Leo ni jumatatu na kama ilivyo Ada watu wako busy haswaa....pamoja na uchovu wa week end lakini watu wanajongea maeneo Yao ya kujitafutia rizikii.
Bila shaka na nyie wa JF wenzangu mko sawa kabisa...
Hapo vip!
Ipo hivi mimi ni mwanaume ambaye mapenzi sana sio kipaumbele kwangu.
Na nikikaa muda mrefu bila kufanya mapenzi nakuwa na amani na furaha sana kwenye maisha yangu pia nakuwa mtu...
Ni kawaida wapenzi wanapokuwa mbali, kuwa na hamu kubwa ya kuonana kutokana na umbali, majukumu na uchumi, huwa ni kwazo wao kuonana mara kwa mara.
Ila wapo wapenzi wanakutana na changamoto...
Mu hali gani wakuu...
Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa naye kwenye mahusiano ya kuibaiba miaka kadhaa nyuma ambae muda huohuo alikuwa ni shemeji pia sababu ya urafiki wake na mwanamke wangu wa...
Huyu demu huwa sometimes akija ofisini kwangu kwa kuwa nakuwa alone hasa jioni basi namchapa nao.
Sasa msianze kusema oooooh.... Sijui mikosi sijui nini... Sitaki lecture hapa. Kwanza mikosi...
Usemi huu, una ukweli usiopingika, na hii ni kutokana na uhalisia wa kimatokeo yatokanayo na nini kinatokea pindi watu hawa wa jinsi mbili tofauti (yaani; me na ke) wakutanapo.
Kwa asili...
Nafanya kazi kwa mwarabu hapa Bagamoyo. Bosi ananikubali kinoma maana najituma kiukweli. Ila boss simuelewi maana akiongea nami anachekacheka.
Na tena kingine amekuwa akinizidishia vichenji...
Wachawi wanawanga usiku. Sasa kaka wewe sio mtu wa kulala usiku tufanye kazini unaingia usiku au unakesha usiku kucha unaperuzi bila kulala au upo sehemu unakunywa pombe mchawi atakupata kweli?
Tuwiane radhi mno na isije kuchukuliwa kuwa naandika mambo yasiyofaa kwa kisingizio kuwa kuna watoto, lakini tukumbuke kuwa hii ni JF where we dare to talk openly!
Kila mtu ana changamoto nyingi...
Masingle mama mmefikiwa, mada hii ni yetu sote single baba na single mama,tujadili faida,hasara na changamoto zinazotokana na kuwa single maza, single baba. Karibuni tujadili kwa pamoja.
Habari ndugu ZANGU...
Baada ya MKE kwenda kwa wazazi wangu na wake ,,,,
Mimi nilikuwa naendelea na uchunguzi wangu...,,Kuna taarifa niliipata wakati anaondoka Nyumbani kwangu kuna JAMAA ambaye...
Mungu ni mwema bwana,juzi baada ya kuleta stori kuwa nimekuwa hanithi kutokana na upigaji wa punyeto basi bwana nikaenda kwa mganga mmoja ambaye anasifika kwa kutibu shida hiyo, alinipa mizizi...
WANAUME TUKUMBUSHANE
NGONO(SEX) ni Nzuri sana Ila inakuzwa ndivyo Sivyo. Wanawake wanaikadiria juu sana,nguvu ya ngono (sex). Wanaitengenezea mazingira ya kua kama mradi mkubwa sana. Kutokana...
HABARI KAKA
NILIBAHATIKA KUMUOA MKE WANGU TUKAISHI MAISHA MAZURI TU
HATA HIVYO ALIPOPATA KAZI AKAANZA KULETA DHARAU UKIMUULIZA ANAJIBU OVYO UNYUMBA ANAKUPA KWA WAKATII ANAOTAKA
IKAFIKA WAKATI...
Niaje wakuu
Huu msimu wa mvua mambo ni moto upande wa nyegezi, Mwanza.
Kuna njia za kupunguza hii kitu tofauti na ngono.
Naamini mambo ya fornication & adultery sio mazuri, kuna njia mbadala?
Bandugu kwema.
Aisee! Kuna wanawake wakatili, yani mnafanya yote unamuandaa hadi unamvua halafu anakunyima! Anasingizia mara leo sipo vizuri, mara unayo kubwa sijajiandaa!
Inasikitisha sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.