Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nimekuwa nikijiuliza kila mara ni kwa kiwango gani mtu anaweza kujitoa kwa ajili ya mwingine. Wakati mwingine watu tunaowadharau au kuwaona hawana thamani ndio wanaoweza kubadilisha maisha yetu...
7 Reactions
30 Replies
597 Views
Kwa mda mrefu nimeishi katika maisha ya kuunga unga sana chumba kimoja zile nyumba za kupanga za mabehewa ya train yaani mnakuta milango yote imejipanga ivi kama mabehewa. Ilikuwa ngum kuleta...
10 Reactions
20 Replies
425 Views
Nimeoa single maza sasa kuna huyu mtoto wake mpaka imefikia sehemu ananiogopa kunikumbatia na kunishika mkono. Maana anapigwa shoti. Wadau nini sababu ya hili. Karibuni
1 Reactions
20 Replies
340 Views
Habari za leo. Niko na hali mbaya kiuchumi,na msaada pekee ninaouona ni mchepuko wangu ndio naona anaweza kunipiga tafu,huyu maza alikua mke wa mtu akaachika so mimi nikawa najipigia...
6 Reactions
35 Replies
309 Views
Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo. Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume. Mwanamke...
14 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wana MMU. Niende kwenye mada. Huwa napita sana humu kwenye nyuzi na kugundua kuwa wengi walioko humu ni Gen Z. Hii ni kutokana na mada zao wanazoanzisha, au kwa namna...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Kila ukiingia JF napata faraja ya moyo.kiukwel la mama umeuteka moyo wang nasitosita kukupenda.ww lazima uwe wangu nakupenda sana.
6 Reactions
21 Replies
273 Views
Kwa nini ni rahisi zaidi kwa wanaume waliooa kupata girlfriends au wanawake wengine wa kuwa wapenzi wa muda mfupi au mrefu kuliko wanaume single?
5 Reactions
13 Replies
243 Views
Shida ni nini ndugu zanguni😁 Nimechungulia hapa Bar nikatamka kwa sauti kuu na ya mshtuko, "Mkeo anakuja", watu wote wametawanyika kwa kasi ya 5G, wengine wametawanyika kwa kuyumba yumba, wengine...
4 Reactions
8 Replies
230 Views
Hii ni Kwa wale wanaolikoka... unaweza kumfanyaje mwenza wako aifurahie harufu ya sigara isimkere?, Tupeane uzoefu wakuu.. Safari ndio kwanza imeanza!, ndoa ina miezi mitatu!... Naiona kazi...
9 Reactions
116 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja wa wanaume wenye wake wawili. Kwa uzoefu wangu, kuwa na wake zaidi ya mmoja si suala la starehe wala kujionyesha. Ni jukumu zito linalohitaji uwezo wa kifedha, busara, uvumilivu...
10 Reactions
62 Replies
705 Views
Mwanaume hataki ndevu kila saa nikunyoa.wanaume wa saiv wanakimbizana na mambo ya kike hatasiwaelewi.mara wale chipsi ilhal mwanaume anafaa ale ugal wa maharage ama ale mhogo na maji.
4 Reactions
50 Replies
498 Views
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under. 2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially. 3.Wachoyo...
57 Reactions
675 Replies
27K Views
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyejulikana kama pawa mabula,mtu aliyeganya maonesho ya nguvu zake miaka ya nyuma zilizokuwa mithili ya nguvu za Samsoni wa kwenye biblia,ni kwamba yeye binafsi alitumia...
10 Reactions
26 Replies
563 Views
Ni aje makamanda, I hope mko poa. Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa...
9 Reactions
235 Replies
23K Views
Mnaoishi na wakwe zenu mtupe siri ya urembo Yani wewe na mkeo au mumeo mmeamua kwenda kufanya maisha kwenye uwanja mmoja na wazazi wenu wa upande wa mume au wa mke. Au mmeamua kuwaleta hapo...
8 Reactions
16 Replies
275 Views
Wanawake sio walezi na watengenezaji wa wanaume na Baba Bora katika family. Mama Boys ni tatizo jipya katika jamii, ni mijadala na maswali magumu yanatusumbua sisi wana saikolojia, kilipatia...
4 Reactions
12 Replies
311 Views
Kuna wazazi wengi wanalalamika watoto hawana akili,ukifuatilia kwa ukaribu utagundua kwamba wazazi wa mtoto wote ni sufuri kwa kila kitu wanachojua ni kubanduana tu. Huwa nawasisitiza wanafunzi...
17 Reactions
107 Replies
1K Views
Kipindi niko jobless walikuwa wananiona kama kinyesi, nikapata kijimtaji nikanunua junia zangu mbili za mkaa, hapo unaambiwa salamu zikawa zinakuja kama mvua Wiki iliyoisha Mama Mwenye Nyumba...
4 Reactions
33 Replies
432 Views
Back
Top Bottom