Natafuta rafiki (mdada) aliyeokoka

Natafuta rafiki (mdada) aliyeokoka

pondiboy

Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
81
Reaction score
29
Kichwa kinajieleza hapo juu

Natafuta rafiki wa kike ambaye ameokoka na ana hofu ya Mungu ndani take, mimi ni mwanaume nina 27yrs old. nitumie PM
 
Ndo maana hawakujibu,hakuna aliyeokoka humu,wote ni watenda dhambi,nenda kanisani kwako,JF ndugu yangu ni ya wazinzi,walevi,waongo na n.k.
 
mlokole mgwajima, mlwakatale, mlusekelo,mkakobe au yupi maana kuna aina nyngi za walokole
 
Vigezo na Masharti kuzingatiwa huyo mdada hata awe na miaka 40?
 
Ndo maana hawakujibu,hakuna aliyeokoka humu,wote ni watenda dhambi,nenda kanisani kwako,JF ndugu yangu ni ya wazinzi,walevi,waongo na n.k.

shindwaaa...mim nmeokoka nampenda Yesu..karbu sn tumsfu mwokoz
 
jamani punguzeni masihara kama hauna la kucomment kaa kimyaaa
 
Ndo maana hawakujibu,hakuna aliyeokoka humu,wote ni watenda dhambi,nenda kanisani kwako,JF ndugu yangu ni ya wazinzi,walevi,waongo na n.k.

Usijichukulie maisha yako yalivyo ndio kila mwanaJf yupo hivyo.Dont generalize.Wanaokwenda Bar, Kanisani, maofisini ndio sisi tuliopo Jf.So dont be negative.
NB haihusiani na hoja ya mleta uzi.
 
mimi na my Lara 1 siyo walokole na wala hatuna mpango wa kuwa walokole, ila tunasali kanisani na ni wacha Mungu pia.

Heee mbona unamsemea na mwenzio? Unaujua moyo wake au unajua Mungu amepanga nini juu yake?
 
Huyu kaingia cha kike members wote wa jf wanongopa hawatumii majina halisi huyu sijui kakurupuka wapi anataka mlokole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom