Habari zenu watu wa Mungu, mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 39, ninahitaji mwanamke wa kuoa, nawakaribisha sana wanawake wenye uhitaji wa dhati wa kuolewa.
Wasifu wangu nikama ifuatavyo...
Habari wapendwa. Mimi ni mwanamke mkristo wa miaka 32. Nina mtoto mmoja. Ninajitokeza jukwaani kutafuta mume kwenye Nia ya kweli.
Uwe Mkristo mwenye hofu ya Mungu
Uwe na Umri kuanzia 35-49.
Uwe...
Habari zenu
Mimi ni kijana wa miaka 22 mpaka 24. Nafanya kazi kweny kampuni fulan Dar es Salam
Mwanaume ninaye muitaji awe na umri kuanzia miak 25 mpaka 30. Itapendeza zaidi akitokea Dar au...
Hi! All members of this forum.
I'll try to be as brief as possible.
I need a woman for serious relationship that leads to marriage if things goes well and plans are clinched.
I am 28 years old...
Jina langu ni Daniel Adrian. ( Jina langu halisi)
Mara ya mwisho kujihusisha na mahusiano wala siwezi sahau. Ilikuwa kumbukumbu mbaya. Nilishatendwa yani, basi Mwamba nikasema sitaki tena mapenzi...
Watu wanatafuta wachumba Sana humu lakini mbona ushuhuda hawatupi walio wai pata wachumba kupitia jf humu ndani au tuna poteza muda tuu watu wana tania kutafuta wachumba
Sent from my TECNO B1f...
Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.
*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana
*nina mtoto 1
*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)
*Umri wangu miaka 30
*sichagui umri wala idadi ya...
Awe anaishi dar umri kati ya 22 mpk 30, tuwe pmoja kupeana ushauri wa maisha na kubadilishana mawazo kua pmoja hadi mke na mume alie serious anitafute
Mim ni mrefu, kidgo mpana wa wastan ni...
Sifa zangu
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi
Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6...
Sitaki kupoteza muda maana kichwa cha habari kinajidhihirisha.
Natafuta mwanamke wa kuoa ila awe na hela. Najua wapo wa kunipinga na wengine wapo wa kunishauri kuwa eti "nitafute pesa ili nipate...
Hello! natumaini ni wazima, hongereni kwa majukumu ya kujenga Taifa letu. Moja kwa moja kwenye point, naitaji mchumba ambaye Mungu akipendezwa tuingie kwenye ndoa.
Wasifu wangu:
Mwanaume:umri...
Ila mimi kila siku nakuja hapa.Sijui kwa vile I'm young nobody comments. Sawa lakini kuwa mdogo haijalishi I'm socializing like other people
Nadondosha wasifu kwanza
Age: 19
Marital status...
Naitwa smart introvert, nakuja mbele zenu kutafuta rafiki wa kike ambae tutabadilishana mawazo na kujenga urafiki mzuri. Umri wangu miaka 28 na nafanya kazi kampuni moja. Naishi Dar na ni mkristo...
Hello,
I hope you are all fine,poleni na Majukumu ya hapa na pale back to the point nahitaji rafiki wa kike ambaye ikipendeza tutaingia hatua zingine kama mahusiano na hata ndoa.
Huu ni wasifu...
Mimi Kijana nina miaka 21 Ni gym trainer nilikuwa natafuta marafiki WANAOPENDA fittness kwa ujumla tupeane michongo na ma deal kadhaaa na kubadilishana mawazo KWA JINSIA ZOTE
Location Dar es...
Ni DM kama upo serious tu tafadhali. Lengo ni mahusiano yatayopelekea ndoa, kwa hiyo nahitaji mtu aliye na uhitaji
Mm ni jinsia ME,
Umri wangu miaka 30,
Mrefu sio sana mwembamba.
Elimu yangu ni...
Salam wanajukwaa,
Mimi sio mgeni sana wala mwenyeji sana hapa jukwaani ila napiga hatua mbele ili kuweka kusudi langu mbele yenu.
Awali ya yote naamini kila jambo na wakati wake, kusudi na...
I'm Zagarino
Natafuta friend wa Ku chat nae coz sms za Voda kila siku nimezichoka..
Mara umeishiwa salio..Dahh.
Sina vigezo vingi mi sio mwanasheria
age 19-24
Marital status no comment...
Let...
Katika vitabu vya dini mbali mbali na misemo ya mababu zetu inasema ya kwamba
1. Mwanaume bila mke hajakamilika
2. Wenye akili wote wameoa
3. Ndoa ni kipimo cha akili n.k
Yapo mengi mno ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.