Nahitaji girl wakusaidiana naye kiushauri,mawazo,kufarijiana.awe mwanafunzi wa college au kamaliza form 4-6,chuo cert,diploma,or degree! ni hayo 2!
Nice friday to all!
My e mail...
Sikuhizi teknolojia imeendelea sana tuitumie kwa faida.
Pia wadada now days wapo serious sana unaweza ukamtongoza tu ukaambulia matusi sasa ni hivi watu tupo serious hapa kama unajijua you are...
Wadau,nipo Dsm,kama heading inavyosomeka.
Awe mnywaji wa alcohol au si mnywaji, mimi siangalii hilo.
Nafanya mihangaiko yangu mkoa wa pwani,kwa hyo nnaporudi weekend nakua so lonely
alie tayari...
Habarini wakuu.
Natafuta mchumba
Sifa zangu age 30, mrefu,christinity.
Sifa za mke nayetaka age below 30,Christianity,minimum Education- first degree,awe na vision,awe Mjasiriamali au mwajiriwa...
Am a man 27yrs old,
Ni mwajiliwa serikalini hapa TZ,
Niliwahi ku-post tangazo la kutafuta mchumba hapa nikaishia kupata kashfa,
Nikisoma thread za watu nakuta comment kibao najua wengi...
Jamani natafuta mchumba age interval 16-23!
Maana nimechoka sana huku mtaani wananiona mgumu eti sina hisia hawajui kua na act! Na mimi najua kupenda ila sipendi kuchepuka tena moyo wangu si wa...
Nianze kwa kutoa kisa cha kweli then niwashauri wanaotafuta wachumba.
Siku moja jeshi la Uingereza lilikuwa kazini baharini na wakaishiwa maji ya kunywa. Mkuu wa kikosi akapiga simu nchi kavu ili...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafuta mschana ambaye ni "wife material" ili nianzishe familia yangu. Sikupenda na hadi sasa bado nastruggle ili nifkishe miaka 30 nikiwa na mwenza. kifupi ni kuwa...
Habari za asubuhi ndugu zangu,ni muda mrefu nakuwa nkitumia huu mtandao but ombi langu bado halija fanikiwa,Ila mim n mwanaume wa 27 yrs,mrefu na mweusi wa maji ya kunde,elimu ya chuo kikuu...
Habari za saizi na poleni kwa majukumu ndugu zngu,ila nashukuru kwa walioni nshauri nakunikosoa jana kwa ombi langu la kupata mdada wakula nae raha jana,kwa bahati nzuri au mbaya ombi langu...
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28,mkristo nasali romani catholic na nimeokoka,elimu yangu ni shahada ya uzamili yaani masters,nina kazi nzuri tu na ni mwajiliwa wa selikali, rangi ni maji...
Habari wanajf, mimi naishi Dar, umri wangu 24,
ninahitaji girlfriend alie serious katika uhusiano,dini yoyote,kabila lolote,kama upo mwenye vigezo piga 0714702720
Independent divorced mom wondering if there could be a second chance in life, if you are 35 and above, independent single dad believing there could be second chance in life and you are...
Ndio kama mwezi nimemalizia kujenga nyumba yangu ya vyumba viwili na sebule + choo na jiko self container mbezi kutokana na ubize wa kutafuta pesa hukuhuku nilkua mbali sana na mapenzi nikiwa na...
Wakuu hii ni mara ya mwisho kutangaza.Natafuta mchumba au girlfriend.SIFA ZANGU MIMI SAYANSIKIMU ni kama zifuatazo .KABILA mgogo DINI mkristo NYUMBANI dodoma UMRI miaka 23 .RANGI YA NGOZI mweusi...
Nina miaka 38 ni mfanyabiashara...natafuta mke awe umri usizidi miaka 38...mcheshi.
anayeweza kusimamia miradi au watu...awe anajuakujituma mbunifu
PM namba za simu zinaruhusiwa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.