Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato...
I am in Mwanza right now, natafuta binti aliye around Mwanza for dating ..... awe around 20's .... kama hujaupenda ujumbe usitukana bt u may criticize coz critics are not book writers. au weka...
Habari Wadau wa jamii foroum, natafuta mchumba ambae atakuwa tayar kuwa na mm kwa shida na raha hadi kufikiya lengo la ndoa, niko zanzibar town, Bableyy 0777 790279
Mimi Ni Mdada, Mtanashati, Makini, Mwenye Tabia Njema, Mwenye Msimamo na Mtazamo Chanya wa Maisha! Ukiwa na Sifa Hizi zifuatazo ni PM. Seriously Candidates Only!
1; Single
2; Rangi- Maji ya...
Habari zenu humu ndani.
Natafuta mchumba awe gentleman,msomi wa chuo kikuu,mkristo mwenye hofu ya Mungu,mchapa kazi yani asiwe mvivu,awe wa kimo chochote lakini ariwe mfupì sana na atakae kuwa...
mm ni msichana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye yupo serious kuoa, mm ni mkristo na nna elimu ya ngaz ya cheti na nimeajiriwa kaktka kampuni moja kubwa dsm
sifa za mwanaume...
Jamani nipo seriously natafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae make nae maisha, mimi ni muajiriwa serikalini awe kati ya umri 17-22,mimi ni mrefu kidogo na ni maji ya kunde, so sihitaji...
Mimi ni kijana mwenye kipato changu cha kutosha tu na nimeajiriwa Serikalini, nimejitokeza hapa kutafuta mchumba. Natafuta mwanamke nitakae weza kuwa nae maishani, umri ni 17-22 uwe na...
Any where i gate wife material,, mimi naamini hilo!! kama yupo msichana anaye amini yeye ni wife material, yupo single na ni mpweke anahitaji kuingia katika serious relation naomba PM yako, hata...
Nahitaji mwanamke aliye serious kuolewa, awe mkristo, anaishi dar,mwajiriwa au Mjasiriamali, hata kama ana mtoto,elimu awe na degree na awe na miaka kuanzia 26 hadi 35.
Njoo PM tuzungumze .
Mimi ni muislamu na mwajiriwa wa serikali,
Nina miaka 37 na mtoto mmoja wa kiume,
Ninahitaji mume mwislamu kuanzia miaka 38-50,
Ninaishi Dares salaam,
kwa aliyetayari tuwasiliane kwa namba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.