Hi
Sifa za mwanamke natural ana nywele asili, hajichubui, anavaa kiheshima, anajitambua, mpenda dini, anayejua thamani yake, tabia nzuri, hachagui mazingira wala chakula, yaani nitadata and i will...
Mara ya kwanza nilipost tangazo langu nikitafuta mwanamke wa kua naye ni kweli kuna walio jitokeza hasa ambae alie kua na privillage kubwa kuna mambo kadhaa ambayo hakuyaelewa kutoka kwangu na...
Imekuwa ni kawaida kwa wanawake kuomba fedha kwa wapenzi wao, ni sawa lakin ninacho taka mwanamke ujue kuwa kuna muda inakuwa kero na ndiyo mana wengi wenu mnakimbiwa, ww mtu mmekutana mausiano...
Natafuta mwanaume anayehitaji mwanamke wa kuishi naye awe na sifa zifuatazo; ;;;awe mzaliwa wa mikoa ya kaskazini, hajawahi kuoa, umri -32-37,elimu, form. 6, mkristo (r.. c ).mwenye nidhamu.
ty
Natafuta mwanamke wa kuoa awe kati ya miaka 40 na kuendelea mpaka 50,awe dini yeyote mimi nina miaka 25 nipo temeke sudan kama upo sirious Tafadhali usichelewe namba hii
0779293189,
Akipatikana...
Ni muda mrefu kidogo nimekuwa nikhitaj mtu flan ambaye atakuwa maalum na mke wa maisha yangu, lakini kila ninayempata kwa njia ya mitandao anakuwa kiaina fulani ajiamini vile! Sasa wewe...
Habar zenu wana jf,naombeni ushauri kwani nimegombana na mpenz wangu ambae nampenda sana lakini kila nnapomuomba msamaha wala ataki kunisikiliza so nifanyeje ili tuwe kama zamani kiukweli...
Bila hiana napenda kuleta mrejesho ila kuthihirisha tabia ya mtume mwema!
Ni takribani mwaka sasa baada ya kupitisha mabango yapatayo mawili kutangaza kumsaka mwenzangu nisiye mjua kwa kudhani...
Ulimwengu wa mapenzi ni waajabu sana.Ni wenye furaha unapopenda ukapendwa
lakini pia ni wenye karaha na maumivu pale unapopenda usipopendwa.Moyo hukosa raha,pia unakosa maamuzi yaliyosahihi yote...
Habari,
Mimi ni kijana Mtanzania,mbena wa Iringa. Natafuta mwanamke asiyezidi umri wa miaka 31 lakini ambaye hana uwezo wa kuzaa(tasa) mimi tayari nina watoto wawili na kwa bahati mbaya siishi...
Ewe ------- uvumilivu umenisha nimeamua kukuambia wazi kabisa ya kwamba ninakupenda.Muda mwingi nimekuwa nakufuatilia nakufanya mambo mbalimbali ili uniweke moyoni mwako lakini sijafanikiwa .Na...
Nina miaka 25,
Muajiriwa.
Elimu yangu ni shahada.
Mkristo mcha mungu.
Niko mbeya.
Nimtakaye awe na umri kuanzia miaka 28 had 35.
Elimu kuanzia form six,
Mwajiriwa au aliyejiajiri,
Mkristo...
Sifa
1. Elimu angalau form 6
2. Umri usizidi 27
3. Usiwe mfupi sana
4. Dini yoyote
Mimi:
Mrefu, Mweusi, Bachelor degree holder, Nina company, Nyumba tatu Mbezi beach, Hotel Moja, Hummer 1...
habari zenu wana JF? hakika hakuna jukwaa tamu kama hili,ukiwa JF unakuwa dunia nyingine on the other hand,jamani nataka ajitokeze mwanamke mrembo mwenye umri kuanzia miaka 18 hadi 35...
Naitwa Mwl Kimambo nafundisha Moshi secondary nimekua nikipata tabu kweeli kwene suala la kuchagua mke kama mnavyojua fani yetu hii bila mke hawa watoto watatufunga natamani kuoa Mwakani Akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.