Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Threads
7.9K
Posts
231.3K
Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii. Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
25 Reactions
232 Replies
11K Views
Bora ningemuongezea mama yangu ghorofa nyingine masaki kuliko huyu Mwanamke asie na utu na shukrani
16 Reactions
112 Replies
4K Views
Hapa ndipo
3 Reactions
40 Replies
676 Views
Hapo vip! Ipo hivi mimi ni mwanaume ambaye mapenzi sana sio kipaumbele kwangu. Na nikikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi nakuwa na amani na furaha sana kwenye maisha yangu pia nakuwa mtu...
11 Reactions
182 Replies
2K Views
Ni kawaida wapenzi wanapokuwa mbali, kuwa na hamu kubwa ya kuonana kutokana na umbali, majukumu na uchumi, huwa ni kwazo wao kuonana mara kwa mara. Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto...
9 Reactions
90 Replies
5K Views
1. Usafi, wanawake wanapenda mwanaume msafi anaejitunza kuanzia mavazi, anapoishi na anakofania Kazi. Jitahidi fua nguo, uoge vizuri piga mswaki piga pasi. Safisha nyumba yako vizuri nk...
18 Reactions
77 Replies
7K Views
Mu hali gani wakuu... Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano ya kuibaiba miaka kadhaa nyuma ambae muda huohuo alikuwa ni shemeji pia sababu ya urafiki wake na mwanamke wangu wa...
60 Reactions
237 Replies
11K Views
Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao. Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi...
6 Reactions
45 Replies
696 Views
Unakuja jamaa unamfahamu kabisa kuwa hana uwezo, lakini ni nambari moja kwa kutongoza. Hali hii hutokana na nini?
1 Reactions
0 Replies
53 Views
Usemi huu, una ukweli usiopingika, na hii ni kutokana na uhalisia wa kimatokeo yatokanayo na nini kinatokea pindi watu hawa wa jinsi mbili tofauti (yaani; me na ke) wakutanapo. Kwa asili...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Nafanya kazi kwa mwarabu hapa Bagamoyo. Bosi ananikubali kinoma maana najituma kiukweli. Ila boss simuelewi maana akiongea nami anachekacheka. Na tena kingine amekuwa akinizidishia vichenji...
6 Reactions
40 Replies
594 Views
Wachawi wanawanga usiku. Sasa kaka wewe sio mtu wa kulala usiku tufanye kazini unaingia usiku au unakesha usiku kucha unaperuzi bila kulala au upo sehemu unakunywa pombe mchawi atakupata kweli?
1 Reactions
4 Replies
105 Views
Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly! Kila mtu ana changamoto nyingi...
53 Reactions
1K Replies
175K Views
Masingle mama mmefikiwa, mada hii ni yetu sote single baba na single mama,tujadili faida,hasara na changamoto zinazotokana na kuwa single maza, single baba. Karibuni tujadili kwa pamoja.
4 Reactions
28 Replies
335 Views
Habari ndugu ZANGU... Baada ya MKE kwenda kwa wazazi wangu na wake ,,,, Mimi nilikuwa naendelea na uchunguzi wangu...,,Kuna taarifa niliipata wakati anaondoka Nyumbani kwangu kuna JAMAA ambaye...
5 Reactions
73 Replies
951 Views
Mungu ni mwema bwana,juzi baada ya kuleta stori kuwa nimekuwa hanithi kutokana na upigaji wa punyeto basi bwana nikaenda kwa mganga mmoja ambaye anasifika kwa kutibu shida hiyo, alinipa mizizi...
3 Reactions
13 Replies
239 Views
WANAUME TUKUMBUSHANE NGONO(SEX) ni Nzuri sana Ila inakuzwa ndivyo Sivyo. Wanawake wanaikadiria juu sana,nguvu ya ngono (sex). Wanaitengenezea mazingira ya kua kama mradi mkubwa sana. Kutokana...
4 Reactions
4 Replies
866 Views
HABARI KAKA NILIBAHATIKA KUMUOA MKE WANGU TUKAISHI MAISHA MAZURI TU HATA HIVYO ALIPOPATA KAZI AKAANZA KULETA DHARAU UKIMUULIZA ANAJIBU OVYO UNYUMBA ANAKUPA KWA WAKATII ANAOTAKA IKAFIKA WAKATI...
2 Reactions
4 Replies
149 Views
Niaje wakuu Huu msimu wa mvua mambo ni moto upande wa nyegezi, Mwanza. Kuna njia za kupunguza hii kitu tofauti na ngono. Naamini mambo ya fornication & adultery sio mazuri, kuna njia mbadala?
21 Reactions
283 Replies
10K Views
Bandugu kwema. Aisee! Kuna wanawake wakatili, yani mnafanya yote unamuandaa hadi unamvua halafu anakunyima! Anasingizia mara leo sipo vizuri, mara unayo kubwa sijajiandaa! Inasikitisha sana!
25 Reactions
224 Replies
8K Views
Back
Top Bottom