Natafuta mchumba jamani

Natafuta mchumba jamani

Bableyy

Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
72
Reaction score
26
Habari Wadau wa jamii foroum, natafuta mchumba ambae atakuwa tayar kuwa na mm kwa shida na raha hadi kufikiya lengo la ndoa, niko zanzibar town, Bableyy 0777 790279
 
Wasubiri waje Dada.....huna vigezo vya mchumba umtakae?
 
Vigezo vyangu awe anajielewa, awe atleast na deploma yeyote ile jaman plz
 
Mkubwa lengo lako jema lakini hapa si mahala pake, ungetupia kule jukwaa la MMU.
 
Nakutakia kila la kheri katika utafutaji wako.
Nalog off
 
Nimeiyoona text zenu bt ntawajibu baadae kidogo
 
Unamtaka wa diproma wewe una degree ? Alafu mchumba mzur Sio diproma !!!!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Yaaahh nina degree ctaki mtu aninyanyase hata kidogo that y nachoice hivyo
 
mkuu kama hujui kusoma hata picha huoni?mbona munakuaga na maneno ya kebehi namna hii

Ndugu msomi, uwe na ustaarabu japo kidogo, wakati namjibu huyo mleta mada bado mada yake ilikuwa kule jukwaa la Complaints, Congrats & Adivice ila kwa kuwa imeshaletwa huku mmu sina tena neno. Nashukuru sana ndugu msomi, yangu ni hayo.
 
Ndugu msomi, uwe na ustaarabu japo kidogo, wakati namjibu huyo mleta mada bado mada yake ilikuwa kule jukwaa la Complaints, Congrats & Adivice ila kwa kuwa imeshaletwa huku mmu sina tena neno. Nashukuru sana ndugu msomi, yangu ni hayo.

nashukur kwa kunielewesha asante japo mimi sio msomi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom