Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Midada myengine inamambo ya ajabu lijitu unalitongoza kwa staha na ukimya ila lenyewe likiwa limekoswa ustahimilivu linakujibu kwa kubwatuka kwanguvu!, ni kama vile limepewa kipaza sauti ama tupo...
10 Reactions
35 Replies
456 Views
Wakuu, kumekuwa na mjadala kuwa mwanamke hawezi kuvumilia mwanaume asiye na mwelekeo wa kifedha hata kama ana upendo wa dhati. Je, ni kweli upendo pekee unatosha kulinda ndoa au mahusiano, au pesa...
7 Reactions
41 Replies
463 Views
Heri ya Sabato, poleni na mfungo ndugu zetu waislam na wakristo mnaotimiza agizo hili la kiimani. Nimeamua kudandia treni ya wanaokataa mambo ya mahari kwa dunia ya sasa, hasa barani Afrika...
28 Reactions
182 Replies
1K Views
Mwanaume hukatazwi kuwa na michepuko,lakini make sure mke wako asijue kuwa una michepuko, akishafahamu tu kuwa unatoka na fulani na akathibitisha kuwa ni kweli,hata kama hatakwambia lakini atakaa...
3 Reactions
15 Replies
228 Views
Wakuu wasalam Kuna madem wanazingua kinoma, unampanga anakubali. Unajiandaa vizuri, mwanamke anafika anaanza sipo vizuri, sijajiandaa, leo simba wanaruka. Sasa kama ulijua hivyo umefata nini! ....
6 Reactions
58 Replies
1K Views
Mnaamka wote pamoja asubuhi, mnaenda kwenye ofisi yenu pamoja kwenda kuzitafuta. Mnashinda pamoja mkipambana na maisha, mkisaidiana mawazo na nguvu. Jioni mnarudi pamoja nyumbani, mmechoka...
7 Reactions
41 Replies
444 Views
Tafiti iliyofanywa na Taasisi ya Mahusiano na Unyumba imebaini kuwa ni 1% tu ya wasichana hufika miaka 20 wakiwa bado hawajawahi kufanya mapenzi. Sababu zikidaiwa kuwa ni :- 1. Kushindwa kuhimili...
23 Reactions
103 Replies
2K Views
Wanawake mpooooooooo, wanawake mnaweza mkiwezeshwa. Au nadanganya? Sasa baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na mada yenu humu JamiiForums sasa nimeamua kuwawezesha ili nanyi muonekane kuwemo humu...
7 Reactions
18 Replies
161 Views
Imagine,unaoa binti bikra, lakini kikojozi.
3 Reactions
21 Replies
191 Views
His behavior attitude sharpness entution capacity strongness fitting responsibility oneness idealistic mentality to me, occasion immunity establishment psychology numeration enjoyment moment of...
5 Reactions
34 Replies
363 Views
Nina kiduka changu hapa mjini wateja hamna kabisa, kwa majirani nao wanalia njaa tu, tuseme mwezi huu ni wa tabu kwa wote au ni kwangu peke yangu?
2 Reactions
6 Replies
98 Views
Wachungaji wengi wamejigeuza kuwa kuwa washauri wa mahusiano kwa mitazamo yao wakitumia vibaya mistari kuhalalisha mawazo yao potofu, hii imeleta shida kwenye ndoa nyingi. Kumekuwa na skendo...
7 Reactions
19 Replies
499 Views
Jamani msituchoke sisi ambao tupo kwenye ndoa pale tunapokuwa tunatoa malalamiko yetu kwenye mitandao ya kijamii Wengine ndo njia yetu ya kuondoa stress any way jana usiku nilinyimwa tendo la...
4 Reactions
8 Replies
156 Views
tendo la ndoa(sex) si jambo la kimwili tu , ni la kiroho pia(spirtual) , unapofanya tendo la ndoa mnabadilishana nishati au energy , nishati hizo zinaweza kuwa hasi au chanya. Unapofanya tendo la...
2 Reactions
10 Replies
292 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/ushawahi-kujichanganya-kimapenzi-mpaka-ukawa-unawaza-hapo-nyuma-ulikosea-wapi.2291358/ Kwema wanafamilia.... Maisha haya hayana mapumziko, hasa hasa sisi...
20 Reactions
110 Replies
9K Views
Wakuu, nampongeza mwanzilishi wa jukwaa hili bwana Maxence Melo kwa kuanzisha jukwaa hili huru. Hongera sana mzee.
4 Reactions
5 Replies
137 Views
South African self employed olosho business woman makes recording after a Nigerian man booked her service and decided to pull a fast one on her by not paying in full after a successful Tatata...
1 Reactions
2 Replies
108 Views
Huu ni uzi maalumu kwa wasukuma wote hapa tanzania,kupeana taarifa,maarifa, elimu na ujuzi mbalimbali kuhusu kabila hili kubwa nchini,uzi huu hauna lengo la kupromote ukabila bali kuleta jamii...
15 Reactions
377 Replies
3K Views
siri yenu tu wale mbaopenda kuoa wachaga nimekaa marangu..mamba kotela nkaenda rombo mwika nkarudi kibosh then uruuu huku kote kuna ndugu wa ukoo ama walioa ama kuolewa na wengi wazee wa...
1 Reactions
4 Replies
98 Views
Back
Top Bottom