We jamaa smart sana, utapata warembo kama wote, nimependa tacktick yako.Mimi Kijana nina miaka 21 Ni gym trainer nilikuwa natafuta marafiki WANAOPENDA fittness kwa ujumla tupeane michongo na ma deal kadhaaa na kubadilishana mawazo KWA JINSIA ZOTE
Location Dar es salaam
WHATTSUP 0752446155
Mimi Gym naenda occursionally,Mimi Kijana nina miaka 21 Ni gym trainer nilikuwa natafuta marafiki WANAOPENDA fittness kwa ujumla tupeane michongo na ma deal kadhaaa na kubadilishana mawazo KWA JINSIA ZOTE
Location Dar es salaam
WHATTSUP 0752446155
Ndio maana wabeba vyuma mnafikiriwa vibaya mwanaume unawezaje kuandia "oyah"Oyah uko maeneo yapi nije nkukimbize na utrainer wako..
Bench unabeba kg ngap?
Ulitaka aandikeje??? Au akiandika ivo shida iko wapi?? au ilo neno linatakiwa kutumiwa na akina nani????Ndio maana wabeba vyuma mnafikiriwa vibaya mwanaume unawezaje kuandia "oyah"
Hili kawaida Sana. Hapa umemuonea jamaa. Masela na mabaharia wanalitumia Sana Hilo nenoNdio maana wabeba vyuma mnafikiriwa vibaya mwanaume unawezaje kuandia "oyah"
Mwanaume unaandikaje "oyah" kazi za kuvuta maneno muwe mnawaachia dada zenu.Ulitaka aandikeje??? Au akiandika ivo shida iko wapi?? au ilo neno linatakiwa kutumiwa na akina nani????
Hatari sana hiiHili kawaida Sana. Hapa umemuonea jamaa. Masela na mabaharia wanalitumia Sana Hilo neno