Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae

Comrade DD

Senior Member
Apr 27, 2020
181
320
Natafuta mwanamke wa kuwa na mahusiano nae.

*Nilikuwa na mke ila kwa sasa tumetengana

*nina mtoto 1

*Kipato changu cha kawaida sana(kidogo)

*Umri wangu miaka 30

*sichagui umri wala idadi ya watoto uliokiwa nao, kikubwa kupendana na kujali afvya ndo kitu muhimu sana maana dunia imebadilika sana

*mimi naishi Dar, gongolamboto.

.....*Karibu kwenye pm yangu*.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom