MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,431
Sifa zangu
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi
Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6
Chura kiasi
Elimu kiasi Frm 4-6
Sura iwemo kidogo (sio tukitaka kutoka namwambia tangulia nitakukuta)
Awe serious
Asiwe mchoyo
Mkristu
Sifa nyingine zinaendelea kwenye comments
Natoboa 30 muda sio mrefu
Nina kazi halali
Nina Ft 6
Elimu ya wastani kiasi lakini kwa mtaani kwetu ni mmoja ya watu wasomi
Sifa ya mwanamke anayehitajika
Mrefu kiasi lkn asifike ft 6
Chura kiasi
Elimu kiasi Frm 4-6
Sura iwemo kidogo (sio tukitaka kutoka namwambia tangulia nitakukuta)
Awe serious
Asiwe mchoyo
Mkristu
Sifa nyingine zinaendelea kwenye comments