Nimekuwa nikijiuliza kila mara ni kwa kiwango gani mtu anaweza kujitoa kwa ajili ya mwingine. Wakati mwingine watu tunaowadharau au kuwaona hawana thamani ndio wanaoweza kubadilisha maisha yetu...
Kwa mda mrefu nimeishi katika maisha ya kuunga unga sana chumba kimoja zile nyumba za kupanga za mabehewa ya train yaani mnakuta milango yote imejipanga ivi kama mabehewa.
Ilikuwa ngum kuleta...
Nimeoa single maza sasa kuna huyu mtoto wake mpaka imefikia sehemu ananiogopa kunikumbatia na kunishika mkono. Maana anapigwa shoti. Wadau nini sababu ya hili.
Karibuni
Habari za leo.
Niko na hali mbaya kiuchumi,na msaada pekee ninaouona ni mchepuko wangu ndio naona anaweza kunipiga tafu,huyu maza alikua mke wa mtu akaachika so mimi nikawa najipigia...
Na hapo ndipo wanaume wengi wamekua watumwa, wafujaji wa Mali na Pesa, wamekua watu wa ovyo ovyo.
Ukweli ni Kwamba kwenye Ngono, Kitaalam wanawake hupata Raha sana kuliko hata wanaume.
Mwanamke...
Habari za asubuhi wana MMU.
Niende kwenye mada. Huwa napita sana humu kwenye nyuzi na kugundua kuwa wengi walioko humu ni Gen Z. Hii ni kutokana na mada zao wanazoanzisha, au kwa namna...
Shida ni nini ndugu zanguni😁
Nimechungulia hapa Bar nikatamka kwa sauti kuu na ya mshtuko, "Mkeo anakuja", watu wote wametawanyika kwa kasi ya 5G, wengine wametawanyika kwa kuyumba yumba, wengine...
Hii ni Kwa wale wanaolikoka...
unaweza kumfanyaje mwenza wako aifurahie harufu ya sigara isimkere?,
Tupeane uzoefu wakuu..
Safari ndio kwanza imeanza!, ndoa ina miezi mitatu!...
Naiona kazi...
Mimi ni mmoja wa wanaume wenye wake wawili. Kwa uzoefu wangu, kuwa na wake zaidi ya mmoja si suala la starehe wala kujionyesha. Ni jukumu zito linalohitaji uwezo wa kifedha, busara, uvumilivu...
Mwanaume hataki ndevu kila saa nikunyoa.wanaume wa saiv wanakimbizana na mambo ya kike hatasiwaelewi.mara wale chipsi ilhal mwanaume anafaa ale ugal wa maharage ama ale mhogo na maji.
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.
3.Wachoyo...
Kwa mujibu wa mtu mmoja aliyejulikana kama pawa mabula,mtu aliyeganya maonesho ya nguvu zake miaka ya nyuma zilizokuwa mithili ya nguvu za Samsoni wa kwenye biblia,ni kwamba yeye binafsi alitumia...
Ni aje makamanda, I hope mko poa.
Mwenzenu nilijaribu maisha baada ya kiajira changu cha kwanza lakini ikabidi nirudi home kwanza nikajipange upya, hatimae nimepata kazi ya mshahara ambayo kwa...
Mnaoishi na wakwe zenu mtupe siri ya urembo
Yani wewe na mkeo au mumeo mmeamua kwenda kufanya maisha kwenye uwanja mmoja na wazazi wenu wa upande wa mume au wa mke. Au mmeamua kuwaleta hapo...
Wanawake sio walezi na watengenezaji wa wanaume na Baba Bora katika family.
Mama Boys ni tatizo jipya katika jamii, ni mijadala na maswali magumu yanatusumbua sisi wana saikolojia, kilipatia...
Kuna wazazi wengi wanalalamika watoto hawana akili,ukifuatilia kwa ukaribu utagundua kwamba wazazi wa mtoto wote ni sufuri kwa kila kitu wanachojua ni kubanduana tu.
Huwa nawasisitiza wanafunzi...
Kipindi niko jobless walikuwa wananiona kama kinyesi, nikapata kijimtaji nikanunua junia zangu mbili za mkaa, hapo unaambiwa salamu zikawa zinakuja kama mvua
Wiki iliyoisha Mama Mwenye Nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.