Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 45,natafuta mke hasiyependa Ngono
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana MMU ninatafuta mchumba( Mwanamke) Vigezo Awe wa wastani siyo mrefu au mfupi sana,degree moja ya social issues au hata akiwa na mbili it's fine Awe mcha Mungu,Christian will be an...
0 Reactions
318 Replies
22K Views
Mi ni me(26yrs),natafuta mwanamke wa kuchumbia mpaka ndoa,nipo muleba kagera.sibagui dini,elimu na umri ila asiwe bibi.mi ni degree holder,kwa aliye serious ani-pm.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nawasalimu wana JF Natafuta rafiki wa kike mwenye hofu na Mungu anaye jitambua na asiwe limbukeni na dunia, awe na nywele za asili anayependa kuwa halisi kwa muonekano, elimu ni kigezo cha ziada...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Habari wanajamii. Mimi ni kijana mwenye wa miaka 25, ninafanya kazi kwenye kampuni fulani hivi ya kigeni, elimu yangu ni kidato cha sita. Natafuta mchumba awe na sifa zifuatazo. -awe mwenye...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Kupata mke wa kuoa hapa jamii imekuwa kasheshe kubwa sana kwangu mimi kila mwanamke ninaekutana nae anataka niwe na mjengo na nisiwe na watoto,nina miaka 42,tangu nikiwa na miaka 37 nimeanza...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Nitakuwa mtwara kwa kipindi cha miezi sita kikazi niko single so kama uko interested lets mingle huwezi jua unaweza kuwa muke ya Boss
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Naitwa James, napatikana Iringa, umri wangu ni miaka 26, sijaoa na ni mwanaume, nimejitokeza kwa mara ya kwanza hapa kutafuta mchumba mweupe wa kabila lolote ila asiwe anatokea mbali sana toka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari. Mimi ni kijana wa miaka 29 naishi Kinyerezi nafanya kazi kwenye kampuni binafsi, natafuta binti awe mchumba ambaye atakuwa mke baada ya kufanya taratibu zote. Awe na sifa zifuatazo Umri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habiri wakuu, Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka isiyozidi 29 lakini haipo chini ya 25. Natafuta rafiki wa kiume mwenye Umri usiopungua miaka 30 but usizidi miaka 45. Awe anapenda kusocialize...
7 Reactions
121 Replies
18K Views
Nataka awe mpenz wang wa kudumu,awe above 40yrs,mi mwenyewe nipo 32yrs,asiwe na mume, kma umeachka au mjane itakuwa poa,aliye tayar aache namba hapa nitampigia.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
haya wana jf kwa wanaohitaji mke maridhawa..... NATAFUTA MUME Habari zenu wadau. Nina miaka 34, nimesoma nina kazi nzuri, na pia naamini ninavutia kiasi kama mwanamke. Nimetoka kwenye...
1 Reactions
150 Replies
30K Views
Alie tayari ajitokeze hapa
0 Reactions
1 Replies
906 Views
Miaka 21-26 kama upo free hauna mme unapenda kuliwazwa na kustahareheka nipm. Vigezo ni msichana tu kabila lolote, rangi yoyote, dini yoyote karibu we dada.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Natafuta mume awe God fearing, mrefu kuniliko na real Age 30-35 yrs.
2 Reactions
78 Replies
6K Views
Habiri wakuu, Mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka isiyozidi 25 lakini haipo chini ya 21. Natafuta rafiki wa kike mwenye Umri usiopungua miaka 20 but usizidi miaka 35. Awe anapenda kusocialize...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
He who roughs first roughs longest What goes around comes around An empty sack never stands up right
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, elimu ya wastani, maji yakunde, mkristo, Natafuta binti mwenye heshima, anayejipenda, anayejua kupika,anayependa usafi, mweusi/ maji ya...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Wadau wa love connect, mm ally niko Zanzibar, nina miaka 26, Nimemaliza degree nafanya kazi natafuta mchumba kwa lengo la kupanga maisha hapo baadae tukiwa wote na kufunga ndoa. Sifa za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kiume miaka 28 sijaoa natafuta mke nipo sirias nimeshajipanga vya kutosha nikimpata ndoa december 2014 kama kuna dada yupo tayari kuolewa tafadhali wasiliana nami kupitia email...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Back
Top Bottom