Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina miaka 27, muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35, awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya...
21 Reactions
152 Replies
24K Views
Good morning my people. Awali ya yote nimekuja na Id mpya kuficha usalama wangu, ila me ni mwenyeji humu JF muda tu Wanasema mficha ugonjwa kifo humuumbua Nahitaji mwanaume wa kupeana kampani tu...
14 Reactions
177 Replies
14K Views
Mm nikijana mwenye umri wa miaka 30 nipo Zanzibar kama yupo alotayar kuolewa mm nipo tayar kuoa vigenzo vyenginevyo Muislam Mrefu Mwembamba Half cast Nywele ziwe black na ndef Muajiriwa au mfanya...
2 Reactions
2 Replies
745 Views
Habari! Nahitaji mwanamke wa maisha umri wangu ni miaka 32 nimejiajiri dini yangu ni mkristo Nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 23-26yrs , mwenye kujua nini maana ya familia . Sichagui dini...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Natafuta mke Binti au aliyezaa mtoto asizidi mmoja Umri 27 hadi 35 Dini yoyote Awe mtanzania Awe mfanyakazi au mjasiliamali kwa ambae yupo serious karibu PM kwa contact. Kwa upande wangu mimi...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania,nina umri wa miaka 26, ninaishi Mbeya kwa sasa na ni mkristo kwa dini, elimu yangu ni ya chuo(degree), sina kazi bado naangaika na maisha najishughulisha na shughuli...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mimi ni Mwanadada naishi Kaskazini, kabila Langu ni Mmasai na nina umri ambao nitayari kuolewa nakuwa na mume. Sifa zangu mimi ni mpole na pia napenda kuwaheshimu watu wote. Mimi ni muelewa na...
14 Reactions
83 Replies
14K Views
Habari wakuu Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24. Elimu yangu ni chuo kikuu Natafuta mpenzi ambaye atakuja kuwa mume mwenye umri wa miaka 50-60 Nimechoka kuumizwa na vijana wadogo Kikubwa awe...
12 Reactions
122 Replies
22K Views
Hello wapendwa. ..Kwa heshima na taadhima na fur aha napenda kutangaza nimepata mwanaume au tuseme rafiki na nimempenda na kwasasa tupo kwenye urafiki. He is educated and matured. Yani my type and...
2 Reactions
76 Replies
8K Views
Ndungu zangu nimejitolea kwenu bila woga,hofu Wala mashaka natambuwa wazi si kila mmoja wetu atavutiwa na hili Ila naamini Mungu ni mwaminifu naweza fikia malengo katika mazingira haya. Kiukweli...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kama tangazo linavojieleza, mimi nikijana mwenye umri wa miaka 28 nipo Mkoa wa Mbeya, Wilayani Chunya elimu yangu ni Degree ya Ualimu Physics and Mathematics, sijaajiriwa najishughulisha na kazi...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wana jamvi wenzangu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale. Wengi wenu natumai mu wazima wa afya. Naomba niende kwenye maada; Nipo hapa kutafuta mwanamke ambae nitazaa nae mtoto/watoto...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Ni kweli yawezekana kukushangaza ila kila mtu aonavyo. Na kutoa msaada na ushirikiano kwa mtu si lazima pesa tu hapana bali kile unachoona kile chaweza msaidia katika maisha...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Ndungu zangu nimejitolea kwenu bila woga,hofu Wala mashaka natambuwa wazi si kila mmoja wetu atavutiwa na hili Ila naamini Mungu ni mwaminifu naweza fikia malengo katika mazingira haya. Kiukweli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33' kutokana na changamoto za mahusiano na mabinti below 30 kuwa kubwa nimeona sasa ni wakati wa kutafuta same age or above mwenye mapenzi ya dhati. Mabinti...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Tafadhali naomba TUPEANE uzoefu kwa wale waliokuwa kwenye mahusiano , lakini mahusiano yao hayakwenda kama walivyotarajia. Je, mlio vunja uhuano mlikuja KUJUTA baadae? Nini kilikufanya umrudie...
0 Reactions
3 Replies
865 Views
WanaJF Nakuja kwenu kutafuta kipenzi cha roho yangu.Natafuta msichana awe girlfriend mwenye sifa hizi. Awe mnene Awe anavutia Awe rangi yoyote. Asizidi 35. Asiwe na magonjwa yaambukiazo (clean)...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Natafuta mchumba jinsia ya kiume, sina sifa nyingi ni moja tu aweanajua majukumu yake kama baba wa familia. Elimu hata ka dergee kamoja kananitosha akiwa juu ya hapo yote heri. Awe mcha mungu...
0 Reactions
78 Replies
11K Views
Natafuta marafiki wa kubadilishana nao mawazo,jinsia zote tu ilimradi uwe na mawazo chanya ,uwe mchapakazi
8 Reactions
37 Replies
4K Views
Dear Woman/ Girl / Lady I am looking for a woman or girl / lady who is serious and want to establish a strong bond and stable relationship that may end up with marriage between us. Preferably...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom