Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 27 na mrefu.
Rangi- Mweupe
Elimu- Diploma ya ICT na Degree ya Sheria
Nipo serious nahitaji msichana/mwanamke serious ambaye yupo tayari kuanzisha mahusiano...
Ni Dm kama upo serious tu tafadhali. Lengo ni mahusiano yatayopelekea ndoa, kwa hiyo nahitaji mtu aliye na uhitaji
Mm ni jinsia ME,
Umri wangu miaka 30, mrefu sio sana mwembamba. Elimu yangu ni...
Habarin wanaJamiiForums, hope mpo poa. Twende moja kwa moja on topic. Mimi ni mwanaume wa miaka 25 ninaishi Moshi Bar jijini Dar-ea-Salaam. Nimemaliza Chuo mwaka 2014, nimesoma IT, kwa sasa...
Habari
Ni kijana wa miaka 25
Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida.
Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi.
Nimejiajiri
Ni msomi,mstaarabu na...
Habari wanajukwaa...
Najitokeza jukwaani kutafuta mwenza wa maisha ambaye yupo tayari kuwa mama wa familia.
Wasifu wangu
Umri: miaka 30+
Dini: Mkristo RC
Elimu: Bachelor's Degree
Kazi...
Sihitaji Mambo Mengi Mimi Ila ninacho hitaji Ni Mwanamke ambaye atakuwa mke wangu.
Mpaka nafikia hatua ya kumtafuta huku it means that Niko Serious na ninauwezo wa kumuhudumia na kumtunza...
Habari ya jioni wanajukwaa.
Mimi ni kijana wa kiume. Nimekuwa kwenye mahusiano na binti ambaye nilipanga aje kuwa mke lakini nasikitika shetani katia mchanga kwenye mahusiano yangu. Long distance...
Wakuu salaam??
Leo nakuja tena na uzi wangu huu
Natafuta mchumba aliye serious na uchumba
Mimi ni mwanaume
Miaka 27
Mrefu wastani ,Mweusi wastani
Najishughulisha na biashara za hapa na pale...
Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni...
Kwa mara nyingine narudia kukuomba wewe mrembo unaeishi Mwanza uwe na umri kuanzia miaka 23 hadi 30, kabila yoyote ipatikanayo kanda ya ziwa..... nakuhitaji uwe rafiki yangu, tukienda vizuri uwe...
Wakuu natumaini mko poa mimi ni kijana nina umri miaka 25 natafuta mwanamke aliye serius awe mchumba na baadaye mungu akijalia ndoa
Mimi nimejiajiri, mrefu wastani, mweusi na ninajitegemea naishi...
Hivi hii tabia ya kila mtu naetafuta mke au mume kutaja na vigezo vingi ilianza wapi?
Kuna wengine wanasema wanataka mume au mke mcha Mungu ukiangalia mwenyewe hata Bible au Qur'an hasomi wala...
Mimi ni Mwanaume miaka ni 32 natafuta Mke wa kuoa kabisaa mana nimechoka kuwa alone. Nahitaji Mke umri ni 24-30 Kama upo serious nicheki pm!
Napatikana Njombe na nimwajiliwa wa serikali.
Assalam alykum warahmatullahi wabarakatuh.
Mimi ni mwanaume
Umri ni 29
Muislamu
Nimesha ajiriwa
Nahitaji mwanamke ambae awe mke wangu wa ndoa akiwa Muislamu itapendeza zaidi.
Awe na umri usiozid...
Ni kijana mwenye miaka 26.Elimu nilifika fika chuo lakini sikufanyikiwa kumaliza.Lakini haikunizuia kuweza kutimiza malengo yangu kwani nilipambana na kujiajiri mwenyewe.
Sasa wazazi baada ya...
Kwa mrembo aliye tayari natafuta dada wa kuzaa naye, awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 35. Mimi binafsi nina 38 na nina kazi nzuri ya kuweza kumhudumia mtoto. Nimeoa. Kwanini nataka mtoto nje ya...
Asanteni kwa wote mlioniandikia jumbe pm
Nimetoa namba kwa mtu mmoja tu ambaye aliugusa moyo wangu.
Bado tunafahamiana kama marafiki na ikimpendeza Mungu tutakuwa wachumba, nashukuru kwa ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.