
Wananzengo mnaendeleaje poleni na haya yanayoendelea. Niende moja kwa moja kwenye mada.Jamani nadhani mnafahamu swala la wivu wa mapenzi lilivyojanga kwa jamii hasa linapokuja swala la kushuku...
1 Reactions
0 Replies
64 Views
Bibi yangu mzaa baba juzi aliwakalisha chini wajukuu zake.bibi aliwaeleza kuwa mtu atayetokeya akaoa mkenya atakuwa anapata watoto wanakufa...
1 Reactions
8 Replies
134 Views
Nimeona thread za masingo maza sana siku hizi, nyingi zikiwa zinawakandia sana. Muda mwingine unatamani kuwatetea lakini kama umeshawahi kuwa na single mother bas ni ngumu sana kuwatetea. Single...
3 Reactions
22 Replies
357 Views
Kauli HIZO amezitoa mwenyewe Civilian-Coin akikanusha kuwa hajawahi kukutana Wala kuonana na watoto wa Rais mstaafu wa marekani Barack Obama na Hana mpango huo labda nafsi ikifunguka.
8 Reactions
36 Replies
445 Views
Ngoja tu nianze kwa kusema, This is all "Allegedly". Observation yangu ni kwamba vijana wengi wa kataa ndoa asilimia kubwa ni vijana wa kikristo, au wana background ya kikristo au ni atheists...
18 Reactions
76 Replies
3K Views
Wengi wamenikatisha tamaa kwako.ila siwezi nikayaskiliza naamini kivyangu ww ni binti mzuri mwenye heshima.
2 Reactions
22 Replies
304 Views
Hivi kuna ukweli katika maoni kwamba wanawake ambao wameolewa au waliwahi kuolewa wake wenza mara nyingi huwa na hasira kali sana ya kisasi? Inasemekana kadiri walivyokuwa chini kwenye uke wenza...
1 Reactions
3 Replies
90 Views
Baada ya jamaa yangu mmoja kusisitiza anataka mke wa Kiyebusi nikamuunganisha na huyu dada anaitwa Vasavadatta anatokea huko Udayana Kingdom. Jamaa amenipigia simu akilia nimwombee msamaha kwa...
1 Reactions
5 Replies
274 Views
Kwa mfano kabla hamjaanza mechi, demu anakuambia kabanwa kukata gogo.akitoka kukata hilo gogo huwa bado unakua na mzuka wa kumtia kama ulokua nao mwanzo? Mimi binafsi hii kitu imenishindwa,naona...
7 Reactions
46 Replies
802 Views
Back
Top Bottom