Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hamuwaz yeyote ni wewe na maisha yako.mimi sipend kuumiza kichwa nikiwaza mapenzi.nawaza jinsi nitakavyo mwagilia moyo.usela tuh nakataa ndoa kabisa.
7 Reactions
46 Replies
516 Views
  • Redirect
1.Walimu wa shule za msingi 2.Maafisa kilimo 3.Manesi 4.MaHR na masekretary 5.Wanajeshi 6.Maboss wajane 7.Wafanyakazi wa benki Hawa watu haupati shida kutongoza ni swaga kidogo tu wanajaa...
5 Reactions
Replies
Views
Mfumo ndiyo wakutumia sio kujipa gharama za ndoa alafu mwishowe mwachane.
10 Reactions
46 Replies
719 Views
Ni binti mpole sana na anayejiamini sana ndoh maana anakubalika sana na wengi.hakuna posti inapita hajatagiwa kwa kwel ni mtu wa watu!
6 Reactions
44 Replies
519 Views
Kumbe ni ubatili ni kama kujilisha upepo ukizani unashiba Nilikuwa na hakikisha mama mkwe, wadogo zake, yeye mwenyewe hawakosi mahitaji muhimu, nilikuwa najitoa haswa, na kazi nilikuwa napiga...
11 Reactions
28 Replies
454 Views
Wanaume mlioamua kuoa, timizeni wajibu wenu. Msiwaache wake zenu wakizunguka huku na kule wakijileta kwa wanaume ambao hawana hata mpango wa kuoa. Sisi hatuna mazoea nao, lakini wao ndiyo...
18 Reactions
79 Replies
963 Views
Kumekuwa na mafundisho mengi sana siku hizi kuhusu namna nzuri ya kukabiliana na umaskini , Moja ya jambo linalosemwa ni watumishi kuoana na kufanya ndoa, na tunashauriwa sana kuwe na...
2 Reactions
20 Replies
238 Views
According to the laws of attraction, we are what we think. Sio hapo tu, we subconsciously become who we believe to be so. Wengi tunaishi maisha tusiyo yataka kwasababu that's what we resist...
12 Reactions
65 Replies
756 Views
Sio uzuri au alivyoumbika bali ni utu aliyonayo anaweza akawa mbaya kimuonokano na akawa mzuri kitabiya
2 Reactions
4 Replies
71 Views
Leo nimekaa sehemu karibu na genge la matunda akaja mdada mmoja anataka kununua tango akapewa akasema hapana mi napenda matango manene,baada ya kauli hiyo akaniangalia huku anacheka namimi ikabidi...
10 Reactions
24 Replies
424 Views
Kuna binti kakutana na Surprise ambayo naamini hawezi kusahau kamwe, alikuwa na mpenzi wake ambaye walikuwa na miaka 4 anakwenda mpaka kwa kwao na jamaa akiamini kwa hatua waliyofikia yeye ni mke...
7 Reactions
28 Replies
606 Views
Ndugu.. Kama unataka amani ukiwa na hawa viumbe hakikisha unakua mnafiki kwao. Wewe kua mnafiki tuu utatoboa
6 Reactions
35 Replies
696 Views
Ustadhi anasema kutokana na Experience yake ndogo kwenye ndoa; amengundua kuwa ndoa nyingi za kikristo hudumu kuliko ndoa za kiislam na hii inatokana na wanaume wengi wanakimbilia kuoa wanawake...
7 Reactions
26 Replies
397 Views
Nina rafiki ambaye alimpa mimba msichana aliyekuwa akiishi naye kwa takribani miaka 3 hadi 4. Baadaye alipata kazi mbali na eneo walilokuwa wanaishi. Alipofika kwenye eneo lake jipya la kazi...
7 Reactions
54 Replies
619 Views
Natafuta mke umri 30+ Umri wangu 41 Watoto 2 Sms kujibiwa 0792045560
0 Reactions
1 Replies
135 Views
Yafurahisha hisia, kwa mfereji maringo. Kurambwa hadi safia, mrembo wenye mpango. Maji yaweza pitia, ndani ya fumbo kiungo. Mfereji majinono, wasafiwa kwa ulimi. Mfereji wa heshima, ule wa kingo...
4 Reactions
26 Replies
409 Views
Kibongo bongo ukiacha wasanii kuna hili kundi la wachezaji na wanamichezo mbalimbali ikiwemo ngumi and so on udhaifu wao ni kipochi.... aiseee Hatuwezi kuwa na watu wengi wawakilishi nje huko au...
9 Reactions
44 Replies
525 Views
Hii ni simulizi fupi ya kweli ya mahusiano yangu na ndoa yangu,naomba wengi tujifunze na kushauri pia. Mimi ni baba wa watoto watatu naishi na familia yangu kwa miaka kumi sasa,katika maisha yetu...
18 Reactions
55 Replies
2K Views
🤔 Unakuta mdada ana 35+ anakuuliza "kama hautaki kunioa niambie" sasa unajiuliza hao aliopita tangu akiwa 18 mbona akuwaambia wamuoe akiwa bado kigori
1 Reactions
14 Replies
220 Views
Back
Top Bottom